Rais samia usikubali alichofanya Magufuli 2020 kitakurudia na wewe

Rais samia usikubali alichofanya Magufuli 2020 kitakurudia na wewe

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,379
sitaki sana kusema mengi kwako samia, kwa sababu najua pia kama ccm ingeamua kupiga kura kuchagua mgombea urais, ungeshindwa.

ila waliamua kuivunja katiba ili kukufanya kuwa mgombea pekee.

sasa onyo langu na la wengi katika ulimwengu wa kiroho wa Mungu, wewe na wenzako, msithubutu kufanya mlichokifanya kwenye mkutano wenu Dodoma, kwenye uchaguzi wa nchi ya Tanzania hapo baadaye.
nakusihi ukishindwa kubali umeshindwa, usibadilishe chochote kama mwenzako alivyofanya 2020.
wa kusikia na asikie, najua mnasema mna pesa ya kubadilisha chochote.

ni sawa ila mkilazimisha kutawala wewe na wenzako, wakati hamjashinda ni kweli utatutawala, lakini mtaliingiza taifa kwenye maombolezo mengine.
majira ya nchi kwa watu wa majira yanadai mtawala mpya.
mkifanya michezo yenu basi mkubali kuungana yaani kugawana nusu ya utawala na chama kingine.

la sivyo la sivyo ni machozi mengine kwa taifa.

Mungu hapendi watawala wanaoenda kinyume na anavyotaka, kwa sababu taifa ni la Mungu sio mtawala wa chama fulani au chama fulani.
asanteni kwa kusoma.
 
sitaki sana kusema mengi kwako samia, kwa sababu najua pia kama ccm ingeamua kupiga kura kuchagua mgombea urais, ungeshindwa.

ila waliamua kuivunja katiba ili kukufanya kuwa mgombea pekee.

sasa onyo langu na la wengi katika ulimwengu wa kiroho wa Mungu, wewe na wenzako, msithubutu kufanya mlichokifanya kwenye mkutano wenu Dodoma, kwenye uchaguzi wa nchi ya Tanzania hapo baadaye.
nakusihi ukishindwa kubali umeshindwa, usibadilishe chochote kama mwenzako alivyofanya 2020.
wa kusikia na asikie, najua mnasema mna pesa ya kubadilisha chochote.

ni sawa ila mkilazimisha kutawala wewe na wenzako, wakati hamjashinda ni kweli utatutawala, lakini mtaliingiza taifa kwenye maombolezo mengine.
majira ya nchi kwa watu wa majira yanadai mtawala mpya.
mkifanya michezo yenu basi mkubali kuungana yaani kugawana nusu ya utawala na chama kingine.

la sivyo la sivyo ni machozi mengine kwa taifa.

Mungu hapendi watawala wanaoenda kinyume na anavyotaka, kwa sababu taifa ni la Mungu sio mtawala wa chama fulani au chama fulani.
asanteni kwa kusoma.
Watu mna maneno lakini
 
U Rais ni mtamu, mama hawez kubali kuachia kirahisi
sitaki sana kusema mengi kwako samia, kwa sababu najua pia kama ccm ingeamua kupiga kura kuchagua mgombea urais, ungeshindwa.

ila waliamua kuivunja katiba ili kukufanya kuwa mgombea pekee.

sasa onyo langu na la wengi katika ulimwengu wa kiroho wa Mungu, wewe na wenzako, msithubutu kufanya mlichokifanya kwenye mkutano wenu Dodoma, kwenye uchaguzi wa nchi ya Tanzania hapo baadaye.
nakusihi ukishindwa kubali umeshindwa, usibadilishe chochote kama mwenzako alivyofanya 2020.
wa kusikia na asikie, najua mnasema mna pesa ya kubadilisha chochote.

ni sawa ila mkilazimisha kutawala wewe na wenzako, wakati hamjashinda ni kweli utatutawala, lakini mtaliingiza taifa kwenye maombolezo mengine.
majira ya nchi kwa watu wa majira yanadai mtawala mpya.
mkifanya michezo yenu basi mkubali kuungana yaani kugawana nusu ya utawala na chama kingine.

la sivyo la sivyo ni machozi mengine kwa taifa.

Mungu hapendi watawala wanaoenda kinyume na anavyotaka, kwa sababu taifa ni la Mungu sio mtawala wa chama fulani au chama fulani.
asanteni kwa kusoma.
 
sitaki sana kusema mengi kwako samia, kwa sababu najua pia kama ccm ingeamua kupiga kura kuchagua mgombea urais, ungeshindwa.

ila waliamua kuivunja katiba ili kukufanya kuwa mgombea pekee.

sasa onyo langu na la wengi katika ulimwengu wa kiroho wa Mungu, wewe na wenzako, msithubutu kufanya mlichokifanya kwenye mkutano wenu Dodoma, kwenye uchaguzi wa nchi ya Tanzania hapo baadaye.
nakusihi ukishindwa kubali umeshindwa, usibadilishe chochote kama mwenzako alivyofanya 2020.
wa kusikia na asikie, najua mnasema mna pesa ya kubadilisha chochote.

ni sawa ila mkilazimisha kutawala wewe na wenzako, wakati hamjashinda ni kweli utatutawala, lakini mtaliingiza taifa kwenye maombolezo mengine.
majira ya nchi kwa watu wa majira yanadai mtawala mpya.
mkifanya michezo yenu basi mkubali kuungana yaani kugawana nusu ya utawala na chama kingine.

la sivyo la sivyo ni machozi mengine kwa taifa.

Mungu hapendi watawala wanaoenda kinyume na anavyotaka, kwa sababu taifa ni la Mungu sio mtawala wa chama fulani au chama fulani.
asanteni kwa kusoma.
Ww ni ni nabii wa ishara?? Mama unayoyasema ndio aliyasema yeye huko yutube
 
sitaki sana kusema mengi kwako samia, kwa sababu najua pia kama ccm ingeamua kupiga kura kuchagua mgombea urais, ungeshindwa.

ila waliamua kuivunja katiba ili kukufanya kuwa mgombea pekee.

sasa onyo langu na la wengi katika ulimwengu wa kiroho wa Mungu, wewe na wenzako, msithubutu kufanya mlichokifanya kwenye mkutano wenu Dodoma, kwenye uchaguzi wa nchi ya Tanzania hapo baadaye.
nakusihi ukishindwa kubali umeshindwa, usibadilishe chochote kama mwenzako alivyofanya 2020.
wa kusikia na asikie, najua mnasema mna pesa ya kubadilisha chochote.

ni sawa ila mkilazimisha kutawala wewe na wenzako, wakati hamjashinda ni kweli utatutawala, lakini mtaliingiza taifa kwenye maombolezo mengine.
majira ya nchi kwa watu wa majira yanadai mtawala mpya.
mkifanya michezo yenu basi mkubali kuungana yaani kugawana nusu ya utawala na chama kingine.

la sivyo la sivyo ni machozi mengine kwa taifa.

Mungu hapendi watawala wanaoenda kinyume na anavyotaka, kwa sababu taifa ni la Mungu sio mtawala wa chama fulani au chama fulani.
asanteni kwa kusoma.
Hapa naona kama Makamu anakwenda kuwa Rais ni utabiri tu lakini
 
sitaki sana kusema mengi kwako samia, kwa sababu najua pia kama ccm ingeamua kupiga kura kuchagua mgombea urais, ungeshindwa.

ila waliamua kuivunja katiba ili kukufanya kuwa mgombea pekee.

sasa onyo langu na la wengi katika ulimwengu wa kiroho wa Mungu, wewe na wenzako, msithubutu kufanya mlichokifanya kwenye mkutano wenu Dodoma, kwenye uchaguzi wa nchi ya Tanzania hapo baadaye.
nakusihi ukishindwa kubali umeshindwa, usibadilishe chochote kama mwenzako alivyofanya 2020.
wa kusikia na asikie, najua mnasema mna pesa ya kubadilisha chochote.

ni sawa ila mkilazimisha kutawala wewe na wenzako, wakati hamjashinda ni kweli utatutawala, lakini mtaliingiza taifa kwenye maombolezo mengine.
majira ya nchi kwa watu wa majira yanadai mtawala mpya.
mkifanya michezo yenu basi mkubali kuungana yaani kugawana nusu ya utawala na chama kingine.

la sivyo la sivyo ni machozi mengine kwa taifa.

Mungu hapendi watawala wanaoenda kinyume na anavyotaka, kwa sababu taifa ni la Mungu sio mtawala wa chama fulani au chama fulani.
asanteni kwa kusoma.
Irudiwe wengine hatujaiona
 
Tunasubiri unabii utimie haya mambo ya kiroho sio Kila mtu huyaona
 
sitaki sana kusema mengi kwako samia, kwa sababu najua pia kama ccm ingeamua kupiga kura kuchagua mgombea urais, ungeshindwa.

ila waliamua kuivunja katiba ili kukufanya kuwa mgombea pekee.

sasa onyo langu na la wengi katika ulimwengu wa kiroho wa Mungu, wewe na wenzako, msithubutu kufanya mlichokifanya kwenye mkutano wenu Dodoma, kwenye uchaguzi wa nchi ya Tanzania hapo baadaye.
nakusihi ukishindwa kubali umeshindwa, usibadilishe chochote kama mwenzako alivyofanya 2020.
wa kusikia na asikie, najua mnasema mna pesa ya kubadilisha chochote.

ni sawa ila mkilazimisha kutawala wewe na wenzako, wakati hamjashinda ni kweli utatutawala, lakini mtaliingiza taifa kwenye maombolezo mengine.
majira ya nchi kwa watu wa majira yanadai mtawala mpya.
mkifanya michezo yenu basi mkubali kuungana yaani kugawana nusu ya utawala na chama kingine.

la sivyo la sivyo ni machozi mengine kwa taifa.

Mungu hapendi watawala wanaoenda kinyume na anavyotaka, kwa sababu taifa ni la Mungu sio mtawala wa chama fulani au chama fulani.
asanteni kwa kusoma.

..Mama Abduli asitumie mabavu na kuuwa Watanganyika.

..kama anayataka sana mamlaka namshauri atumie FEDHA.

..Mama Abduli ana pesa, hivyo Uchaguzi usiporwe, bali ununuliwe.
 
Back
Top Bottom