Rais Samia usikubali CDF General Mabeyo astaafu kwani bado anahitajika na sijaona wa kumrithi kwa sasa

Liangalie hili 'Damn Fool' linajifanya lina Akili na kujua Mambo mengi halafu linakosea kwa Kuandika Mkwele badala ya Mkwere. Nikiwa ninakudharau na Kukusanifu usiwe Unakataa au Kuchukia kwani huwa nakuwa Sahihi.
 
mbona yupo Meja General CPA Edward Mathew Mkengule? mama mteue Mkengule ambae kwa sasa ni Mnadhimu jeshini aje akusaidie kazi huku
 
Unanikosea mtani mbona sijawahi kurumbana na wewe, hapo mimi nimechomekea tu kiutani
Kumbe Wewe ni Mtani wangu? Basi nimekuelwa na nimefurahi pia kujua Wewe ni Mtani wangu na Mimi huwa nawapenda sana tu Watani zangu Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Warangi, Wanyamwezi na Wakara.
 
mbona yupo Meja General CPA Edward Mathew Mkengule? mama mteue Mkengule ambae kwa sasa ni Mnadhimu jeshini aje akusaidie kazi huku
Ni Mkatoliki Mwenzangu ( Mwenzetu ) au wq Kwao?
 
Mkiruhusu astaafu mtapigwa na M23 na Rwanda kama Kuku. Watanzania andamaneni CDF Mabeyo asistaafu sasa kwani nawaonea Huruma.
kwani ndo cdf wa kwanza kuwepo kwenye nchi hii hao m23 mbona hawakutupiga kabla ya yeye kuepo, Mabeyo katokea wapi? uongozi ni kupokezana wenye sifa ni wengi sana na isijengwe picha ya kusubirisha ili atengeneze mtu wa dizaini yake.
 
Wapo watumishi bora tu kama yeye jeshini maaana hata yeye mwenyewe kapikwa kwenye hilo hilo jeshi ambalo atakayemrithi ndipo atakapo toka incase ushauri ulitakiwa uwe vetting ya kujaza nafasi yake ifanyike kwa umakini lakini inshu ya kumzuia asistaafu siungi mkono hata kidogo.
 
Fanyeni Makosa yote ila mkimweka CDF Mwanamke asubuhi tu Tanzania inakuwa Mali ya Rwanda na 'Mwamba' Kagame.
Wee nae boya tu huyo takataka wako kagame unamuona kama mungu wako au putin,mwambie ajaribu mbona Kwa jk aliufyata yaan Tz tubabaishwe na ka Rwanda ako pumbafuuuu
 
Yupo mwingine nahisi.
 
Ndio imetoka hiyo, kila mtu atahudumu kwa wakati wake. Wazee watoke, vijana wapate nafasi.
 
Utakuwa una undugu na M7,kwamba Taifa zima hamna kama yeye!!
Ona leo amekuonyesha kwamba vitu vingine unyamaze!!
 
Sema nini, jamaa yangu sometimes huwa unapuyanga sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…