green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
We kenge kweliMkiruhusu astaafu mtapigwa na M23 na Rwanda kama Kuku. Watanzania andamaneni CDF Mabeyo asistaafu sasa kwani nawaonea Huruma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kenge kweliMkiruhusu astaafu mtapigwa na M23 na Rwanda kama Kuku. Watanzania andamaneni CDF Mabeyo asistaafu sasa kwani nawaonea Huruma.
Dah Kumbe tunabishana na mgonjwa akiliAkistaafu huyo Rwanda inachukua Hatamu.
ChawaKwa heshima na taadhima nakuomba Rais wetu Mama Samia hebu muongezee muda Jenerali Mabeyo.
Utumishi wake umetukuka na wa kiwango cha juu na uaminifu wake ulionekana wakati wa kifo cha hayati Rais Magufuli alisimamia mabadiliko ya urais kwa mujibu wa Katiba
Tunakuomba rais mpe miaka 5 Jenerali Mabeyo.
Nimekuelewa sana, ndio maana Bashiru na wahuni wenzake walipotaka kufanya mapinduzi baridi ni Mabeyo ndio aliwaonya na mama akaapishwa mara moja.Nafasi yake ina mtu tayari wapo majenerali 6 ambayo mmoja wapo anauwezo wa kuwa mkuu wa majeshi vizuri sana na hao wote kikwete ndio aliwandaaa wakati anaondoka hta mabeyo kikwete ndio alimuandaaa ila akamuegesha mahali Magu alipokuja akamteuwa kuwa mkuu wa majeshi akijua yeye ndio kamuweka kumbe ulikuwa mtego tu
Ana ubongo wa kuku mkuu we mwache tu upeo wake umeishia hapoAcha mawazo mfu kufikiri kua kama hanma watu wa kufanya hiyo kazi asipokuwepo. Huko jeshin hakuna watu zaidi ya mabeyo. Yeye aondoke ofisin. Pale Kuna watu wazuri zaidi yake
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Chawa wa NgoshaMama atakuwa amekusoma na kama hajakusoma basi atafikishiwa ujumbe na wapambe wake.
Mabeyo anayo hofu ya Mungu, ndio maana anajitahidi kwa uwezo wake kutenda mema kwa ajili ya maisha ya baadae baada ya kifo.
Hv Mabeyo ana miaka 65!?Miaka 65 kwa askari ni mzee wa kupindukia!! Apumzike kwa amani duniani badala ya kusubiri kupumzika kwa lazima kaburini!
yapHv Mabeyo ana miaka 65!?
kwani alikua anafanyakazi peke yake mkuu auAkistaafu huyo Rwanda inachukua Hatamu.
inaonesha kiasi gani hujui mambo ya system endelea kulima matikiti mkuuFanyeni Makosa yote ila mkimweka CDF Mwanamke asubuhi tu Tanzania inakuwa Mali ya Rwanda na 'Mwamba' Kagame.
Inawezekana maana muda wake wa kustaafu ulishapita akaongezewa muda, hata Sirro ni hivyo hivyo ameshavuka miaka 60 anapaswa kustaafu sasa.Hv Mabeyo ana miaka 65!?
Huyo ni mental case, asikupotezee muda wako.inaonesha kiasi gani hujui mambo ya system endelea kulima matikiti mkuu
Yes indeed.Post ya hovyo zaidi kwa mwezi huu
walihendekeza ushindi wa kuiba wakachukua advantage ya wahamiaji kutok nchini kwenu sasa inakula kwao😅😅Wamechelewa sana.
Kwa mwamunyange mluchukua?Akistaafu huyo Rwanda inachukua Hatamu.
We POPOMA subiri CDF toka pembaNajua huwa Unanisoma mno hapa JamiiForums kama ilivyo kwa 75% ya Watendaji wako wa Idara Muhimu ya Makao Makuu Oysterbay jirani na Kanisa la Mtakatifu Petro.
Mama (Rais) Samia asikudanganye Mtu kwa sasa bado hakuna right Candidate wa Kumrithi CDF General Mabeyo kutokana na tunayoyasikia (chini chini) huko na jinsi huyu Mabeyo (CDF) alivyoweza Kuliheshimisha Jeshi kuliko lilivyokuwa huko nyuma ambako kuna baadhi ya Maadili ndani ya Wahusika yalianza Kumomonyoka.
Ombi langu Kwako Mpendwa Rais wangu (Mama) mkatalie kwa sasa CDF Mabeyo Kustaafu ila muongezee hadi utakapoapishwa tena Novemba 2025 ili aanze Kukuandalia Mbadala wake ambaye angalau kwa 95% atakuwa anafanana nae kwa Utendaji wa Kutukuka.
Najua kuna Majina unayo tayari Mezani Kwako na lipo la Mmoja kutoka Zanzibar ambaye alikuwa huku Bara muda mrefu ila kwa Kauli za Wenzao amba Sisi Watu wa Kawaida sana Tanzania hii akina GENTAMYCINE huwa tunazisikia kutokana na kuwa na Masikio Makubwa wanasema hawawezi na wana 'makandokando' mengi.
Najua huwezi Kuniangusha Mama.
Cc: adriz
Kabla ya yeye kuwa CDF hao M23 walichukua nchi ipi? Hoja zako hazina msingiAkistaafu huyo tu M23 wanaichukua Tanzania. Msikubali CDF General Mabeyo astaafu. Andamaneni Watanzania wote shauri zenu.
Wasalimie Ukraine huko potiJeshi ni taasisi kubwa haiwezi kumtegemea mtu mmoja.
Ulichokiona na kukisikia baada ya Dr Magufuli kuondoka ulikuwa msimamo wa uongozi mzima wa jeshi kwa maana CDF,Chief of Staff,Chief of Air Force,Chief of Navy,Chief of Infantry,Chief of National Services,Chief of Personel,Chief of Military Intelgency and Chief of Medical Services.
Hivi ndio vichwa vilivyokaa na kuamua katiba lazima ifuatwe na iheshimuwe.Mmoja wapo katika ya hao niliowataja hapo juu atachukua mikoba ya General Mabeyo and most likely is Chief of Staff kama seniority itazingatiwa.
Ngongo kwasasa Ukraine.
hapo kwenye hofu ya MunguMama atakuwa amekusoma na kama hajakusoma basi atafikishiwa ujumbe na wapambe wake.
Mabeyo anayo hofu ya Mungu, ndio maana anajitahidi kwa uwezo wake kutenda mema kwa ajili ya maisha ya baadae baada ya kifo.