Rais Samia usikubali CDF General Mabeyo astaafu kwani bado anahitajika na sijaona wa kumrithi kwa sasa

M23 wawe tishio kwa Tanzania
Unaota wewe

Punguza ulevi
Mkikubali tu CDF General Mabeyo ( tunayemuogopa sana sisi Warutsi ) astaafu Mwezi huu June basi M23 watakuja Kuichukua Tanzania yote.

Shauri zenu.....!!!!!
 
We jamaa ni fala wa mwisho hovyo kabisa ms**e mmoja wewe
 
sikujuwi bali nahisi wewe ni msomi wa kiwango fulani,lakini sikuungi mkono ktk hili sheria inasemaje kwenye umri wa kustaafu?Ikiwa kila mtu aliyefanya vema asistaafu hapa tutatengeza chuki.
 
Baadae mnalalamika vija hampewi nafasi... Tuna waseeng wweengi saana hii Nchi aisee
 
Sukuma gang
 
Hapana sikuungi mkono kwenye hili wapo watanzania wengi waaminifu wanaweza kushika nafasi hii General apumzike ameifanyia nchi makubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…