Rais Samia usikubali CDF General Mabeyo astaafu kwani bado anahitajika na sijaona wa kumrithi kwa sasa

Rais Samia usikubali CDF General Mabeyo astaafu kwani bado anahitajika na sijaona wa kumrithi kwa sasa

Kwa heshima na taadhima nakuomba Rais wetu Mama Samia hebu muongezee muda Jenerali Mabeyo.

Utumishi wake umetukuka na wa kiwango cha juu na uaminifu wake ulionekana wakati wa kifo cha hayati Rais Magufuli alisimamia mabadiliko ya urais kwa mujibu wa Katiba

Tunakuomba rais mpe miaka 5 Jenerali Mabeyo.

View attachment 2252345

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
hivi ni nani aliyetupatia ujinga wa hivi. Eeeh Mungu tunaomba ukombozi wako
 
Kwa Heshima na Taadhima nakuomba RAIS Wetu Mama SAMIA hebu MUONGEZEE MUDA Jenerali MABEYO.
Utumishi wake UMETUKUKA na Wa KIWANGO cha JUU na UAMINIFU wake ulionekana Wakati wa KIFO cha HAYATI RAIS MAGUFULI alisimamia MABADILIKO ya URAIS kwa MUJIBU wa KATIBA
Tunakuomba RAIS Mpe MIAKA 5 Jenerali MABEYOView attachment 2252345

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
CDF Mwamunyange aliongezewa muda ili ipatikane muda wa kutosha kumuandaa General Mabeyo, kwasababu kwa wote waliokuwepo kwenye seniority line up, there was no preferable choice, lakini sasa kwa Mama, preferable choice ipo, aongezwe muda wa nini?.

Mimi naendelea tuu kusisitiza, kwenye ujio wa CDF mpya, hoja za bandiko hili, Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine? zizingatiwe!.
P
 
Kwa Heshima na Taadhima nakuomba RAIS Wetu Mama SAMIA hebu MUONGEZEE MUDA Jenerali MABEYO.
Utumishi wake UMETUKUKA na Wa KIWANGO cha JUU na UAMINIFU wake ulionekana Wakati wa KIFO cha HAYATI RAIS MAGUFULI alisimamia MABADILIKO ya URAIS kwa MUJIBU wa KATIBA
Tunakuomba RAIS Mpe MIAKA 5 Jenerali MABEYOView attachment 2252345

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Muacheni kamanda akapumzike, amelitumikia taifa kikamilifu, kiadilifu na kiaminifu kwa zaidi ya miaka 40, sasa ni vizuri akapumzika, amefanya kazi kubwa sana, heshima kwako Jenerali.
 
Kwa heshima na taadhima nakuomba Rais wetu Mama Samia hebu muongezee muda Jenerali Mabeyo.

Utumishi wake umetukuka na wa kiwango cha juu na uaminifu wake ulionekana wakati wa kifo cha hayati Rais Magufuli alisimamia mabadiliko ya urais kwa mujibu wa Katiba

Tunakuomba rais mpe miaka 5 Jenerali Mabeyo.

View attachment 2252345

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Acheni uchawi, hkuna wanajeshi wengine wenye sifa. Kësho mtataka pia RAIS aongezewe Muda Sasa. Miaka 65 jeshin amebakiza Nini??. Mwache aende RAIS asisikilize huu ujinga
 
Tahira kweli wewe nchi hii unadhani inajenero mmoja Sasa ujue yeye mwenyewe Hana furaha ,anaweza tengenezewa utaratibu na wezake akakuta ofisini hayupo
 
Kwa heshima na taadhima nakuomba Rais wetu Mama Samia hebu muongezee muda Jenerali Mabeyo.

Utumishi wake umetukuka na wa kiwango cha juu na uaminifu wake ulionekana wakati wa kifo cha hayati Rais Magufuli alisimamia mabadiliko ya urais kwa mujibu wa Katiba

Tunakuomba rais mpe miaka 5 Jenerali Mabeyo.

View attachment 2252345

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Ndugu yangu hiki nini unashauri kwa Rais?
 
CDF Mwamunyange aliongezewa muda ili ipatikane muda wa kutosha kumuandaa General Mabeyo, kwasababu kwa wote waliokuwepo kwenye seniority line up, there was no preferable choice, lakini sasa kwa Mama, preferable choice ipo, aongezwe muda wa nini?.

Mimi naendelea tuu kusisitiza, kwenye ujio wa CDF mpya, hoja za bandiko hili, Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine? zizingatiwe!.
P
Ondoa hiyo hoja yako hapo chini haina mashiko
 
Najua huwa Unanisoma mno hapa JamiiForums kama ilivyo kwa 75% ya Watendaji wako wa Idara Muhimu ya Makao Makuu Oysterbay jirani na Kanisa la Mtakatifu Petro.

Mama (Rais) Samia asikudanganye Mtu kwa sasa bado hakuna right Candidate wa Kumrithi CDF General Mabeyo kutokana na tunayoyasikia (chini chini) huko na jinsi huyu Mabeyo (CDF) alivyoweza Kuliheshimisha Jeshi kuliko lilivyokuwa huko nyuma ambako kuna baadhi ya Maadili ndani ya Wahusika yalianza Kumomonyoka.

Ombi langu Kwako Mpendwa Rais wangu (Mama) mkatalie kwa sasa CDF Mabeyo Kustaafu ila muongezee hadi utakapoapishwa tena Novemba 2025 ili aanze Kukuandalia Mbadala wake ambaye angalau kwa 95% atakuwa anafanana nae kwa Utendaji wa Kutukuka.

Najua kuna Majina unayo tayari Mezani Kwako na lipo la Mmoja kutoka Zanzibar ambaye alikuwa huku Bara muda mrefu ila kwa Kauli za Wenzao amba Sisi Watu wa Kawaida sana Tanzania hii akina GENTAMYCINE huwa tunazisikia kutokana na kuwa na Masikio Makubwa wanasema hawawezi na wana 'makandokando' mengi.

Najua huwezi Kuniangusha Mama.

Cc: adriz
Hivi ni uongozi wa CDF gani Jeshi liligeukia kazi ya kutoa matamko ya Kisiasa? Mara kufagia barabara Wapinzani wasiandamane, mara matamko makali kuhusu uchaguzi!! Nadhani ilikuwa 2010.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Najua huwa Unanisoma mno hapa JamiiForums kama ilivyo kwa 75% ya Watendaji wako wa Idara Muhimu ya Makao Makuu Oysterbay jirani na Kanisa la Mtakatifu Petro.

Mama (Rais) Samia asikudanganye Mtu kwa sasa bado hakuna right Candidate wa Kumrithi CDF General Mabeyo kutokana na tunayoyasikia (chini chini) huko na jinsi huyu Mabeyo (CDF) alivyoweza Kuliheshimisha Jeshi kuliko lilivyokuwa huko nyuma ambako kuna baadhi ya Maadili ndani ya Wahusika yalianza Kumomonyoka.

Ombi langu Kwako Mpendwa Rais wangu (Mama) mkatalie kwa sasa CDF Mabeyo Kustaafu ila muongezee hadi utakapoapishwa tena Novemba 2025 ili aanze Kukuandalia Mbadala wake ambaye angalau kwa 95% atakuwa anafanana nae kwa Utendaji wa Kutukuka.

Najua kuna Majina unayo tayari Mezani Kwako na lipo la Mmoja kutoka Zanzibar ambaye alikuwa huku Bara muda mrefu ila kwa Kauli za Wenzao amba Sisi Watu wa Kawaida sana Tanzania hii akina GENTAMYCINE huwa tunazisikia kutokana na kuwa na Masikio Makubwa wanasema hawawezi na wana 'makandokando' mengi.

Najua huwezi Kuniangusha Mama.

Cc: adriz
Acha mawazo mfu kufikiri kua kama hanma watu wa kufanya hiyo kazi asipokuwepo. Huko jeshin hakuna watu zaidi ya mabeyo. Yeye aondoke ofisin. Pale Kuna watu wazuri zaidi yake

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Kabla ya Mabeyo alikuwepo Davis Mwamunyange na kabla ya Mwamunyange alikuwepo Robert Mboma....baada ya Mabeyo yupo mwingine atakuja tu..

Hakuna binadamu special duniani, kila binadamu anareplacemeny yake kwenye kazi, wakati wakupumzika au kustaafu ukifika mhusika aende na wengine wakae...
Atakuja mwingine, na jeshi letu litabaki imara,
 
Upumbavu kama huu wa kutukuza mtu badala ya mfumo inabidi sisi wenye akili tuukemee vikali.
Hukumfahamu Mabeyo kabla ya kuwa CDF, vivyo hivyo atakuja mwingine mwenye uwezo….. mambo ya kutaka wazee wafie ofsini ni upuuzi.
 
Najua huwa Unanisoma mno hapa JamiiForums kama ilivyo kwa 75% ya Watendaji wako wa Idara Muhimu ya Makao Makuu Oysterbay jirani na Kanisa la Mtakatifu Petro.

Mama (Rais) Samia asikudanganye Mtu kwa sasa bado hakuna right Candidate wa Kumrithi CDF General Mabeyo kutokana na tunayoyasikia (chini chini) huko na jinsi huyu Mabeyo (CDF) alivyoweza Kuliheshimisha Jeshi kuliko lilivyokuwa huko nyuma ambako kuna baadhi ya Maadili ndani ya Wahusika yalianza Kumomonyoka.

Ombi langu Kwako Mpendwa Rais wangu (Mama) mkatalie kwa sasa CDF Mabeyo Kustaafu ila muongezee hadi utakapoapishwa tena Novemba 2025 ili aanze Kukuandalia Mbadala wake ambaye angalau kwa 95% atakuwa anafanana nae kwa Utendaji wa Kutukuka.

Najua kuna Majina unayo tayari Mezani Kwako na lipo la Mmoja kutoka Zanzibar ambaye alikuwa huku Bara muda mrefu ila kwa Kauli za Wenzao amba Sisi Watu wa Kawaida sana Tanzania hii akina GENTAMYCINE huwa tunazisikia kutokana na kuwa na Masikio Makubwa wanasema hawawezi na wana 'makandokando' mengi.

Najua huwezi Kuniangusha Mama.

Cc: adriz
Acha uzwazwa akifa je,napo atamzuia asizikwe?
 
Back
Top Bottom