Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Mimi si wewe na wewe si Mimi ufahamu Wangu wa kijuha Magufuli hakuwa na hatakuwa Dikteta ni maoni yangu. Serikali haipigwi dole baya.
 
Mimi si wewe na wewe si Mimi ufahamu Wangu wa kijuha Magufuli hakuwa na hatakuwa Dikteta ni maoni yangu. Serikali haipigwi dole baya.
EeeeenHeeee!
Hakika "ni maoni yako", kama nami nilivyo na maoni yangu kwamba Magufuli alikuwa ni Dikteta, tena dikteta mtoa roho za watu.
Asingefanya hayo, pengine wewe na mimi tungekuwa pamoja tukimkumbuka kwa yale mengine ambayo sote tuliyapenda alipokuwa akiyahimiza.
 
na jicho lake lile wamtaftie miwani mweusi tiii Mana daaaa anatuchanganya wanamchananya
 
Hapo kwenye WAMACHINGA umechemka
 
Nasimamia Magufuli hakuwahi kuwa Dikteta, muhimu kutokukubaliana nayo ni afya pia kukubali kutokukubaliana.
 
Nasimamia Magufuli hakuwahi kuwa Dikteta, muhimu kutokukubaliana nayo ni afya pia kukubali kutokukubaliana.
Pengine unayo maana yako ya kipekee inayoelezea maana ya neno "dikteta"ni nini. Lakini kama unatumia maana ile ile inayotumiwa na wengi, Magufuli hawezi kutokuwa Dikteta.
Haitoshi tu kukubali kutokubaliana wakati jambo linajieleza lenyewe.
 
hawezi kushinda 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…