Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Hao sukuma gang ni wachumia tumbo wa JPM hawana msingi wowote wa sauti zao kusikilizwa na kuheshimiwa.

Ulikuwepo mtandao wa JK na Lowassa leo hii upo wapi?, ulisambaratishwa ukapotea.

Na wao watapotea mapema tu. Mama aendelee kujifungua ili makucha yake yawe kazini muda wote.

Apambanie maslahi ya Tanzania, haya makundi ni unafiki mtupu.
Wanafiki watupu. Ukiawaangalia juu juu utadhani watu kweli
 
Mnapokosea ni ile kusema ati asifanye kazi na watu wa Maguguli.I can tell you hapo mnakosea sana na mnataka kumwangusha.Wabunge wote waliyopo ni wa Magufuli.sasa unaposema ati asifanye kazi na watu wamagufuli what do you mean ?Hivi wakitaka kumwangusha si ni kupitisha azimio kule bugeni kuwa hawana Imani na Rais? What is so wrong akifanya kazi na watu wa Magufuli? Guys acheni kumpotosha rais wetu.Na akifanya vita na watu wa Magufuli vita hii itamshinda vibaya sana.Yawezekana kuna mahara JPM alikosea lakini makosa yake ni 5% ya mabaya yake compared to 95 % ya mazuri aliyoifanyia nchi hii.She better be careful na watu wa Magufuli. Mnapokosea etu watu wa Magufuli ni wasukuma.you are 100% wrong.

Hata wabunge wanaojifanya kuwa wanamchukia JPM wakati yeye ndiye aliyewapitisha na kuwanadi kwa waanchi,nao mwisho wao 2025.Nawashauri wafanye kazi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 ,mambo mengini hayana faida kwa taifa letu.
Mama ukifanya vita na watu wa Magufuli iko siku watakurushia bomu la shutuma hutapona walahi.
Pale sasa kuna wabunge?
 
Hata masanja mkandamizaji kwenye hii nchi akigombea CCM anaweza kushinda........hamna jipya uchaguzi ukifika,TISS,polisi,wanajeshi,walimu wote wanaisaidia CCM ibaki madarakani maana ndio ulaji wao ulipo
Mbadilishe mtu hapo juu,
Mmtoe T Lisu na mbowe wasigombee nafasi za juu
Na mlete mtu mwenye akili ya kutulia
Kisha.muombe radhi wananchi kwa makosa yote yaliyosababishwa na wao.
 
Uzuri wa watz huwa hawajali nani yuko madarakani na ni wa chama gani, wao wanachojali ni maisha yao yaende tuu.

Uzuri wa watz hawaandamani road ila huo msusio watakaokupa utajuta mwenyewe, utapigwa vita ya kidiplomasia ndani kwa ndani mpaka ukome.

Sasa mama walimuingiza chaka kwenye haya mambo:


1. Tozo za miamala
2. Kuwafurusha wamachinga
3. Mfumuko wa bei unaopanda kila mwezi hasa mafuta
4. Kubwa kuliko ni kesi ya ugaidi ya FAM, ambayo hata darasa la 7 anaona "hapa hamna kitu".
5. Kuendelea kufanya kazi na 90% ya awamu iliyopita.


Hayo mambo juu yasiposawazishwa 2025 % ya kushinda ni <20% hata atumie goli la mkono.
5 imebeba yote hayo juu, ni kwasababu hiyo hayo ya tozo, mfumuko wa bei nk yametokea. Yataendelea mengi mengine kutoka hapo.
 
Mwafaka wa kitaifa na nani, hao wanaomhujumu au watu gani?
 
Lofa wewe huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono, mdanganyeni mama yenu atajuta mwenyewe Sukumagang sio Wasukuma Kama unavyofahamu ni Magufuli followers wote ambao wengi wapo mikoa hyo kwan niliposema Dodoma uliamin Kuna Wasukuma? Kuna Kuna wagogo lakin ni Magufuli followers,
Kasafishe kabuli chato! Samia ndo Rais wa JMT hadi 2030 penda usipende
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Bila shaka wewe ni msukuma.
Hamna pa kutokea hata mseme nini.
Mlitamba sana kipindi cha utawala wa msukuma mwenzenu uliotukuka kwa ubaguzi wa kikabila na ukanda.Tulieni dawa iwaingie.Wasiomkubali mama ni ninyi peke yenu,sisi wengine tunamkubali sana.Usiwataje chadema maana hao ni mavuvuzela tumeawazoea.Hakuna chochote kinachowaridhisha hao.
 
Uzuri wa watz huwa hawajali nani yuko madarakani na ni wa chama gani, wao wanachojali ni maisha yao yaende tuu.

Uzuri wa watz hawaandamani road ila huo msusio watakaokupa utajuta mwenyewe, utapigwa vita ya kidiplomasia ndani kwa ndani mpaka ukome.

Sasa mama walimuingiza chaka kwenye haya mambo:


1. Tozo za miamala
2. Kuwafurusha wamachinga
3. Mfumuko wa bei unaopanda kila mwezi hasa mafuta
4. Kubwa kuliko ni kesi ya ugaidi ya FAM, ambayo hata darasa la 7 anaona "hapa hamna kitu".
5. Kuendelea kufanya kazi na 90% ya awamu iliyopita.


Hayo mambo juu yasiposawazishwa 2025 % ya kushinda ni &lt;20% hata atumie goli la mkono.
.
Mama kadanganywa na kikwete alidhani uraisi ni kazi rahisi akaanza kumtukana MAGUFULI THE GREAT sasa lazima atapata tabu sana atakapokuwa anashindwa jambo lolote kulifanya vizuri maana aliingia madarakani kwa kujipigapiga kifua dhidi ya jpm akitaka kutuaminisha kuwa yeye ana akili kuliko jpm
Zulumati wa NSSF the great labda kwenu na kaukoo kenu....
 
Lofa wewe huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono, mdanganyeni mama yenu atajuta mwenyewe Sukumagang sio Wasukuma Kama unavyofahamu ni Magufuli followers wote ambao wengi wapo mikoa hyo kwan niliposema Dodoma uliamin Kuna Wasukuma? Kuna Kuna wagogo lakin ni Magufuli followers,
Ole lela lela sana nyanda...humulaga eehhomba...na manombo yapyaga
 
Mnapokosea ni ile kusema ati asifanye kazi na watu wa Maguguli.I can tell you hapo mnakosea sana na mnataka kumwangusha.Wabunge wote waliyopo ni wa Magufuli.sasa unaposema ati asifanye kazi na watu wamagufuli what do you mean ?Hivi wakitaka kumwangusha si ni kupitisha azimio kule bugeni kuwa hawana Imani na Rais? What is so wrong akifanya kazi na watu wa Magufuli? Guys acheni kumpotosha rais wetu.Na akifanya vita na watu wa Magufuli vita hii itamshinda vibaya sana.Yawezekana kuna mahara JPM alikosea lakini makosa yake ni 5% ya mabaya yake compared to 95 % ya mazuri aliyoifanyia nchi hii.She better be careful na watu wa Magufuli. Mnapokosea etu watu wa Magufuli ni wasukuma.you are 100% wrong.

Hata wabunge wanaojifanya kuwa wanamchukia JPM wakati yeye ndiye aliyewapitisha na kuwanadi kwa waanchi,nao mwisho wao 2025.Nawashauri wafanye kazi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 ,mambo mengini hayana faida kwa taifa letu.
Mama ukifanya vita na watu wa Magufuli iko siku watakurushia bomu la shutuma hutapona walahi.
Sukuma gang in action
 
Hahahaha mkuu nakuona ukiamini sukuma gang Wana nguvu sana hahahaha hivi ni vichekesho kama vile vya Voda/tigo tu .

Hawana lolote na hawajawahi kuwa na lolote Hawa wa kupiga chini

Stori za wabunge ni zao la magu na Bado wanaamini kwenye upuuzi wa magu ni stori za kitoto tu sijui watapitisha azimio hawana imani na raisi (wakati wanapitisha ye amekaa tu akiwasubiri wajikusanye kusanye ) anawaachaje kulifuta bunge

Mkuu kifupi we ni mnufaika wa sukuma gang na unawapigia promo kijanja hawa wapuuzi wataondoka mmoja baada ya mwingine na hawatakuwa na Iyo nguvu uisemayo (wakitoka tu nje ya mfumo kwisha habari yao)
Fikicha macho uondoe tongotongo wewe kibwengwo
 
Ushauri wangu Ni kufuta baraza la mawaziri na aanze na wakwake 2022,pia makundi yote yaliyotengana naye akae na wadau wa kisiasa wote na awasikilize na kutekeleza mapungufu yaliyopo.pia azingatie takes la wananchi juu ya katiba mpya iliyojadiliwa na wananchi,chadema Ni wawakilishi wa wananchi kwakuwa wao Ni taasisi.
 
Ningelipata nafasi ya kumshauri Mama neno moja tu, ningemshauri ahamishie alichokifanya Karume Jr, afanye kampeni ya muafaka wa kitaifa, serikali ya umoja wa kitaifa, katiba ibadilishwe kuwapatia room wapinzani.

In that case, CCM itajihakikishia kubaki na wapinzani watajihakikishia nafasi ya ushiriki kwenye serikali.

Kuongoza watanganyika ni rahisi sana, coz wengi wao wanalilia maslahi tu! Agawe keki ya taifa kwa wote.
Kumbe tunahitaji katiba ili kuwa room wapinzani?[emoji848][emoji848]
 
Kwa katiba hii tuliyonayo bado ntakuwa wa mwisho ati wana CCM kumtisha Mwenyekiti wa CCM taifa na ambaye ni amiri jeshi mkuu wa majeshi yote kwamba Urais wake 2025 unajadiliwa kama anatosha.

Narudia tena kwa Katiba hii huwezi mtisha Rais wa Tanzania.
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Atiletee katiba mpya, hatahitaji kuhangaika na sukumagang, Wala anaowaita wapinzani/mahasimu wa kijani.
 
Ushauri wangu Ni kufuta baraza la mawaziri na aanze na wakwake 2022,pia makundi yote yaliyotengana naye akae na wadau wa kisiasa wote na awasikilize na kutekeleza mapungufu yaliyopo.pia azingatie takes la wananchi juu ya katiba mpya iliyojadiliwa na wananchi,chadema Ni wawakilishi wa wananchi kwakuwa wao Ni taasisi.
Amerithi Serikali yenye maadui wengi sana ambao mwendazake aliwatengeneza.

Cha msingi mwaka mpya huu kwa kuanza aachane kabisa na uhasama wa kisiasa, afute kesi zote za kisiasa ili kutafuta mwanga mpya wa kisiasa kwake.

Ndani ya CCM kuna kundi kubwa la mwendazake nalo si la kubeza ; nje ya CCM nako si salama kabisa watu wanataka katiba mpya...na huwenda uchaguzi wa 2025 ukazolota kabisa tangu vyama vya siasa vianze.

Ana changamoto nyingi mno.
 
Back
Top Bottom