Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Kama hujui Hili kundi Lina kura zaidi ya asilimia 60 anzia Mwanza, Mara, Geita, Simiyu, Tabora , Dodoma, Shinyanga,Katavi, kigoma, Morogoro, Kagera unafikili hizo kura ni Chache?
Shida wengi hawaijui political demographics za nchi hiiiiiiiiii.Usichezee Kanda pendwa ni pendwa kwa sababu maalumu.Isye isye bana ng'weli isyeeeeee
 
chadema walimbeba kwa slogan ya mama anaupiga mwingi. mara paap akawalambua likofi la haja kwa kumkamata gaidi
 
JPM hakusumbuliwa na kutishwa na makundi ya MTANDAO ndani ya CCM wala hao CHADEMA waliokuwa KIMYAAAA kipindi cha awamu ya 5........

Mh.Chifu mkuu Hangaya anaupiga mwingi na aendelee kuchanganya STYLE ya JPM na STYLE ya upole wake.....

NCHI NGUMU HII kwani haijawahi kupata RAIS aliyekubaliwa na kusifiwa na makundi mengi MAKUBWA....

ADUMU CHIFU WETU MKUU HANGAYA🙏

ADUMU MH.RAIS SSH, aaamin aaamin🙏

SIEMPRE JMT🙏
Huu utopolo toka Denmark ungeachana nao. CHaDEMA walikuwa kimya!? Kwa dhuluma zote walizofanyiwa na makatazo ya shughuli za siasa za malaika jpm hiyo nguvu wangeitoa wapi!? Unadhani nao wan mioyo ya chuma isiyoogopa risasi , vifungo magerezani na hujuma za kiuchumi !?
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Unaweza kuniambia hilo kundi unalosema la sukuma gang kiongozi wake ni nani na kwa akili yako km limejikusanya mpk likapata kiongozi wake.Serekali haimujui kumbuka Lowasa alikuwa na nguvu na yuko.hai alifanya nini.achen kucheza na Rais anamadaraka makubwa na hamuwezi.kumfanya chochote.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hapo kuhusu wapinzni na hasa Mbowe amechemka sana.
Ila wapinzani wa ndani ya chama chake anawanyoosha.
Suala la MBOWE ili Maushungi apoze kundi Moja la MBOWE ni kumfutia mashitaka au Kama anaogopa kudhalilika ampige fine hata ya milioni kumi then amuachie huru tofauti na hapo Hilo kundi litammaliza kisiasa make Sukumagang tayari ameshakosana nalo basi ajitahid Chaggagang alirudishe kundini tofauti na hapo mama Wafa kisiasa
 
Mnapokosea ni ile kusema ati asifanye kazi na watu wa Maguguli.I can tell you hapo mnakosea sana na mnataka kumwangusha.Wabunge wote waliyopo ni wa Magufuli.sasa unaposema ati asifanye kazi na watu wamagufuli what do you mean ?Hivi wakitaka kumwangusha si ni kupitisha azimio kule bugeni kuwa hawana Imani na Rais? What is so wrong akifanya kazi na watu wa Magufuli? Guys acheni kumpotosha rais wetu.Na akifanya vita na watu wa Magufuli vita hii itamshinda vibaya sana.Yawezekana kuna mahara JPM alikosea lakini makosa yake ni 5% ya mabaya yake compared to 95 % ya mazuri aliyoifanyia nchi hii.She better be careful na watu wa Magufuli. Mnapokosea etu watu wa Magufuli ni wasukuma.you are 100% wrong.

Hata wabunge wanaojifanya kuwa wanamchukia JPM wakati yeye ndiye aliyewapitisha na kuwanadi kwa waanchi,nao mwisho wao 2025.Nawashauri wafanye kazi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 ,mambo mengini hayana faida kwa taifa letu.
Mama ukifanya vita na watu wa Magufuli iko siku watakurushia bomu la shutuma hutapona walahi.
Na hao ndio wanaompotosha. Spana anazopigwa saizi ni kuchukia team ya Magufuli
 
Makosa ni sehemu ya maboresho ya taasisi yoyote ile. Ila hiyo haiondoi ukweli kuwa kwa sasa CCM haina uwezo tena wa kushinda kihalali kwa zaidi ya 2/3. Na haitakaa iweze tena kwani hiki sio kizazi cha ccm.
Mimi upinzani niliupenda sana tu hasa CHADEMA, Lakini siku Mwenyekiti alipobadili gia angani na kumpitisha mtu aliyesemwa sana na wapinzani kwamba ni fisadi kugombea uraisi, kuanzia siku hiyo nikakata tamaa na upinzani kabisa. Ya au mhhh.
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Asante kwa uchambuzi wako kilichopo maadui wa mama wapo hukohuko ccm naamini upinzani hususani chadema wala hawana uadui na mama,karata imechezwa na maadui wake humohumo chamani kwake kumuongezea adui mwingine(chadema) Mungu mwema maza kastuka hajachelewa asafishe wote,ayajenge na upinzani mbona jk alifanyakazi na upinzani na alimaliza salama na mwisho awaletee katiba mpya watanzania atamalize ungwe yake vizuri.
 
Mpuuzi wewe kwa iyo Kagera, Mara, Dodoma na Morogoro kumejaa wasukuma??😂😂😂

Kweli nyie jamaaa ni washamba na wajinga sana!!

Na kwa ukabila wenu huo sahauni tena kushika madaraka ya hii nchi wajinga nyie
Lofa wewe huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono, mdanganyeni mama yenu atajuta mwenyewe Sukumagang sio Wasukuma Kama unavyofahamu ni Magufuli followers wote ambao wengi wapo mikoa hyo kwan niliposema Dodoma uliamin Kuna Wasukuma? Kuna Kuna wagogo lakin ni Magufuli followers,
 
Mnapokosea ni ile kusema ati asifanye kazi na watu wa Maguguli.I can tell you hapo mnakosea sana na mnataka kumwangusha.Wabunge wote waliyopo ni wa Magufuli.sasa unaposema ati asifanye kazi na watu wamagufuli what do you mean ?Hivi wakitaka kumwangusha si ni kupitisha azimio kule bugeni kuwa hawana Imani na Rais? What is so wrong akifanya kazi na watu wa Magufuli? Guys acheni kumpotosha rais wetu.Na akifanya vita na watu wa Magufuli vita hii itamshinda vibaya sana.Yawezekana kuna mahara JPM alikosea lakini makosa yake ni 5% ya mabaya yake compared to 95 % ya mazuri aliyoifanyia nchi hii.She better be careful na watu wa Magufuli. Mnapokosea etu watu wa Magufuli ni wasukuma.you are 100% wrong.

Hata wabunge wanaojifanya kuwa wanamchukia JPM wakati yeye ndiye aliyewapitisha na kuwanadi kwa waanchi,nao mwisho wao 2025.Nawashauri wafanye kazi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 ,mambo mengini hayana faida kwa taifa letu.
Mama ukifanya vita na watu wa Magufuli iko siku watakurushia bomu la shutuma hutapona walahi.
Zalemda you are right. Kujaribu kufanya tumuatimua kama huyo jamaa anavyo shauri kunaweza kuleta mitafaruku isiyo kuwa ya lazima. Rais aliyepita ameondoka madarakani kwa kifo, hivyo bado ana wafuasi wengi sana.
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Hao sukuma gang ni wachumia tumbo wa JPM hawana msingi wowote wa sauti zao kusikilizwa na kuheshimiwa.

Ulikuwepo mtandao wa JK na Lowassa leo hii upo wapi?, ulisambaratishwa ukapotea.

Na wao watapotea mapema tu. Mama aendelee kujifungua ili makucha yake yawe kazini muda wote.

Apambanie maslahi ya Tanzania, haya makundi ni unafiki mtupu.
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Kwani anahitaji kura ili avuke?
 
Back
Top Bottom