Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Uko sahihi 100%.
Dkt Magufuli aliweza kuongoza vizuri bila kutegemea makundi. Hao wapinzani waliishiwa kabisa sera kwa sababu Dkt Magufuli alikuwa upande wa wananchi. Mama alichokosea kabisa kwanza ni kuafiki kwake bila kukemea Dkt Magufuli kutukanwa (Dkt Magufuli aliwa kukemea na kupiga marufuku kumtukana au kumkejeli Dkt JK). Lakini Mama akaenda mpaka kupiga picha na Mange mtu ambaye system inamchukulia ni msaliti maana hakuwa na jema kwa nchi. Pia Mama kakubali kuingizwa mkenge na wahuni wa kuwatungia jina la SUKUMA gang wale wote wanaoamini ktk uzalendo kwa nchi hii kitu ambacho alipaswa akemee haraka sana hizo kejeli. Alikubali watu wamdhihaki Dkt Magufuli kwa kumuita eti mwendazake etc. labda kama ilikuwa ni mfumo ili kupembua, ila ni muhimu sana tena sana yeye kutambua yeye na Dkt Magufuli ni kitu kimoja, na wananchi walikuwa wanamkubali sana Dkt Magufuli. Yaani ni kama Dkt JK 2005, yaani wananchi walipiga kuta kwa Dkt JK tu. Ndiyo maana Mama anapaswa ausome mchezo mapema maana wahuni wamemtengenezea matukio mabaya mabaya ili aonekane hafai (mfano lile la prof mkenda, machinga, kuchoma masoko, kutaka kulazimisha mgao wa umeme, kulazimisha mgao wa maji, chanjo ya korona na kutaka kulazimisha lockdown). Kikubwa tuungane kumuombea Mama aweze kuendelea na kushinda 2025.
 
Kizazi kimebadilika hiki, kama ccm ilikuwa na uwezo wa kushinda kwanini ilipika idadi ya wapiga kura? Ni kweli ccm ingeweza kushinda kiti cha urais hata kwa kura halali kwa sababu za kihistoria, lakini ungekuwa ushindi mwembamba sana, na ccm isingeweza kupata 2/3 ya wabunge inayowawezesha kuamua chochote huko bungeni watakavyo. Ukweli huu unaumiza.
po ndio unajivunjia heshima kabisa. Nani angeliishinda CCM 2020 ? Kwa upinzani uchwara huu. Endelea kujidanganya.
 
Sikiliza we mkabila! Tanzania haiongozwi kikabila na Kama mmezoea ukabila kutokana na asili zenu za Burundi huko jueni tu Tanzania hamtofanikiwa.

Watanzania hatuangalii mtu anatoka wapi. As long as tunamuona anafaa kutuongoza, hatuna shida nae.
Tunaangalia Bwana. Kwa mfano kama unatoka uchaggani hatukupi urais. Huo ndio ukweli mchungu.
 
Kizazi kimebadilika hiki, kama ccm ilikuwa na uwezo wa kushinda kwanini ilipika idadi ya wapiga kura? Ni kweli ccm ingeweza kushinda kiti cha urais hata kwa kura halali kwa sababu za kihistoria, lakini ungekuwa ushindi mwembamba sana, na ccm isingeweza kupata 2/3 ya wabunge inayowawezesha kuamua chochote huko bungeni watakavyo. Ukweli huu unaumiza.
Mimi upinzani niliupenda sana tu hasa CHADEMA, Lakini siku Mwenyekiti alipobadili gia angani na kumpitisha mtu aliyesemwa sana na wapinzani kwamba ni fisadi kugombea uraisi, kuanzia siku hiyo nikakata tamaa na upinzani kabisa. Ya au mhhh.
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Aachiwe ngazi arudi zenji kwao na sisi tuweke rais wetu hata kama ni kichaa kama Magufuli
 
Bei za mafuta,bei za bidhaa madukani,bei za gesi eti wafanyabiashara watapanga bei mmesahau wao ni watafuta faida? Nchi ni kubwa na watu wapo wengi.
 
Uzuri wa watz huwa hawajali nani yuko madarakani na ni wa chama gani, wao wanachojali ni maisha yao yaende tuu.

Uzuri wa watz hawaandamani road ila huo msusio watakaokupa utajuta mwenyewe, utapigwa vita ya kidiplomasia ndani kwa ndani mpaka ukome.

Sasa mama walimuingiza chaka kwenye haya mambo:


1. Tozo za miamala
2. Kuwafurusha wamachinga
3. Mfumuko wa bei unaopanda kila mwezi hasa mafuta
4. Kubwa kuliko ni kesi ya ugaidi ya FAM, ambayo hata darasa la 7 anaona "hapa hamna kitu".
5. Kuendelea kufanya kazi na 90% ya awamu iliyopita.


Hayo mambo juu yasiposawazishwa 2025 % ya kushinda ni <20% hata atumie goli la mkono.
Kesi ya Sabaya mbona hujaiweka. Na.4 na 5 sikubaliani nawwe
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Mkuu shikamoo......
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Umezunguka weee ila nia yako amtoe Mbowe kwenye ugaidi
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Ni ukosefu wa busara mtu kujinasibu kupambania cheo chako. Cheo hakipambaniwi. Ukiwa na fikra za kupambania cheo, KATU huwezi kuwa Mtendaji mzuri abadani. Maana focus yako itakuwa ni cheo na si mahitaji halisi ya watu wako.

Ndo maana kila hitaji muhimu la binadamu limepanda,utafikiri hakuna Kiongozi katika nchi. Imekuwa kama nchi ya Kusadikika chini ya Mfalme Juha. Kumbe watu wako bize kupambania vyeo badala ya kuwatumikia wananchi.

Usifanye hivyo mama, wewe wafikirie wananchi, afu wao watakilinda cheo chako kwa mema utakayowafanyia, na siyo kujifikiria wewe kwanza. Cheo ni mapito tu Mama, kisikuwazishe sana!
 
Uzuri wa watz huwa hawajali nani yuko madarakani na ni wa chama gani, wao wanachojali ni maisha yao yaende tuu.

Uzuri wa watz hawaandamani road ila huo msusio watakaokupa utajuta mwenyewe, utapigwa vita ya kidiplomasia ndani kwa ndani mpaka ukome.

Sasa mama walimuingiza chaka kwenye haya mambo:


1. Tozo za miamala
2. Kuwafurusha wamachinga
3. Mfumuko wa bei unaopanda kila mwezi hasa mafuta
4. Kubwa kuliko ni kesi ya ugaidi ya FAM, ambayo hata darasa la 7 anaona "hapa hamna kitu".
5. Kuendelea kufanya kazi na 90% ya awamu iliyopita.


Hayo mambo juu yasiposawazishwa 2025 % ya kushinda ni &lt;20% hata atumie goli la mkono.
.
 
Ningelipata nafasi ya kumshauri Mama neno moja tu, ningemshauri ahamishie alichokifanya Karume Jr, afanye kampeni ya muafaka wa kitaifa, serikali ya umoja wa kitaifa, katiba ibadilishwe kuwapatia room wapinzani.

In that case, CCM itajihakikishia kubaki na wapinzani watajihakikishia nafasi ya ushiriki kwenye serikali.

Kuongoza watanganyika ni rahisi sana, coz wengi wao wanalilia maslahi tu! Agawe keki ya taifa kwa wote.
Unaahirisha tu tatizo, maslahi binafasi hayajawahi kuwa mhimili wa taifa lolote...Mama akubali systems zifanye scrutiny ya uhakika na ya kweli ya wazi kisha aunde serikali ya umoja wa kitaifa kuelekea kutengeneza katiba ya wananchi itakayo komesha madaraka ya mtu yanayosaidia kuwapa nguvu kundi linalofanikiwa kuingia madarakani...Ilipofika hapa tusipoangalia nchi itaingia kwenye sintofahamu kwakua information flow ni kubwa na huwezi tena kuburuza watanzania ambao wengi wana uelewa wa mambo

Condition ya kuingia kwenye hiyo serikali iwe baada ya kuweka katiba hutarushusiwa kugombea kwa miaka kumi mfululizo na wote waliokiwemo akiwemo Rais watajhakikisha usawa na democracy inatekelezwa kwa huo muda wa miaka kumi kama kundi maalumu la kujenga institutions za nchi hii

Time frame iwe kuanzia 2022 mpaka 2025 ili tuingie uchaguzi mpya tukiwa wamoja kama taifa na ndiyo itakuwa mwanzo mpya wa Rais aliyechaguliwa baada ya huyo tuliyemchagua kufariki dunia
 
Uzuri wa watz huwa hawajali nani yuko madarakani na ni wa chama gani, wao wanachojali ni maisha yao yaende tuu.

Uzuri wa watz hawaandamani road ila huo msusio watakaokupa utajuta mwenyewe, utapigwa vita ya kidiplomasia ndani kwa ndani mpaka ukome.

Sasa mama walimuingiza chaka kwenye haya mambo:


1. Tozo za miamala
2. Kuwafurusha wamachinga
3. Mfumuko wa bei unaopanda kila mwezi hasa mafuta
4. Kubwa kuliko ni kesi ya ugaidi ya FAM, ambayo hata darasa la 7 anaona "hapa hamna kitu".
5. Kuendelea kufanya kazi na 90% ya awamu iliyopita.


Hayo mambo juu yasiposawazishwa 2025 % ya kushinda ni <20% hata atumie goli la mkono.
Ninachokiona mie mkuu ni hiki CCM ni majiziya kula asilani na wabakaji wa uchaguzi abadani nitafurahi sana kma wanainchi tuweze kuwapigia kura wabunge wa upinzani kwa wingi zaidi ili wabunge wamuendeshe
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Mama huyu ni Pole Pole na wala asikuumize kichwa ,chapa kazi.
 
Back
Top Bottom