Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Alikufa kwa kutolewa roho na ISRAELI baada ya muda wake wa kuishi hapa duniani kupita,Sasa alikufanyaje kvp?haya alikufa akiwa amelala chali,umeridhika?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hizo vita za Urais huwa zinaitesaga sana hii nchi.

January, Mwigulu, CDM, Mama, Pro-Magu nk..

Mama cheza karata yako vizuri kwa kujijengea imani kwa wananchi, Tumbua kwanza wote wanaoutaka Urais, Tumbua Makamba na mwiguru + pro Magu woote...anza upya na team nyingine..

Mama wewe piga kazi tu ukitegemea kupimwa na wananchi wenyewe..Urais utaupata kirahisi sana 2025...
 
Wewe huna akili

Unawaza Tundu Lisu tu

Tundu Lisu ni mdomo wake usio na breki ndiyo ulimponza, anaongea tu bila nukta

Anamtukana Rais wa nchi utadhani ni mdogo wake

Kuna namna ya kukosoa ila siyo kwa style aliyokuwa akitumia Lisu, ni kukosa hekima na adabu

Kama hujui basi ngoja tukuambie, hakuna Rais ambaye siyo dikteta na hakuna Rais ambaye hakuwahi kuua watu

Wapo Marais hapa hapa Tanzania wameua maelfu ya watu kwa makafala mbalimbali
Kwa iyo na wewe unaemtukana Samia upigwe risasi?
 
kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang)
Naomba kutofautiana na wewe hapa. Hawa ni wapinzani wake ndani ya chama, amalizane nao vipi? Hawa ni wachumia tumbo wa magufuli, awaache wafanye yote yaliyo kwenye fikra zao as long as siyo JINAI! wala asifanye confrontation nao, awapuuze, asiwaonee. Hivyo hivyo kwa wapinzani. Awaache wafanye yaliyo kwenye sheria, asifanye confrontation nao as long as hawafanyi JINAI. ...................................then wanachi wataamua wenyewe.
 
Hakuna ukweli hapo mnajidanganya bure

Zaidi ya asilimia 50 ya wanajeshi na askari polisi nchi hii ni watu kutoka kanda ya ziwa
Mkiambiwa nyie ni wakabila na hamfai kuongoza hii nchi tunajua tunamaanisha nini?

Iyo sensa ya polisi na jeshini ulifanya lini mpuuzi wewe?
 
uko uliposhuhudia ni upande mmoja hata sisi wananchi tushakuchoka mapema sana
 
Wewe huna akili

Unawaza Tundu Lisu tu

Tundu Lisu ni mdomo wake usio na breki ndiyo ulimponza, anaongea tu bila nukta

Anamtukana Rais wa nchi utadhani ni mdogo wake

Kuna namna ya kukosoa ila siyo kwa style aliyokuwa akitumia Lisu, ni kukosa hekima na adabu

Kama hujui basi ngoja tukuambie, hakuna Rais ambaye siyo dikteta na hakuna Rais ambaye hakuwahi kuua watu

Wapo Marais hapa hapa Tanzania wameua maelfu ya watu kwa makafala mbalimbali
Ebu sema tusi gani alilitamka Lisu? Liandike hapa please.
 
Samia amejitahidi sana katika mambo mengi. Mahali pekee alipoharibu ni kuendeleza sera za kuwabambikia watu kesi.

Hili ni jumba bovu lililojengwa awamu ya 5, lakini ameamua kuishi nalo, litamwangukia.
 
Mkiambiwa nyie ni wakabila na hamfai kuongoza hii nchi tunajua tunamaanisha nini?

Iyo sensa ya polisi na jeshini ulifanya lini mpuuzi wewe?
Peleka huko ujinga wako

Wanaofaa kuongoza ni hao midebwedo wala urojo?
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Utumbo na uharo mtupu uliosema,mama yuko imara na ameishika nchi barabara

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Peleka huko ujinga wako

Wanaofaa kuongoza ni hao midebwedo wala urojo?
Sikiliza we mkabila! Tanzania haiongozwi kikabila na Kama mmezoea ukabila kutokana na asili zenu za Burundi huko jueni tu Tanzania hamtofanikiwa.

Watanzania hatuangalii mtu anatoka wapi. As long as tunamuona anafaa kutuongoza, hatuna shida nae.
 
Hata masanja mkandamizaji kwenye hii nchi akigombea CCM anaweza kushinda........hamna jibwa uchaguzi ukifika,TISS,polisi,wanajeshi,walimu wote wanaisaidia CCM ibaki madarakani maana ndio ulaji wao ulipo
Na ndio maana chuki haziwezi kuisha,badala ya kusonga mbele tunabaki kusuasua tu,na kuliana timing za kunyong'onyezana
 
Sikiliza we mkabila! Tanzania haiongozwi kikabila na Kama mmezoea ukabila kutokana na asili zenu za Burundi huko jueni tu Tanzania hamtofanikiwa.

Watanzania hatuangalii mtu anatoka wapi. As long as tunamuona anafaa kutuongoza, hatuna shida nae.
Huyo mama yako kaletwa hapa na Magufuli, bila Magufuli sisi tusingemfahamu huyo wala tusingewahi kuwa na Rais mwanamke
 
Magufuli aliwanadi wabunge wa CCM kwa wananchi, kwani walishinda uchaguzi kwa kura? Ama Magufuli aliagiza watangazwe kibabe ili kuficha aibu ya kuikosesha CCM ushindi ilioutamani? Hamna cha ilani ya CCM bali uhuni mtupu.
Hapo ndio unajivunjia heshima kabisa. Nani angeliishinda CCM 2020 ? Kwa upinzani uchwara huu. Endelea kujidanganya.
 
Back
Top Bottom