Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Hahahaha mkuu nakuona ukiamini sukuma gang Wana nguvu sana hahahaha hivi ni vichekesho kama vile vya Voda/tigo tu .

Hawana lolote na hawajawahi kuwa na lolote Hawa wa kupiga chini

Stori za wabunge ni zao la magu na Bado wanaamini kwenye upuuzi wa magu ni stori za kitoto tu sijui watapitisha azimio hawana imani na raisi (wakati wanapitisha ye amekaa tu akiwasubiri wajikusanye kusanye ) anawaachaje kulifuta bunge

Mkuu kifupi we ni mnufaika wa sukuma gang na unawapigia promo kijanja hawa wapuuzi wataondoka mmoja baada ya mwingine na hawatakuwa na Iyo nguvu uisemayo (wakitoka tu nje ya mfumo kwisha habari yao)
Kweli kabisa.
 
Mnapokosea ni ile kusema ati asifanye kazi na watu wa Maguguli.I can tell you hapo mnakosea sana na mnataka kumwangusha.Wabunge wote waliyopo ni wa Magufuli.sasa unaposema ati asifanye kazi na watu wamagufuli what do you mean ?Hivi wakitaka kumwangusha si ni kupitisha azimio kule bugeni kuwa hawana Imani na Rais? What is so wrong akifanya kazi na watu wa Magufuli? Guys acheni kumpotosha rais wetu.Na akifanya vita na watu wa Magufuli vita hii itamshinda vibaya sana.Yawezekana kuna mahara JPM alikosea lakini makosa yake ni 5% ya mabaya yake compared to 95 % ya mazuri aliyoifanyia nchi hii.She better be careful na watu wa Magufuli. Mnapokosea etu watu wa Magufuli ni wasukuma.you are 100% wrong.

Hata wabunge wanaojifanya kuwa wanamchukia JPM wakati yeye ndiye aliyewapitisha na kuwanadi kwa waanchi,nao mwisho wao 2025.Nawashauri wafanye kazi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 ,mambo mengini hayana faida kwa taifa letu.
Mama ukifanya vita na watu wa Magufuli iko siku watakurushia bomu la shutuma hutapona walahi.
Watu wa Magufuli ni zaidi ya asilimia 95 ya Watanzania...kwa hiyo wanamdanganya Rais eti asifanye kazi na kundi hili la Watanzania...wanaosema hivyo wanamhujumu Rais wetu...
 
Sukuma gang mnadhani mnaweza kumzuia Samia kuwa Rais 2025-2030?

Acha nicheke kwa dharau 🤣🤣🤣


Rudini tu mkachunge ng’ombe sahauni hii nchi kuongozwa tena kikabila na kikanda wapuuzi nyie
Hebu peleka upumbavu wako huko

Kwa ujinga wako unafikiri Sambovu anaweza kuwa Rais tena baada ya 2025?

Labda atakuwa Rais wa vipofu au akagombee huko kwao kwa wala urojo
 
kwanza tuambiwe na mifumo rasmi ya uchunguzi Dr. Magufuli alikufa je? kila nafsi itaonja mauti ila tunataka tu kujua ilikuwa je mpaka mzee wa watu akafikwa na umau

Mpuuzi wewe kwa iyo Kagera, Mara, Dodoma na Morogoro kumejaa wasukuma??😂😂😂

Kweli nyie jamaaa ni washamba na wajinga sana!!

Na kwa ukabila wenu huo sahauni tena kushika madaraka ya hii nchi wajinga nyie
Hivi bulaza sorry lakini hivi unajua kilanja mkuu wa hiyo mnaita sukuma gang anayokea mkoa gani???
 
kwanza tuambiwe na mifumo rasmi ya uchunguzi Dr. Magufuli alikufa je? kila nafsi itaonja mauti ila tunataka tu kujua ilikuwa je mpaka mzee wa watu akafikwa na umauti?
Yaani mnahoji waliokufa kwa kuumwa ila hamhoji waliopotezwa?? Wahuni nyie Mama atawashughulikia sana
 
Acha kuongea upuuzi jaribio la kutaka kumuua Tundu Lissu ni nini kama sio udikteta?
Wewe huna akili

Unawaza Tundu Lisu tu

Tundu Lisu ni mdomo wake usio na breki ndiyo ulimponza, anaongea tu bila nukta

Anamtukana Rais wa nchi utadhani ni mdogo wake

Kuna namna ya kukosoa ila siyo kwa style aliyokuwa akitumia Lisu, ni kukosa hekima na adabu

Kama hujui basi ngoja tukuambie, hakuna Rais ambaye siyo dikteta na hakuna Rais ambaye hakuwahi kuua watu

Wapo Marais hapa hapa Tanzania wameua maelfu ya watu kwa makafala mbalimbali
 
kwanza tuambiwe na mifumo rasmi ya uchunguzi Dr. Magufuli alikufa je? kila nafsi itaonja mauti ila tunataka tu kujua ilikuwa je mpaka mzee wa watu akafikwa na umauti?
Kilichomuua Magufuli ni:

1. Kusema hakuna Corona

2. Kusema Tanzania imeishinda Corona kwa maombi

3. Kukataa lock down ya Corona

4. Kukataa kupima watu Corona

5. Kukataa kutoa takwimu za Corona

6. Kuziponda chanjo hadharani

7. Kukumbatia zaidi tiba asili kuliko za hospitali

Ila yeye binafsi hajafa kwa Corona na kila alichosema kuhusu Corona ni kweli tupu
 
Wazanzibar kama wanaakili kweli hii ndio nafasi ya kudai katiba mpya wapate nafasi ya kutambuliwa kimataifa kama nchi wasubiri rais atakapotoka Tanganyika ndiowaanze kupiga kerere za kutaka kutambuliwa kimataifa.
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Acha uzandiki nyinyi ndio miongoni mwa wanaompiga mama Vita, kwani mama kaharibu wapi, muacheni huyu mama afanye kazi acheni kuwa na fikra za hovyo za huyo mwenda zake aliye iba na kuharibu uchumi wa nchi.
 
JPM hakusumbuliwa na kutishwa na makundi ya MTANDAO ndani ya CCM wala hao CHADEMA waliokuwa KIMYAAAA kipindi cha awamu ya 5........

Mh.Chifu mkuu Hangaya anaupiga mwingi na aendelee kuchanganya STYLE ya JPM na STYLE ya upole wake.....

NCHI NGUMU HII kwani haijawahi kupata RAIS aliyekubaliwa na kusifiwa na makundi mengi MAKUBWA....

ADUMU CHIFU WETU MKUU HANGAYA[emoji120]

ADUMU MH.RAIS SSH, aaamin aaamin[emoji120]

SIEMPRE JMT[emoji120]
Hapo sio kweli, hakuna raisi aliesumbuliwa na wapimzani kama magu! Hii inajithibitisha kwa matendo yake..
Kuteka/kupoteza watu, kuwapiga risasi mchana kweupe, kununua watu, kuwatisha wapinzani na hata kufuta kbsa mikutano ya kisiasa"

Alipata shida sana!!
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Mama kwa sasa hivi alitakiwa toka mwanzo aende kimyakimya sana na S gang bila kumnanga mtangulizi wake hadhari kwa mapema
 
Ningelipata nafasi ya kumshauri Mama neno moja tu, ningemshauri ahamishie alichokifanya Karume Jr, afanye kampeni ya muafaka wa kitaifa, serikali ya umoja wa kitaifa, katiba ibadilishwe kuwapatia room wapinzani.

In that case, CCM itajihakikishia kubaki na wapinzani watajihakikishia nafasi ya ushiriki kwenye serikali.

Kuongoza watanganyika ni rahisi sana, coz wengi wao wanalilia maslahi tu! Agawe keki ya taifa kwa wote.
Wapinzani kwa sasa hawana ishu kabisa

Tatizo lipi humo kwake ccm
 
Hata masanja mkandamizaji kwenye hii nchi akigombea CCM anaweza kushinda........hamna jibwa uchaguzi ukifika,TISS,polisi,wanajeshi,walimu wote wanaisaidia CCM ibaki madarakani maana ndio ulaji wao ulipo
Ondoa walimu hapo kwenye orodha yako mkuu
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
msaada pekee wa kumsaidia ni ajiuzuru na sisi tutamheshimu na kumuenzi kama kiongozi mwenye akili ,kwakuwa nchi imemshinda
 
kwanza tuambiwe na mifumo rasmi ya uchunguzi Dr. Magufuli alikufa je? kila nafsi itaonja mauti ila tunataka tu kujua ilikuwa je mpaka mzee wa watu akafikwa na umauti?
Alikufa kwa kutolewa roho na ISRAELI baada ya muda wake wa kuishi hapa duniani kupita,Sasa alikufanyaje kvp?haya alikufa akiwa amelala chali,umeridhika?
 
Back
Top Bottom