Rais Samia usimsahau Shaban Kissu kwenye mkeka wa ma-DED

Rais Samia usimsahau Shaban Kissu kwenye mkeka wa ma-DED

Tayari mikeka kadhaa imeishapita lakini jina la MC wa Serikali Shabani Kissu bado halijatokea. Mama Samia nafasi za MaDED nakuomba umkumbuke huyu kada Shaban kaishatumikia sana chama na ni Mtendaji mzuri tu aliyetukuka katika nafasi mbalimbali ndani na nje ya chama...

KAZI IENDELEEE
Wengine huwa wanapewa nafasi lkn huwa wanazikataa
 
Marehemu ndiye aliyeharibu taratibu na sheria. DEDs wanatakiwa kutoka miongoni mwa watymushi wa serikali waliofikia ngazi fulani. Hizi siyo nafasi za makada.

Mkiendekeza ujinga wa kuteua makada kwenye nafasi za utendaji, kuna siku mtalazimisha hata madaktari na walimu wawe makada.
Ninakumbuka baada ya uhuru uteuzi wa ma DED walikua ni mabalozi walioshushwa vyeo, walimu wa muda mrefu na wenye sifa nk.
 
Tayari mikeka kadhaa imeishapita lakini jina la MC wa Serikali Shabani Kissu bado halijatokea.

Mama Samia nafasi za MaDED nakuomba umkumbuke huyu kada Shaban kaishatumikia sana chama na ni Mtendaji mzuri tu aliyetukuka katika nafasi mbalimbali ndani na nje ya chama.

KAZI IENDELEEE

Huyu si ndo yule wa Kibonzo cha "Bwana Hamnazo na shamba la mbigili?"
 
Marehemu ndiye aliyeharibu taratibu na sheria. DEDs wanatakiwa kutoka miongoni mwa watymushi wa serikali waliofikia ngazi fulani. Hizi siyo nafasi za makada.

Mkiendekeza ujinga wa kuteua makada kwenye nafasi za utendaji, kuna siku mtalazimisha hata madaktari na walimu wawe makada.
Walimu ni mawakala wa uchaguzi miaka yote. Yani hao usiwataje, wwnatumika sana kama kondomu. Maana utasikia uchaguzi kituo Cha kura shule fulani, msimamizi ni mwalimu pia. Wanatumika sana wala haina ubishi
 
Tayari mikeka kadhaa imeishapita lakini jina la MC wa Serikali Shabani Kissu bado halijatokea.

Mama Samia nafasi za MaDED nakuomba umkumbuke huyu kada Shaban kaishatumikia sana chama na ni Mtendaji mzuri tu aliyetukuka katika nafasi mbalimbali ndani na nje ya chama.

KAZI IENDELEEE
Wewe vo hutaki?
 
Marehemu ndiye aliyeharibu taratibu na sheria. DEDs wanatakiwa kutoka miongoni mwa watymushi wa serikali waliofikia ngazi fulani. Hizi siyo nafasi za makada.

Mkiendekeza ujinga wa kuteua makada kwenye nafasi za utendaji, kuna siku mtalazimisha hata madaktari na walimu wawe makada.
Sheria ipi inayosema ded lazima awe mtumishi wa umma?
 
Nami ningepata nafasi ya kupendekeza na huyo mpendekezwa wangu kama angekuwa bado yu hai ningemtaja Marin Hassan Marin. Mola amuhifadhi huko alipo.
Nadhani Luna jambo umelisahau, hata jiwe yupo huko huko nadhani watayajenga huko na jiwe atampa mwenzake kitengo
 
Ninakumbuka baada ya uhuru uteuzi wa ma DED walikua ni mabalozi walioshushwa vyeo, walimu wa muda mrefu na wenye sifa nk.
Wewe baada ya Uhuru ulikuwa unafanya nini duaniani?, manake tunazungumzia 63-65(where were you?)
 
Tayari mikeka kadhaa imeishapita lakini jina la MC wa Serikali Shabani Kissu bado halijatokea.

Mama Samia nafasi za MaDED nakuomba umkumbuke huyu kada Shaban kaishatumikia sana chama na ni Mtendaji mzuri tu aliyetukuka katika nafasi mbalimbali ndani na nje ya chama.

KAZI IENDELEEE
Mc wa serikali na kuwa DED bora kuwa Mc, kuwa ded ni kujiingiza kwenye stress ,mshahara wenyewe ni wa kawaida tu
 
Back
Top Bottom