Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Wengine huwa wanapewa nafasi lkn huwa wanazikataaTayari mikeka kadhaa imeishapita lakini jina la MC wa Serikali Shabani Kissu bado halijatokea. Mama Samia nafasi za MaDED nakuomba umkumbuke huyu kada Shaban kaishatumikia sana chama na ni Mtendaji mzuri tu aliyetukuka katika nafasi mbalimbali ndani na nje ya chama...
KAZI IENDELEEE