Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Wengine huwa wanapewa nafasi lkn huwa wanazikataaTayari mikeka kadhaa imeishapita lakini jina la MC wa Serikali Shabani Kissu bado halijatokea. Mama Samia nafasi za MaDED nakuomba umkumbuke huyu kada Shaban kaishatumikia sana chama na ni Mtendaji mzuri tu aliyetukuka katika nafasi mbalimbali ndani na nje ya chama...
KAZI IENDELEEE
Alikua anatumikia wap MarinNami ningepata nafasi ya kupendekeza na huyo mpendekezwa wangu kama angekuwa bado yu hai ningemtaja Marin Hassan Marin. Mola amuhifadhi huko alipo.
TBCAlikua anatumikia wap Marin
Gud
Ninakumbuka baada ya uhuru uteuzi wa ma DED walikua ni mabalozi walioshushwa vyeo, walimu wa muda mrefu na wenye sifa nk.Marehemu ndiye aliyeharibu taratibu na sheria. DEDs wanatakiwa kutoka miongoni mwa watymushi wa serikali waliofikia ngazi fulani. Hizi siyo nafasi za makada.
Mkiendekeza ujinga wa kuteua makada kwenye nafasi za utendaji, kuna siku mtalazimisha hata madaktari na walimu wawe makada.
Tayari mikeka kadhaa imeishapita lakini jina la MC wa Serikali Shabani Kissu bado halijatokea.
Mama Samia nafasi za MaDED nakuomba umkumbuke huyu kada Shaban kaishatumikia sana chama na ni Mtendaji mzuri tu aliyetukuka katika nafasi mbalimbali ndani na nje ya chama.
KAZI IENDELEEE
Walimu ni mawakala wa uchaguzi miaka yote. Yani hao usiwataje, wwnatumika sana kama kondomu. Maana utasikia uchaguzi kituo Cha kura shule fulani, msimamizi ni mwalimu pia. Wanatumika sana wala haina ubishiMarehemu ndiye aliyeharibu taratibu na sheria. DEDs wanatakiwa kutoka miongoni mwa watymushi wa serikali waliofikia ngazi fulani. Hizi siyo nafasi za makada.
Mkiendekeza ujinga wa kuteua makada kwenye nafasi za utendaji, kuna siku mtalazimisha hata madaktari na walimu wawe makada.
Wewe vo hutaki?Tayari mikeka kadhaa imeishapita lakini jina la MC wa Serikali Shabani Kissu bado halijatokea.
Mama Samia nafasi za MaDED nakuomba umkumbuke huyu kada Shaban kaishatumikia sana chama na ni Mtendaji mzuri tu aliyetukuka katika nafasi mbalimbali ndani na nje ya chama.
KAZI IENDELEEE
Waacheni walimu waendelee kutumika kama ndomu.Ninakumbuka baada ya uhuru uteuzi wa ma DED walikua ni mabalozi walioshushwa vyeo, walimu wa muda mrefu na wenye sifa nk.
Sheria ipi inayosema ded lazima awe mtumishi wa umma?Marehemu ndiye aliyeharibu taratibu na sheria. DEDs wanatakiwa kutoka miongoni mwa watymushi wa serikali waliofikia ngazi fulani. Hizi siyo nafasi za makada.
Mkiendekeza ujinga wa kuteua makada kwenye nafasi za utendaji, kuna siku mtalazimisha hata madaktari na walimu wawe makada.
Nadhani Luna jambo umelisahau, hata jiwe yupo huko huko nadhani watayajenga huko na jiwe atampa mwenzake kitengoNami ningepata nafasi ya kupendekeza na huyo mpendekezwa wangu kama angekuwa bado yu hai ningemtaja Marin Hassan Marin. Mola amuhifadhi huko alipo.
Wewe baada ya Uhuru ulikuwa unafanya nini duaniani?, manake tunazungumzia 63-65(where were you?)Ninakumbuka baada ya uhuru uteuzi wa ma DED walikua ni mabalozi walioshushwa vyeo, walimu wa muda mrefu na wenye sifa nk.
I’m 72 nowWewe baada ya Uhuru ulikuwa unafanya nini duaniani?, manake tunazungumzia 63-65(where were you?)
It cant be True, Never.I’m 72 now
Shikamoo bibi Sky EclatI’m 72 now
Mc wa serikali na kuwa DED bora kuwa Mc, kuwa ded ni kujiingiza kwenye stress ,mshahara wenyewe ni wa kawaida tuTayari mikeka kadhaa imeishapita lakini jina la MC wa Serikali Shabani Kissu bado halijatokea.
Mama Samia nafasi za MaDED nakuomba umkumbuke huyu kada Shaban kaishatumikia sana chama na ni Mtendaji mzuri tu aliyetukuka katika nafasi mbalimbali ndani na nje ya chama.
KAZI IENDELEEE