Rais Samia usiongee lolote juu ya suala la DP World kwa sasa. Ukimya wake unawatesa mno, acha waendelee kuteseka huku ujasiri na matokeo vikikubeba

Rais Samia usiongee lolote juu ya suala la DP World kwa sasa. Ukimya wake unawatesa mno, acha waendelee kuteseka huku ujasiri na matokeo vikikubeba

Kwa kuwa kuna pande mbili zinazotofautiana kwenye uwekezaji wa bandari na pande hizi zimeonesha wazi ni pande za kisiasa. Upande wa wanaopinga uwekezaji wakiongozwa na CHADEMA na upande unaokubaliana na uwekezaji wakiongozwa na CCM. Pande zote mbili zinapenda kusikia lolote kutoka kwako hasa upande unaoongozwa na CHADEMA kwa sababu kwa vyovyote vile lolote utakalosema litakuwa ni upande wa CCM ila inaweza kufanyika vinginevyo kulingana na busara zako zitakavyokuongoza.

Ni ukweli usiopingika suala hili lina matokeo chanya na hasi kwenye siasa hususani za CCM. Matokeo chanya ni pale ambapo uwekezaji utaanza kuonyesha faida zinazosemwa Sasa na matokeo hasi ni pale ambapo wanaopinga Sasa wakawa wapo sahihi kwenye kupinga kwao na faida zisionekane. Matokeo hasi yatakitesa Chama Cha Mapinduzi kwa Muda mrefu hususani katika masuala yanayohusu uwekezaji.

Licha ya kwamba yanayopingwa yanaweza kuwa kweli Kwa sababu hakuna ajuaye ya kesho lakini mtazamo na maoni yangu kwenye suala hili utabaki uleule CCM ISIRUDI NYUMA KWENYE UWEKEZAJI WA BANDARI KWA SABABU KURUDI NYUMA SASA HAKUTAKUWA NA NJIA YA MWENDA MBELE BAADAYE.

Ni wakati wa kuendelea kuziba masikio Mhe.Rais, yanayoongelewa kuhusu DP WORLD jifanye kama hujawahi kuyasikia wala huyasikii maana Kwa Sasa upo kwenye jaribu kubwa:

Kwanza, wanaopinga wanataka ufanye uamuzi wa kusitisha makubaliano hayo ili wapate sababu ya kuongea Zaidi. Ukisitisha Sasa itaonekana ni kweli kulikuwa na nia ovu kwenye makubaliano, taswira ya Chama itakuwa mbaya na itahitajika nguvu kubwa kuisafisha.

Pili, ukisitisha Sasa CCM itabidi Ile matapishi yake. Nguvu iliyotumika kuelimisha umma juu ya umuhimu wa makubaliano na uwekezaji huu itakuwa kazi Bure. Hakuna jambo gumu duniani kama kula matapishi maana itabidi watu wasio na kinyaa wafanye hivyo.

Baada ya kutambua haya napenda kuchukua nafasi hii kukuomba Mhe.Rais:

Kwanza, nakuomba uwe na Imani juu ya dhamira na nia yako Kwa Taifa. Kutaka kuwepo Kwa uwekezaji huu ni dhamira njema uliyonayo ya kuliletea Taifa maendeleo hivyo lolote litakalotokea tutailinda na kuitetea dhamira yako na mapenzi makubwa uliyonayo Kwa Taifa letu.

Pili, nakuomba usiongee lolote juu ya uwekezaji na DP WORLD Kwa Sasa. Wasaidizi wako ndani ya CCM na Serikali watakusaidaia kulisema. Wanataka uongee kitu ili waendelee kusema, mlengwa mkuu mikutano wanayofanya ni wewe, hivyo ninakuomba usiongee lolote.

Tatu, ninakuomba utumie busara zako kupanga safu nzuri ya kuhakikisha uwekezaji unakuwa ni wenye tija na matokeo makubwa ya uwekezaji yanaonekana haraka.

Kwa kufanya hivi Mhe.Rais utakuwa si tu umewajibu wanaopinga uwekezaji bali itakuwa ni pigo Kwa wote wenye lengo la kufanya au kuendeleza kufanya siasa kwenye maendeleo ya nchi.
Kama DP wakija tu, bei ya diesel ikashuka na kuwa sh 1,800 kwa lita kama ilivyo Nigeria, pengine wapo watakaobadilika na kùunga mkono.

Kama DP wakija tu, VAT ikashuka mpaka kuwa 5% kama ilivyo Ghana, au kufutwa kabisa kama ilivyo USA au Brunei, pengine wapo watakaobadilika na kuunga mkono.

Kama DP wakija, kodi kwenye PAYEE ikafutwa kama ilivyo Oman, wapo watakaobadilika na kuunga mkono.

Kama DP wakija, kukabadilisha idadi ya kodi, tozo na ushuru kutoka msululu uliopo mpaka idadi ya kodi kutokuzidi 3, na kuweka sheria inayotamka ni marufuku kuwa na kodi zaidi ya 3 kwa kitu kimoja kama ilivyo Botswana, wapo wengi wataunga mkono na kupongeza ujio wa DP.

Kinyume cha hapo, sahau kama hilo litatokea.
 
Kwa kuwa kuna pande mbili zinazotofautiana kwenye uwekezaji wa bandari na pande hizi zimeonesha wazi ni pande za kisiasa. Upande wa wanaopinga uwekezaji wakiongozwa na CHADEMA na upande unaokubaliana na uwekezaji wakiongozwa na CCM. Pande zote mbili zinapenda kusikia lolote kutoka kwako hasa upande unaoongozwa na CHADEMA kwa sababu kwa vyovyote vile lolote utakalosema litakuwa ni upande wa CCM ila inaweza kufanyika vinginevyo kulingana na busara zako zitakavyokuongoza.

Ni ukweli usiopingika suala hili lina matokeo chanya na hasi kwenye siasa hususani za CCM. Matokeo chanya ni pale ambapo uwekezaji utaanza kuonyesha faida zinazosemwa Sasa na matokeo hasi ni pale ambapo wanaopinga Sasa wakawa wapo sahihi kwenye kupinga kwao na faida zisionekane. Matokeo hasi yatakitesa Chama Cha Mapinduzi kwa Muda mrefu hususani katika masuala yanayohusu uwekezaji.

Licha ya kwamba yanayopingwa yanaweza kuwa kweli Kwa sababu hakuna ajuaye ya kesho lakini mtazamo na maoni yangu kwenye suala hili utabaki uleule CCM ISIRUDI NYUMA KWENYE UWEKEZAJI WA BANDARI KWA SABABU KURUDI NYUMA SASA HAKUTAKUWA NA NJIA YA MWENDA MBELE BAADAYE.

Ni wakati wa kuendelea kuziba masikio Mhe.Rais, yanayoongelewa kuhusu DP WORLD jifanye kama hujawahi kuyasikia wala huyasikii maana Kwa Sasa upo kwenye jaribu kubwa:

Kwanza, wanaopinga wanataka ufanye uamuzi wa kusitisha makubaliano hayo ili wapate sababu ya kuongea Zaidi. Ukisitisha Sasa itaonekana ni kweli kulikuwa na nia ovu kwenye makubaliano, taswira ya Chama itakuwa mbaya na itahitajika nguvu kubwa kuisafisha.

Pili, ukisitisha Sasa CCM itabidi Ile matapishi yake. Nguvu iliyotumika kuelimisha umma juu ya umuhimu wa makubaliano na uwekezaji huu itakuwa kazi Bure. Hakuna jambo gumu duniani kama kula matapishi maana itabidi watu wasio na kinyaa wafanye hivyo.

Baada ya kutambua haya napenda kuchukua nafasi hii kukuomba Mhe.Rais:

Kwanza, nakuomba uwe na Imani juu ya dhamira na nia yako Kwa Taifa. Kutaka kuwepo Kwa uwekezaji huu ni dhamira njema uliyonayo ya kuliletea Taifa maendeleo hivyo lolote litakalotokea tutailinda na kuitetea dhamira yako na mapenzi makubwa uliyonayo Kwa Taifa letu.

Pili, nakuomba usiongee lolote juu ya uwekezaji na DP WORLD Kwa Sasa. Wasaidizi wako ndani ya CCM na Serikali watakusaidaia kulisema. Wanataka uongee kitu ili waendelee kusema, mlengwa mkuu mikutano wanayofanya ni wewe, hivyo ninakuomba usiongee lolote.

Tatu, ninakuomba utumie busara zako kupanga safu nzuri ya kuhakikisha uwekezaji unakuwa ni wenye tija na matokeo makubwa ya uwekezaji yanaonekana haraka.

Kwa kufanya hivi Mhe.Rais utakuwa si tu umewajibu wanaopinga uwekezaji bali itakuwa ni pigo Kwa wote wenye lengo la kufanya au kuendeleza kufanya siasa kwenye maendeleo ya nchi.
Mama Samia ametufundisha somo kubwa sana, nimejifunza kutoka kwake kuwa uongozi na siasa si majibishano ya kwenye majukwaa.
 
Kama DP wakija tu, bei ya diesel ikashuka na kuwa sh 1,800 kwa lita kama ilivyo Nigeria, pengine wapo watakaobadilika na kùunga mkono.

Kama DP wakija tu, VAT ikashuka mpaka kuwa 5% kama ilivyo Ghana, au kufutwa kabisa kama ilivyo USA au Brunei, pengine wapo watakaobadilika na kuunga mkono.

Kama DP wakija, kodi kwenye PAYEE ikafutwa kama ilivyo Oman, wapo watakaobadilika na kuunga mkono.

Kama DP wakija, kukabadilisha idadi ya kodi, tozo na ushuru kutoka msululu uliopo mpaka idadi ya kodi kutokuzidi 3, na kuweka sheria inayotamka ni marufuku kuwa na kodi zaidi ya 3 kwa kitu kimoja kama ilivyo Botswana, wapo wengi wataunga mkono na kupongeza ujio wa DP.

Kinyume cha hapo, sahau kama hilo litatokea.
Bei ya mafuta si imepandishwa na waliopo mpakani na Kenya? Au tumesahau?
 
Aongeee nn sasa wakati keshakimbia nchi INAONEKANA we bado mbumbumbu Jibu Hoja kauza kakodisha au katoa bure bandari zetu
Nani kakimbia nchi? Acha kuandika tu kila kinachokujia kichwani. 🙏🙏🙏
 
Kwa kuwa kuna pande mbili zinazotofautiana kwenye uwekezaji wa bandari na pande hizi zimeonesha wazi ni pande za kisiasa. Upande wa wanaopinga uwekezaji wakiongozwa na CHADEMA na upande unaokubaliana na uwekezaji wakiongozwa na CCM. Pande zote mbili zinapenda kusikia lolote kutoka kwako hasa upande unaoongozwa na CHADEMA kwa sababu kwa vyovyote vile lolote utakalosema litakuwa ni upande wa CCM ila inaweza kufanyika vinginevyo kulingana na busara zako zitakavyokuongoza.

Ni ukweli usiopingika suala hili lina matokeo chanya na hasi kwenye siasa hususani za CCM. Matokeo chanya ni pale ambapo uwekezaji utaanza kuonyesha faida zinazosemwa Sasa na matokeo hasi ni pale ambapo wanaopinga Sasa wakawa wapo sahihi kwenye kupinga kwao na faida zisionekane. Matokeo hasi yatakitesa Chama Cha Mapinduzi kwa Muda mrefu hususani katika masuala yanayohusu uwekezaji.

Licha ya kwamba yanayopingwa yanaweza kuwa kweli Kwa sababu hakuna ajuaye ya kesho lakini mtazamo na maoni yangu kwenye suala hili utabaki uleule CCM ISIRUDI NYUMA KWENYE UWEKEZAJI WA BANDARI KWA SABABU KURUDI NYUMA SASA HAKUTAKUWA NA NJIA YA MWENDA MBELE BAADAYE.

Ni wakati wa kuendelea kuziba masikio Mhe.Rais, yanayoongelewa kuhusu DP WORLD jifanye kama hujawahi kuyasikia wala huyasikii maana Kwa Sasa upo kwenye jaribu kubwa:

Kwanza, wanaopinga wanataka ufanye uamuzi wa kusitisha makubaliano hayo ili wapate sababu ya kuongea Zaidi. Ukisitisha Sasa itaonekana ni kweli kulikuwa na nia ovu kwenye makubaliano, taswira ya Chama itakuwa mbaya na itahitajika nguvu kubwa kuisafisha.

Pili, ukisitisha Sasa CCM itabidi Ile matapishi yake. Nguvu iliyotumika kuelimisha umma juu ya umuhimu wa makubaliano na uwekezaji huu itakuwa kazi Bure. Hakuna jambo gumu duniani kama kula matapishi maana itabidi watu wasio na kinyaa wafanye hivyo.

Baada ya kutambua haya napenda kuchukua nafasi hii kukuomba Mhe.Rais:

Kwanza, nakuomba uwe na Imani juu ya dhamira na nia yako Kwa Taifa. Kutaka kuwepo Kwa uwekezaji huu ni dhamira njema uliyonayo ya kuliletea Taifa maendeleo hivyo lolote litakalotokea tutailinda na kuitetea dhamira yako na mapenzi makubwa uliyonayo Kwa Taifa letu.

Pili, nakuomba usiongee lolote juu ya uwekezaji na DP WORLD Kwa Sasa. Wasaidizi wako ndani ya CCM na Serikali watakusaidaia kulisema. Wanataka uongee kitu ili waendelee kusema, mlengwa mkuu mikutano wanayofanya ni wewe, hivyo ninakuomba usiongee lolote.

Tatu, ninakuomba utumie busara zako kupanga safu nzuri ya kuhakikisha uwekezaji unakuwa ni wenye tija na matokeo makubwa ya uwekezaji yanaonekana haraka.

Kwa kufanya hivi Mhe.Rais utakuwa si tu umewajibu wanaopinga uwekezaji bali itakuwa ni pigo Kwa wote wenye lengo la kufanya au kuendeleza kufanya siasa kwenye maendeleo ya
Tapeli akimshauri tapeli mwenzie
 
Anayejmia zaid yeye anayehifadhi moyoni

Manake

Mbeya lazmanatakutana na mabango tar 8 na kelekele za wananchi akaze shingo na hapo

Jk anaifahamu vizur mbeya

Watu wa mbeya majasiri na hawaogopi hata bunduki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama DP wakija tu, bei ya diesel ikashuka na kuwa sh 1,800 kwa lita kama ilivyo Nigeria, pengine wapo watakaobadilika na kùunga mkono.

Kama DP wakija tu, VAT ikashuka mpaka kuwa 5% kama ilivyo Ghana, au kufutwa kabisa kama ilivyo USA au Brunei, pengine wapo watakaobadilika na kuunga mkono.

Kama DP wakija, kodi kwenye PAYEE ikafutwa kama ilivyo Oman, wapo watakaobadilika na kuunga mkono.

Kama DP wakija, kukabadilisha idadi ya kodi, tozo na ushuru kutoka msululu uliopo mpaka idadi ya kodi kutokuzidi 3, na kuweka sheria inayotamka ni marufuku kuwa na kodi zaidi ya 3 kwa kitu kimoja kama ilivyo Botswana, wapo wengi wataunga mkono na kupongeza ujio wa DP.

Kinyume cha hapo, sahau kama hilo litatokea.
We unaota au!
 
Basic kabisa hii

Hutaki kusikia la mtu

Ni vita ya chawa na kunguni hii

Nchi nzima Hatuna tena rational debate
Huo udhaifu mkubwa sana wala hakuna cha kujifunza, mpaka sasa anasutwa na wanaccm wenyewe kuliko wapinzani.
 
Huo udhaifu mkubwa sana wala hakuna cha kujifunza, mpaka sasa anasutwa na wanaccm wenyewe kuliko wapinzani.
Actually Hakuna anayemsuta

Tunasutana wenyewe tu…. Mwisho wa Siku ataamka atasema neno na misutano yetu itakata

Tulizoea kukurupushwa na kupigwa biti…. Zama hizi ni maamuzi bila kelele
 
Shida haipo kwenye kuongea , tatizo ataongea nini? Contents anazo? Rejea alivyoongelea hilo suala la Bandari aliongea kitu gani? Kuna chochote utasema kweli kaongea? Kukaa kimya ni kukosa majibu stahiki. Hii issue waachane nayo!
 
Hivi unadhani nani anakomolewa ?!!!

1691222144825.png
 
Kwa kuwa kuna pande mbili zinazotofautiana kwenye uwekezaji wa bandari na pande hizi zimeonesha wazi ni pande za kisiasa. Upande wa wanaopinga uwekezaji wakiongozwa na CHADEMA na upande unaokubaliana na uwekezaji wakiongozwa na CCM. Pande zote mbili zinapenda kusikia lolote kutoka kwako hasa upande unaoongozwa na CHADEMA kwa sababu kwa vyovyote vile lolote utakalosema litakuwa ni upande wa CCM ila inaweza kufanyika vinginevyo kulingana na busara zako zitakavyokuongoza.

Ni ukweli usiopingika suala hili lina matokeo chanya na hasi kwenye siasa hususani za CCM. Matokeo chanya ni pale ambapo uwekezaji utaanza kuonyesha faida zinazosemwa Sasa na matokeo hasi ni pale ambapo wanaopinga Sasa wakawa wapo sahihi kwenye kupinga kwao na faida zisionekane. Matokeo hasi yatakitesa Chama Cha Mapinduzi kwa Muda mrefu hususani katika masuala yanayohusu uwekezaji.

Licha ya kwamba yanayopingwa yanaweza kuwa kweli Kwa sababu hakuna ajuaye ya kesho lakini mtazamo na maoni yangu kwenye suala hili utabaki uleule CCM ISIRUDI NYUMA KWENYE UWEKEZAJI WA BANDARI KWA SABABU KURUDI NYUMA SASA HAKUTAKUWA NA NJIA YA MWENDA MBELE BAADAYE.

Ni wakati wa kuendelea kuziba masikio Mhe.Rais, yanayoongelewa kuhusu DP WORLD jifanye kama hujawahi kuyasikia wala huyasikii maana Kwa Sasa upo kwenye jaribu kubwa:

Kwanza, wanaopinga wanataka ufanye uamuzi wa kusitisha makubaliano hayo ili wapate sababu ya kuongea Zaidi. Ukisitisha Sasa itaonekana ni kweli kulikuwa na nia ovu kwenye makubaliano, taswira ya Chama itakuwa mbaya na itahitajika nguvu kubwa kuisafisha.

Pili, ukisitisha Sasa CCM itabidi Ile matapishi yake. Nguvu iliyotumika kuelimisha umma juu ya umuhimu wa makubaliano na uwekezaji huu itakuwa kazi Bure. Hakuna jambo gumu duniani kama kula matapishi maana itabidi watu wasio na kinyaa wafanye hivyo.

Baada ya kutambua haya napenda kuchukua nafasi hii kukuomba Mhe.Rais:

Kwanza, nakuomba uwe na Imani juu ya dhamira na nia yako Kwa Taifa. Kutaka kuwepo Kwa uwekezaji huu ni dhamira njema uliyonayo ya kuliletea Taifa maendeleo hivyo lolote litakalotokea tutailinda na kuitetea dhamira yako na mapenzi makubwa uliyonayo Kwa Taifa letu.

Pili, nakuomba usiongee lolote juu ya uwekezaji na DP WORLD Kwa Sasa. Wasaidizi wako ndani ya CCM na Serikali watakusaidaia kulisema. Wanataka uongee kitu ili waendelee kusema, mlengwa mkuu mikutano wanayofanya ni wewe, hivyo ninakuomba usiongee lolote.

Tatu, ninakuomba utumie busara zako kupanga safu nzuri ya kuhakikisha uwekezaji unakuwa ni wenye tija na matokeo makubwa ya uwekezaji yanaonekana haraka.

Kwa kufanya hivi Mhe.Rais utakuwa si tu umewajibu wanaopinga uwekezaji bali itakuwa ni pigo Kwa wote wenye lengo la kufanya au kuendeleza kufanya siasa kwenye maendeleo ya nchi.
Good point mkuu 👍
 
Actually Hakuna anayemsuta

Tunasutana wenyewe tu…. Mwisho wa Siku ataamka atasema neno na misutano yetu itakata

Tulizoea kukurupushwa na kupigwa biti…. Zama hizi ni maamuzi bila kelele
Kuchelewa kutoa maamzi kuna madhara yake.
 
Licha ya kwamba yanayopingwa yanaweza kuwa kweli Kwa sababu hakuna ajuaye ya kesho lakini mtazamo na maoni yangu kwenye suala hili utabaki uleule CCM ISIRUDI NYUMA KWENYE UWEKEZAJI WA BANDARI KWA SABABU KURUDI NYUMA SASA HAKUTAKUWA NA NJIA YA MWENDA MBELE BAADAYE.
Kwa hiyo unajiona umeshauri kitu au?
Kichwa bila akili ni adhabu kwa shingo!
Ungekaa kimya ungeficha ujinga wako!
 
Kwa kuwa kuna pande mbili zinazotofautiana kwenye uwekezaji wa bandari na pande hizi zimeonesha wazi ni pande za kisiasa. Upande wa wanaopinga uwekezaji wakiongozwa na CHADEMA na upande unaokubaliana na uwekezaji wakiongozwa na CCM. Pande zote mbili zinapenda kusikia lolote kutoka kwako hasa upande unaoongozwa na CHADEMA kwa sababu kwa vyovyote vile lolote utakalosema litakuwa ni upande wa CCM ila inaweza kufanyika vinginevyo kulingana na busara zako zitakavyokuongoza.

Ni ukweli usiopingika suala hili lina matokeo chanya na hasi kwenye siasa hususani za CCM. Matokeo chanya ni pale ambapo uwekezaji utaanza kuonyesha faida zinazosemwa Sasa na matokeo hasi ni pale ambapo wanaopinga Sasa wakawa wapo sahihi kwenye kupinga kwao na faida zisionekane. Matokeo hasi yatakitesa Chama Cha Mapinduzi kwa Muda mrefu hususani katika masuala yanayohusu uwekezaji.

Licha ya kwamba yanayopingwa yanaweza kuwa kweli Kwa sababu hakuna ajuaye ya kesho lakini mtazamo na maoni yangu kwenye suala hili utabaki uleule CCM ISIRUDI NYUMA KWENYE UWEKEZAJI WA BANDARI KWA SABABU KURUDI NYUMA SASA HAKUTAKUWA NA NJIA YA MWENDA MBELE BAADAYE.

Ni wakati wa kuendelea kuziba masikio Mhe.Rais, yanayoongelewa kuhusu DP WORLD jifanye kama hujawahi kuyasikia wala huyasikii maana Kwa Sasa upo kwenye jaribu kubwa:

Kwanza, wanaopinga wanataka ufanye uamuzi wa kusitisha makubaliano hayo ili wapate sababu ya kuongea Zaidi. Ukisitisha Sasa itaonekana ni kweli kulikuwa na nia ovu kwenye makubaliano, taswira ya Chama itakuwa mbaya na itahitajika nguvu kubwa kuisafisha.

Pili, ukisitisha Sasa CCM itabidi Ile matapishi yake. Nguvu iliyotumika kuelimisha umma juu ya umuhimu wa makubaliano na uwekezaji huu itakuwa kazi Bure. Hakuna jambo gumu duniani kama kula matapishi maana itabidi watu wasio na kinyaa wafanye hivyo.

Baada ya kutambua haya napenda kuchukua nafasi hii kukuomba Mhe.Rais:

Kwanza, nakuomba uwe na Imani juu ya dhamira na nia yako Kwa Taifa. Kutaka kuwepo Kwa uwekezaji huu ni dhamira njema uliyonayo ya kuliletea Taifa maendeleo hivyo lolote litakalotokea tutailinda na kuitetea dhamira yako na mapenzi makubwa uliyonayo Kwa Taifa letu.

Pili, nakuomba usiongee lolote juu ya uwekezaji na DP WORLD Kwa Sasa. Wasaidizi wako ndani ya CCM na Serikali watakusaidaia kulisema. Wanataka uongee kitu ili waendelee kusema, mlengwa mkuu mikutano wanayofanya ni wewe, hivyo ninakuomba usiongee lolote.

Tatu, ninakuomba utumie busara zako kupanga safu nzuri ya kuhakikisha uwekezaji unakuwa ni wenye tija na matokeo makubwa ya uwekezaji yanaonekana haraka.

Kwa kufanya hivi Mhe.Rais utakuwa si tu umewajibu wanaopinga uwekezaji bali itakuwa ni pigo Kwa wote wenye lengo la kufanya au kuendeleza kufanya siasa kwenye maendeleo ya nchi.
Kwa maelezo haya ni dhahiri hata wewe unajua mkataba huu Una shida Ila unalazimisha Mama yenu azibe masikio ili tu asiomekane kawakubalia wapinzani.
Huu ni mtazamo wa ovyo kuweka maslahi ya Mtu na Chama mbele ya maslahi ya Nchi.
 
Back
Top Bottom