Rais Samia: Vijana waliopita JKT wanapaswa kubeba uzalendo wa Nchi moyoni na sio mdomoni

Labda jkt ya sasa, lakini ile tuliyopitia ya julius, mmh! Tulihitimu na kufuzu kusema na kufanya uongo, unafiki, wizi, utoro, uzembe, na mambo mengine mabaya yanayofanana na hayo. Kuhakiki hili ninalosema, kwani mafisadi wanaoitesa Nchi si wale " wazalendo" wahitimu wa jkt tena ya julius.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…