Rais Samia: Viongozi mnaona ubovu kwenye miradi ila mnasubiri Mbio za Mwenge

Rais Samia: Viongozi mnaona ubovu kwenye miradi ila mnasubiri Mbio za Mwenge

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rais Samia amekemea tabia ya viongozi kuwa kimya juu ya ubadhirifu na ubovu wa miradi isiyoendana na thamani ya fedha iliyoko katika maeneo yao na kusubiri mbio za mwenge zije kubaini kasoro za miradi.

Amewataka watendaji kushughulika ipasavyo na kutosubiri mbio za mwenge kujua shida za miradi inayotekelezwa.

Rais amesema hayo katika kilele cha mbio za mwenge, na siku ya kumbukizi ya siku ya mwalimu Nyerere.

Amesema hata kwenye masuala ya rushwa, wengi husubiri mwenge ubaini ndipo washughulike kufuatilia na kuadhiby badala ya kujikita katika kuzia rushwa kutendeka.
 
Inatakiwa ifike muda hili swala la mwenge lipigwe marufuku, unaweza kuwa mradi mkubwa wa watu kulamba asali. Faida zake ni zipi? wakati tunatumia hela nyingi kuukimbiza. Je, hela tunayotumia inarudi?
 
Tanzania haina tofauti na kwingine. Kila nchi ina kabiliwa na mambo ya rushwa ubadhirfu na ufusadi na udhaifu - Ndio maana kila nchi ina Mkaguzi Mkuu wa Hesabu, Vikosi vya kupambana na rushwa na ufuisadi! Tofauti tu ni kwmba Tanzania badala ya kubaki na mifumo rasmi, tumeongeza na Mwenge kufanya ukaguzi wa miradi! LOL!
 
Tanzania haina tofauti na kwingine. Kila nchi ina kabiliwa na mambo ya rushwa ubadhirfu na ufusadi na udhaifu - Ndio maana kila nchi ina Mkaguzi Mkuu wa Hesabu, Vikosi vya kupambana na rushwa na ufuisadi! Tofauti tu ni kwmba Tanzania badala ya kubaki na mifumo rasmi, tumeongeza na Mwenge kufanya ukaguzi wa miradi! LOL!
Mwenge haujaongezwa ila ni jadi yetu so upo utakuepo na tutauacha na Mwalimu Nyerere alisema

"Sisi tumekwisha uwasha mwenge wa uhuru na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro umulike ndani na nje ya mipaka yetu ulete matumaini pale ambapo hakuna matumaini, ulete upendo pale ambapo pana chuki na heshima mahali palipo jaa zarau" Mwalimu Nyerere
 
Tatizo lako unateua wale wale Ili wafanye kimazoea!

Ingiza Damu changa zenye uchu uone kazi itakavyo pigwa !!
 
Raisi wetu mpendwa Bi Samia Suluhu Hassan ni mtu wa Mungu.

Zuluma zote za Magufuli azipitie na Waja wapewe HAKI zao.

rejoice.png
 
Hakika, mpaka yule dogo apite kuwapa makavu wazee wazima...
 
Kwa nini miradi inapokamilika isianze kutumika? Badala yake tumeweka utaratibu wa kusubiri mwenge.
 
Rais Samia amekemea tabia ya viongozi kuwa kimya juu ya ubadhirifu na ubovu wa miradi isiyoendana na thamani ya fedha iliyoko katika maeneo yao na kusubiri mbio za mwenge zije kubaini kasoro za miradi.

Amewataka watendaji kushughulika ipasavyo na kutosubiri mbio za mwenge kujua shida za miradi inayotekelezwa.

Rais amesema hayo katika kilele cha mbio za mwenge, na siku ya kumbukizi ya siku ya mwalimu Nyerere.

Amesema hata kwenye masuala ya rushwa, wengi husubiri mwenge ubaini ndipo washughulike kufuatilia na kuadhiby badala ya kujikita katika kuzia rushwa kutendeka.
Kila siku nasema hawa viongozi bila kuwa na hofu ya Mungu basi tutaendelea kuwa na miradi mibovu

1. Kibaha - Stendi ilikuwa chini ya kiwango na mheshimiwa Majaliwa alishindwa kuizindua lakini cha ajabu hadi leo inatumika

2. KIbaha - Wanajenga soko pale karibu na standi mpya soko liko chini ya kiwango lakini hakuna anayejali

3. Kibaha - Mkandarasi aliyejenga barabara ya lami kuanzia NIDA - Bagamoyo kile kipande kutokea shule ya sekondari Pangani kuendelea kama unaenda Kidimu ile barabara lami viongozi wameshindwa kuizindua lami ina nyufa za kutosha .... lakini barabara iko chini ya kiwango

Nani mtetezi wetu jamani ?
 
Rais Samia amekemea tabia ya viongozi kuwa kimya juu ya ubadhirifu na ubovu wa miradi isiyoendana na thamani ya fedha iliyoko katika maeneo yao na kusubiri mbio za mwenge zije kubaini kasoro za miradi.

Amewataka watendaji kushughulika ipasavyo na kutosubiri mbio za mwenge kujua shida za miradi inayotekelezwa.

Rais amesema hayo katika kilele cha mbio za mwenge, na siku ya kumbukizi ya siku ya mwalimu Nyerere.

Amesema hata kwenye masuala ya rushwa, wengi husubiri mwenge ubaini ndipo washughulike kufuatilia na kuadhiby badala ya kujikita katika kuzia rushwa kutendeka.
WAPIGAJI HAO HAKUNA KIONGOZI
 
Mwenge haujaongezwa ila ni jadi yetu so upo utakuepo na tutauacha na Mwalimu Nyerere alisema

"Sisi tumekwisha uwasha mwenge wa uhuru na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro umulike ndani na nje ya mipaka yetu ulete matumaini pale ambapo hakuna matumaini, ulete upendo pale ambapo pana chuki na heshima mahali palipo jaa zarau" Mwalimu Nyerere
Haswa! Basi ukimbizwe kuendeleza na kudumisha madhumiuni yake ya msingi - upendo, umoja, mshikamano na matumaini, si kufaya kazi ya CAG, ama Buidling Inspector!
 
Inatakiwa ifike muda hili swala la mwenge lipigwe marufuku, unaweza kuwa mradi mkubwa wa watu kulamba asali. Faida zake ni zipi ? wakati tunatumia hela nyingi kuukimbiza. Je hela tunayotumia inarudi?
Halafu utasikia "MWENGE UMESEMA".
Nchi ya Mazombie hii!!
 
Rais Samia amekemea tabia ya viongozi kuwa kimya juu ya ubadhirifu na ubovu wa miradi isiyoendana na thamani ya fedha iliyoko katika maeneo yao na kusubiri mbio za mwenge zije kubaini kasoro za miradi.

Amewataka watendaji kushughulika ipasavyo na kutosubiri mbio za mwenge kujua shida za miradi inayotekelezwa.

Rais amesema hayo katika kilele cha mbio za mwenge, na siku ya kumbukizi ya siku ya mwalimu Nyerere.

Amesema hata kwenye masuala ya rushwa, wengi husubiri mwenge ubaini ndipo washughulike kufuatilia na kuadhiby badala ya kujikita katika kuzia rushwa kutendeka.
Kwanza#: Ukiona mkurugenzi na ofisi yake wamekubali mwenge upite kwenye mradi furani ni kuna mawili,kwanza wanaamini mmradi umekamirika hata kama wamefisadi nikimaanisha wameamini taarifa za mkaguzi au Engineers wakaguzi wa wilaya ,Pili walipishana kwenye baadhi ya idara juu ya mgao. Hii miradi mingi mnayoiona na inayoendelea ufisadi au hujuma ni kama zimebarikiwa toka juu maana hakuna mradi ambao watekelezwa kwa kiwango cha asilimia hata 90% miradi mingi ya serikali hasa ile ya TAMISEMI jamani ni ufisadi mkubwa wafanyika. Tukianza na miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa ni shida tupu na ule wa ujenzi hospitali za wilaya mradi hata haujaanza kila mtu anadai Ten percent ya mradi iingie kwake na juu ya zabuni za ununuzi wa vifaa unakuta ofisi ya wilaya inakuwa supplier's mkuu wa vifaa vya ujenzi WIZI MKUBWA unaanzia hapo. Kuna shule xxxxx katika kuisoma budgets plan ya jengo naambiwa kuna madirisha aluminum kila kitu kimekuwa directed kwa supplier's ambayo ni ofisi ya mkurugenzi ila mpaka naulizia mara ya mwisho naambiwa mradi na pesa ililipwa kwa supplier wetu. Na ukaja ujenzi wa nyumba za watumishi mradi hata haujakamirika tayari rangi kia kitu kinapukitika na engineer site visiting alikuwa analipwa lilipokuja swala la mwenge nikawaambia wananchi MWENGE HAUWEZI PITA PALE KUNA UFISADI UMEFANYIKA,HAUJI ZINDUA KITU PALE. kweli mule mule hakuna mwenge kuja zindua hivyo ukaja zindua mradi wa kisima cha maji Zahanati.

Pili#: Miradi mingi inasimamiwa na watu ambao uwezo wao uko outdated sana,mtu ana certificate ya Masonry and Bricklaying aje kuwa mkaguzi jengo kweli?
We are not serius na wasimamizi tunao waemploy kuja simamia miradi hii..
 
Kwanza#: Ukiona mkurugenzi na ofisi yake wamekubali mwenge upite kwenye mradi furani ni kuna mawili,kwanza wanaamini mmradi umekamirika hata kama wamefisadi nikimaanisha wameamini taarifa za mkaguzi au Engineers wakaguzi wa wilaya ,Pili walipishana kwenye baadhi ya idara juu ya mgao. Hii miradi mingi mnayoiona na inayoendelea ufisadi au hujuma ni kama zimebarikiwa toka juu maana hakuna mradi ambao watekelezwa kwa kiwango cha asilimia hata 90% miradi mingi ya serikali hasa ile ya TAMISEMI jamani ni ufisadi mkubwa wafanyika. Tukianza na miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa ni shida tupu na ule wa ujenzi hospitali za wilaya mradi hata haujaanza kila mtu anadai Ten percent ya mradi iingie kwake na juu ya zabuni za ununuzi wa vifaa unakuta ofisi ya wilaya inakuwa supplier's mkuu wa vifaa vya ujenzi WIZI MKUBWA unaanzia hapo. Kuna shule xxxxx katika kuisoma budgets plan ya jengo naambiwa kuna madirisha aluminum kila kitu kimekuwa directed kwa supplier's ambayo ni ofisi ya mkurugenzi ila mpaka naulizia mara ya mwisho naambiwa mradi na pesa ililipwa kwa supplier wetu. Na ukaja ujenzi wa nyumba za watumishi mradi hata haujakamirika tayari rangi kia kitu kinapukitika na engineer site visiting alikuwa analipwa lilipokuja swala la mwenge nikawaambia wananchi MWENGE HAUWEZI PITA PALE KUNA UFISADI UMEFANYIKA,HAUJI ZINDUA KITU PALE. kweli mule mule hakuna mwenge kuja zindua hivyo ukaja zindua mradi wa kisima cha maji Zahanati.

Pili#: Miradi mingi inasimamiwa na watu ambao uwezo wao uko outdated sana,mtu ana certificate ya Masonry and Bricklaying aje kuwa mkaguzi jengo kweli?
We are not serius na wasimamizi tunao waemploy kuja simamia miradi hii..
Huo utafiti umeufanyia wapi hadi kuweka na hizo asilimia?
 
ifike mahala viongozi wa eneo hilo kuanzia RC , DC, RASI, DASI, DED n.k wawajibishwe kwa kutumbuliwa, maana hao ndio walio shindwa kusimamia.
 
Back
Top Bottom