kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 119
- 240
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa Serikali kujitathmini kwa nafasi zao kama wana maadili ya uongozi.
Rais Samia amezungumza hayo alipofanya mkutano wa faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC) jijini Arusha leo Machi, 02 2023.
“Watu tunao, ardhi tunayo na siasa safi ipo, suala la kujadili ni kuhusu uongozi bora, baada ya kumaliza kikao kazi hiki kila mmoja ajitathmini kama maadili ya kiongozi bora tuliyoambiwa yapo au laa.” Amesema Rais Samia.
Rais Samia amesema lengo la kikao hicho ni kuelekezana juu ya kutimiza ipasavyo wajibu wa viongozi na dhamana waliyonayo ya kuwatumikia Wananchi
Rais Samia amezungumza hayo alipofanya mkutano wa faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC) jijini Arusha leo Machi, 02 2023.
“Watu tunao, ardhi tunayo na siasa safi ipo, suala la kujadili ni kuhusu uongozi bora, baada ya kumaliza kikao kazi hiki kila mmoja ajitathmini kama maadili ya kiongozi bora tuliyoambiwa yapo au laa.” Amesema Rais Samia.
Rais Samia amesema lengo la kikao hicho ni kuelekezana juu ya kutimiza ipasavyo wajibu wa viongozi na dhamana waliyonayo ya kuwatumikia Wananchi