Rais Samia vunja Bunge lote, ita uchaguzi mpya

Rais Samia vunja Bunge lote, ita uchaguzi mpya

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
4,175
Reaction score
2,294
Wabunge walioingia mjengoni kwa Hisani ya mwendazake hawawezi kuwa na uchungu na wananchi wa majimbo yao wala nchi kwa ujumla. Na kwa maana hiyo hawawezi hata siku moja kukusaidia katika kuondoa umasikini Tanzania. Kila utalosema wao akili zao zote ziko Chato na zaidi wanachowaza ni mwaka 2025 kumpata mhisani wao mwingine ataorudi nao bungeni.

Chakufanya, wamwage wote kama wana nguvu warudi majimboni wakawaeleze wananchi walichofanya kwa muda huu ili wawarudishe mjengoni, tuone kama kuna ataetoboa. Wataopatikana watakuwa pure cream, hao watakusaidia kujenga nchi. Hawa waliopo sasa hivi ni FITINA TU.
 
Hivi kuna Mbunge aliyewahi kumpelekea mwananchi maendeleo?? hayo yatakua ni matumizi mabaya ya Fedha za walipakodi ili Tanzania/Afrika iweze kupiga hatua kimaendeleo inahitaji viongozi wasiojinasibisha na Demokrasia bali viongozi wazalendo wenye maono yatakayo wapa wananchi hari ya kufanya kazi kwa bidii kuijenga nchi yao. Hakuna nchi iliyoendelea duniani kupitia demokrasia.
 
Wabunge walioingia mjengoni kwa Hisani ya mwendazake hawawezi kuwa na uchungu na wananchi wa majimbo yao wala nchi kwa ujumla. Na kwa maana hiyo hawawezi hata siku moja kukusaidia katika kuondoa umasikini Tanzania. Kila utalosema wao akili zao zote ziko Chato na zaidi wanachowaza ni mwaka 2025 kumpata mhisani wao mwingine ataorudi nao bungeni.

Chakufanya, wamwage wote kama wana nguvu warudi majimboni wakawaeleze wananchi walichofanya kwa muda huu ili wawarudishe mjengoni, tuone kama kuna ataetoboa. Wataopatikana watakuwa pure cream, hao watakusaidia kujenga nchi. Hawa waliopo sasa hivi ni FITINA TU.
Unataka wakutafute mkuu😅😅
 
Aitishee uchaguzi mpyaa kwan apapendi hapo alipoo ,akiitisha uchaguzi mpyaa utakuwa wa wabunge tu au na urais piaa mkuu??maana km n mpk urais bac atoboi kwenyee kamati kuu ya ccm ile yakuchagua 3 bora mpk kupatikana 1..
 
Hayo maamuzi ni zaidi ya kuruhusu katiba mpya unajua.
 
Hilo hawezi kulifanya sababu yeye mwenyewe anajua yuko hapo baada ya matokeo ya uchaguzi batili.
 
Aitishee uchaguzi mpyaa kwan apapendi hapo alipoo ,akiitisha uchaguzi mpyaa utakuwa wa wabunge tu au na urais piaa mkuu??maana km n mpk urais bac atoboi kwenyee kamati kuu ya ccm ile yakuchagua 3 bora mpk kupatikana 1..
Likivunjwa bunge, uchaguzi utakuwa wa wabunge tu. Rais ni yule yule.

Nikijibu suala lako la Tatu bora, sijui nani alikueleza hilo. Kwa sababu Mkapa hata kwenye kumi bora hakuwepo, na alitoboa. Kwenye uchaguzi wa Urais kinachojaliwa si tatu wala tano bora. Nani atapeperusha bendera kupitia CCM, huwa ameshapangwa na wala si na kamati kuu bali na ile cream namba 1, kwa wakati ule alikuwa mmoja, Nyerere.
 
Back
Top Bottom