Rais Samia: Wafanyabiashara mlichoma moto Soko Kariakoo sababu nilizisema changamoto za uongozi uliokuwepo

Rais Samia: Wafanyabiashara mlichoma moto Soko Kariakoo sababu nilizisema changamoto za uongozi uliokuwepo

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Alaaaah, kumbe wafanyabiashara walichoma soko la Kariakoo wenyewe? Hii ndio sababu hatujui ndani ya kilichokuwemo kwenye ripoti rya tukio la moto ule?

======

Moja ya mambo aliyosema mwenyekiti wa kariakoo katika risala yake ni kuhusu ziara ya Samia Kariakoo, ambako alisema Rais Samia alifika Kariakoo mara moja, wakati haikuwa hivyo. Rais Samia alimrekebisha kuwa alifika mara mbili na kuongezea kuhusu kuungua kwa soko la Kariakoo.

“…. Amesema alinianialika Kariakoo kasema kwamba umekuja Kariakoo mara moja tu nataka nimkumbushe nilikuja Kariakoo kusalimia wafanyabiashara na mara baada ya kuondoka siku 2 baadaye soko mkalitia moto, na mlilitia moto kwasababu nilizisema changamoto za uongozi uliookuwepo na mambo yaliyokuwa yakifanyika ndani ya soko na kuwataka vyombo vinavyohusika kufanya uchunguzi ndani ya soko

“Sasa ili kupoteza ushahidi mkaamua kutia moto lile soko. Kwahiyo hiyo ilikuwa ziara yangu ya kwanza. Lakini kwa ujasiri nikasema nalijenga tena hili soko.”


Rais Samia ameyasema hayo leo Januari 30, 2025 alipokuwa katika hafla ya chakula cha mchana na waliosaidia kwenye zoezi la uokoaji wakati wa ajali ya kuporomoka soko la Kariakoo.

 
Uppuuziii makala ndiye aliyechoma Moto masoko yote kariakoo, karume, Morogoro na mbeya
 
Rais wa Tanzania Dk Samia leo akiongea wakati wa chakula cha kuwapa Pole waathirika wa kuangukiwa na ghorofa Kariakoo amebanisha kuwa kuungua kwa soko la Kariakoo kulitokana na yeye kufanya ziara sokoni hapo na kukuta ubadirifu na wizi mkubwa hivyo akaagiza uchunguzi ufanyike mara moja na wahusika wachukuliwe hatua.

Hata hivyo baada ya maagizo hayo wahusika waliamua kulichoma moto soko ili kupoteza ushahidi wa nyaraka mbalimbali zinazoonyesha wizi wao. Pamoja na hayo Rais Samia aliamua kulijenga upya soko hilo na kuwa la kimataifa zaidi.
My take: kwa nini hawa wachomaji wa soko hawajafikishwa mahakamani?
 
na Waliolichoma wanadunda kitaa fresh bila wasi? au wameshughulikiwa?
 
Hili TAIFA ni rahisi sana kuliongoza kwaua kama president unasimulia tukio kisha akuna maamuzi yyte utafanya kwa maslahi ya TAIFA. No mahamakani kwa walifu na mafisadi.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Wakuu,

Alaaaah, kumbe wafanyabiashara walichoma soko la Kariakoo wenyewe? Hii ndio sababu hatujui ndani ya kilichokuwemo kwenye ripoti rya tukio la moto ule?

======

Moja ya mambo aliyosema mwenyekiti wa kariakoo katika risala yake ni kuhusu ziara ya Samia Kariakoo, ambako alisema Rais Samia alifika Kariakoo mara moja, wakati haikuwa hivyo. Rais Samia alimrekebisha kuwa alifika mara mbili na kuongezea kuhusu kuungua kwa soko la Kariakoo.

“…. Amesema alinianialika Kariakoo kasema kwamba umekuja Kariakoo mara moja tu nataka nimkumbushe nilikuja Kariakoo kusalimia wafanyabiashara na mara baada ya kuondoka siku 2 baadaye soko mkalitia moto, na mlilitia moto kwasababu nilizisema changamoto za uongozi uliookuwepo na mambo yaliyokuwa yakifanyika ndani ya soko na kuwataka vyombo vinavyohusika kufanya uchunguzi ndani ya soko

“Sasa ili kupoteza ushahidi mkaamua kutia moto lile soko. Kwahiyo hiyo ilikuwa ziara yangu ya kwanza. Lakini kwa ujasiri nikasema nalijenga tena hili soko.”


Rais Samia ameyasema hayo leo Januari 30, 2025 alipokuwa katika hafla ya chakula cha mchana na waliosaidia kwenye zoezi la uokoaji wakati wa ajali ya kuporomoka soko la Kariakoo.

SAsa si wangekamata wahusika na kuwafungulia mashtaka
 
Hili TAIFA ni rahisi sana kuliongoza kwaua kama president unasimulia tukio kisha akuna maamuzi yyte utafanya kwa maslahi ya TAIFA. No mahamakani kwa walifu na mafisadi.
KAZI ni kipimo cha UTU
Yani ni rais aamue tu. Ripoti za CAG watuhumiwa wapo, takukuru ipo lakini kwa sababu hajaamua eeh akina baba na akina mama endeleeni kula ila msirudie kula sana.
Soko wanachoma, vyombo vya usalama vipo, lakini kwakuwa hajasema wakamatwe basi mambo yanaendelea and the list goes on.
Ndiyo maana china imeendelea. Ukizingua your life is on the line.
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Ndio namna yetu ya kudeal na issues... Hata Ikulu iliungua wakati wa Mkapa
 
Kuna
Wakuu,

Alaaaah, kumbe wafanyabiashara walichoma soko la Kariakoo wenyewe? Hii ndio sababu hatujui ndani ya kilichokuwemo kwenye ripoti rya tukio la moto ule?

======

Moja ya mambo aliyosema mwenyekiti wa kariakoo katika risala yake ni kuhusu ziara ya Samia Kariakoo, ambako alisema Rais Samia alifika Kariakoo mara moja, wakati haikuwa hivyo. Rais Samia alimrekebisha kuwa alifika mara mbili na kuongezea kuhusu kuungua kwa soko la Kariakoo.

“…. Amesema alinianialika Kariakoo kasema kwamba umekuja Kariakoo mara moja tu nataka nimkumbushe nilikuja Kariakoo kusalimia wafanyabiashara na mara baada ya kuondoka siku 2 baadaye soko mkalitia moto, na mlilitia moto kwasababu nilizisema changamoto za uongozi uliookuwepo na mambo yaliyokuwa yakifanyika ndani ya soko na kuwataka vyombo vinavyohusika kufanya uchunguzi ndani ya soko

“Sasa ili kupoteza ushahidi mkaamua kutia moto lile soko. Kwahiyo hiyo ilikuwa ziara yangu ya kwanza. Lakini kwa ujasiri nikasema nalijenga tena hili soko.”


Rais Samia ameyasema hayo leo Januari 30, 2025 alipokuwa katika hafla ya chakula cha mchana na waliosaidia kwenye zoezi la uokoaji wakati wa ajali ya kuporomoka soko la Kariakoo.

Kuna namna hao viongozi wanashirikiana na mamlaka wasingeachwa salama kuchoma soko kizembe kisa mambo Yao ya wizi.
 
Kwa nini hawakamatwi kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi??
 
Back
Top Bottom