Rais Samia: Wakati nakabidhiwa nchi, Bwawa la Nyerere na SGR viliniumiza kichwa

Rais Samia: Wakati nakabidhiwa nchi, Bwawa la Nyerere na SGR viliniumiza kichwa

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Rais Samia amesema wakati anakabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi, mradi wa bwawa la Nyerere na SGR vilimuumiza kichwa kwa pesa zilizokuwa zinahitajika lakini sasa anazo pesa mpaka za kuifikisha Kigoma. Pia Rais Samia ameahidi umeme kutoka bwawani mapema mwakani.

"Kila nikiangalia mapesa yanayohitajika pale nasema Mungu wangu, Mungu saidia Samia ntapata wapi pesa hizi! Lakini kwenye nia kuna njia, leo SGR nna pesa mpaka lot ya 6 kufika Kigoma, sikutegemea"

Soma pia: Uzi mkuu unaoonesha yaliyojiri kwenye mradi wa SGR tangu kuanza kwake mpaka mradi ulipofikia hivi sasa

Alisema Rais Samia
 
Siju tumekopa mikopa vizuri? Maana huyu mama anaamini sana mikopo. Tumekopa hadi kujenga madarasa na matundu ya choo.
 
Kama ana pesa kiasi hicho akumbuke kulipa deni la mifuko ya jamii ili waweze kulipa wastaafu pesa zao za utumishi uliotukuka maana wenye uhakika kulipwa vizuri pension zao ni wanasiasa tuu, lakini watumishi wengine wakiwamo WANAJESHI ni kubahatisha tuu na hesabu zao ni vichekesho
 
Mabasi na malori mengi ni ya wanene wa chama na serikali je watakuwa tayari reli ifanye kazi?
 
Kama anapesa kiasi hicho akumbuke kulipa deni la mifuko ya jamii ili waweze kulipa wastaafu pesa zao za utumishi uliotukuka maana wenye uhakika kulipwa vizuri pension zao ni wanasiasa tuu, lakini watumishi wengine wakiwamo WANAJESHI ni kubahatisha tuu na hesabu zao ni vichekesho
Pesa za sgr sheikh na bwawa
 
Leo leo! [emoji122][emoji122][emoji122]

IMG-20230214-WA0051.jpg
 
Hongera Raisi wetu kwa kazi unayoendelea nayo! Ni ukweli unahitaji kuitiwa moyo pia maana hujipambanii wewe, unapambania watanzania, ijapokuwa mama yetu ni kwamba,

Watanzania tunalia na wasaidizi wako, macho yao walio wengi yapo kiupigaji tu na lugha nzuri wajapo kwako!

Mf, wizara ya mawasiliano haipo sawa na imeshamshinda waziri wake! Kjnachofanywa na wizara hii ni wao na watendaji kujinufaisha!

Je, ipo sababu yoyote ya upandaji wa Matumizi ya Internet? Internet ilipokuwa iko chini, kulikuwepo hasara gani? Hakuna maelezo, huo sio upigaji na kuwapa mzigo watumiaji? Au jambo la internet nalo linataka Liwe linatumiwa na vigogo peke yao na wananchi wa kawaida wasipate tarifa na kupashana Habari kwa njia ya mitandao?

Wizara ya Nishati

Kwa nini siyo wakweli kwenye kutoa tarifa zao kwa wananchi? Tukiambiwa leo kwamba tatizo la kukatika umeme, litaisha baada ya wiki mbili, wiki mbili zikiisha. Lazima waje na sababu zingine tena, shida inabaki palepale, leo hii ipo tarifa ya kufumliwa mtandao wote wa gridi ya Taifa, yaani likiisha hili linazaliwa lingine hapohapo, mambo haya yameleta hasara kubwa sana kwanchi na kwa wawekezaji wetu, si hivyo tu, linafanya wawekezaji kuogopa kuwekeza ktk nchi yetu kwa sababu tu ya kutakuwa makini kwa wizara hii nyeti

lingine ni kwamba; umeweza mengi sana mh na Rais wetu, na bado unaweza!

Lililopo kwa sasa ambalo ndilo maisha ya kila mtu, ni hili la nafaka kuwa ghali sana kiasi kwamba linazidi uwezo wa kipato cha mtanzania kwa sasa!

Jambo hili litazamwe kwa kina! Linajaza hasira wananchi kwa sababu ljnawanyima usingizi, linawalaza njaa na kuwashindisha njaa.

Kwa hili, halina faida yoyote kwa mkulima wala mlaji! Kwa sababu mkulima atauza kweli kwa bei ghali, lakini na yeye mahitaji mengine atayapata kwa bei ghali vilevile.

Ughali wa maisha utafutiwe dawa, penye nia hapakosi njia.
 
Rais Samia amesema wakati anakabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi, mradi wa bwawa la Nyerere na SGR vilimuumiza kichwa kwa pesa zilizokuwa zinahitajika lakini sasa anazo pesa mpaka za kuifikisha Kigoma. Pia Rais Samia ameahidi umeme kutoka bwawani mapema mwakani.

"Kila nikiangalia mapesa yanayohitajika pale nasema Mungu wangu, Mungu saidia Samia ntapata wapi pesa hizi! Lakini kwenye nia kuna njia, leo SGR nna pesa mpaka lot ya 6 kufika Kigoma, sikutegemea"

Alisema Rais Samia
Rais Samia Suluhu alisema hakuna kilichosimama na alikuja na slogani yake ya kazi iendelee na kweli tunaona kazi inaendelea miradi yote mikubwa ya kimkakati inaendelea kukamilika
 
Rais Samia amesema wakati anakabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi, mradi wa bwawa la Nyerere na SGR vilimuumiza kichwa kwa pesa zilizokuwa zinahitajika lakini sasa anazo pesa mpaka za kuifikisha Kigoma. Pia Rais Samia ameahidi umeme kutoka bwawani mapema mwakani.

"Kila nikiangalia mapesa yanayohitajika pale nasema Mungu wangu, Mungu saidia Samia ntapata wapi pesa hizi! Lakini kwenye nia kuna njia, leo SGR nna pesa mpaka lot ya 6 kufika Kigoma, sikutegemea"

Alisema Rais Samia
Tuna bahati mbaya ya kuwa na viongozi wa kuokoteza
 
Rais Samia amesema wakati anakabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi, mradi wa bwawa la Nyerere na SGR vilimuumiza kichwa kwa pesa zilizokuwa zinahitajika lakini sasa anazo pesa mpaka za kuifikisha Kigoma. Pia Rais Samia ameahidi umeme kutoka bwawani mapema mwakani.

"Kila nikiangalia mapesa yanayohitajika pale nasema Mungu wangu, Mungu saidia Samia ntapata wapi pesa hizi! Lakini kwenye nia kuna njia, leo SGR nna pesa mpaka lot ya 6 kufika Kigoma, sikutegemea"

Alisema Rais Samia
Sasa hivi anaumiza Nini?? Kuna Lot mojawapo mkandarasi alipatikana kwa Single Source hahahahaah
 
Rais Samia amesema wakati anakabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi, mradi wa bwawa la Nyerere na SGR vilimuumiza kichwa kwa pesa zilizokuwa zinahitajika lakini sasa anazo pesa mpaka za kuifikisha Kigoma. Pia Rais Samia ameahidi umeme kutoka bwawani mapema mwakani.

"Kila nikiangalia mapesa yanayohitajika pale nasema Mungu wangu, Mungu saidia Samia ntapata wapi pesa hizi! Lakini kwenye nia kuna njia, leo SGR nna pesa mpaka lot ya 6 kufika Kigoma, sikutegemea"

Alisema Rais Samia
Kazi iendelee. Safi sana
 
Back
Top Bottom