Rais Samia wakumbuke vijana waliomaliza Mkataba JKT, Mirerani

Rais Samia wakumbuke vijana waliomaliza Mkataba JKT, Mirerani

KaziIendelee

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
327
Reaction score
229
Nawasalimu wanajamvi,


Mh. Rais hongera sana kwa kazi nzuri. Ni kweli sisi watanzania(ingawa sio wote) tunajua kwamba JKT haiajiri bali huwajengea ukakamavu na uzalendo vijana kwa nchi yao. Kuna vijana tunakutana nao mtaani wamelitumikia JKT miaka 3 hadi 4 katika shughuli mbalimbali. Hivyo hawa vijana wameonesha uadilifu na uzalendo mkubwa kwa nchi.

Ushauri wangu kwako Mhe. Rais, wakumbukeni hawa vijana kwenye ajira mnazozitoa serikali kwasababu hawa vijana ni hazina kubwa kwa Taifa. IKUMBUKWE miaka yetu ulikuwa huwezi kwenda chuo kikuu au kupata ajira mpaka upitie JKT kwa mwaka mmoja, hivyo nakuomba mhe. Rais uwakumbuke vijana hawa kwani humo humo wapo wenye ngazi Cheti, Diploma na Degree.


Asante.
 
Waache kwanza walime na tuuze mazao nje ya nchi ajira za jeshi wanazitaka za nini waulize wapo tayari tuwapeleke vitani Ukraine?
 
Waache kwanza walime na tuuze mazao nje ya nchi ajira za jeshi wanazitaka za nini waulize wapo tayari tuwapeleke vitani Ukraine?
Sio lazima wajiriwe jeshini. Hawa hata ukiwaajiri ajira i hope watachapa kazi popote
 
Nawasalimu wanajamvi,


Mh. Rais hongera sana kwa kazi nzuri. Ni kweli sisi watanzania(ingawa sio wote) tunajua kwamba JKT haiajiri bali huwajengea ukakamavu na uzalendo vijana kwa nchi yao. Kuna vijana tunakutana nao mtaani wamelitumikia JKT miaka 3 hadi 4 katika shughuli mbalimbali. Hivyo hawa vijana wameonesha uadilifu na uzalendo mkubwa kwa nchi.

Ushauri wangu kwako Mhe. Rais, wakumbukeni hawa vijana kwenye ajira mnazozitoa serikali kwasababu hawa vijana ni hazina kubwa kwa Taifa. IKUMBUKWE miaka yetu ulikuwa huwezi kwenda chuo kikuu au kupata ajira mpaka upitie JKT kwa mwaka mmoja, hivyo nakuomba mhe. Rais uwakumbuke vijana hawa kwani humo humo wapo wenye ngazi Cheti, Diploma na Degree.


Asante.
Waende kwenye fursa za kilimo Cha kisasa ambacho serikali inatoa..

Hakuna ajira za ofa bali ajira ni pale Serikali ikipata uwezo wa kuajiri..
 
Basi wapewe mitaji
Wewe Nimekwambia waende huko kwenye sekta ya kilimo wanapewa kila kitu kuanzia ardhi yenye hati,wanajengewa miundombinu ya umwagiliaji na mitaji na connection ya soko...

Kwenye mifugo wanatakiwa waende kwenye Ranchi za Serikali wakapewe Kazi za kunenepesha mifugo nk wapate pesa.
 
Nawasalimu wanajamvi,


Mh. Rais hongera sana kwa kazi nzuri. Ni kweli sisi watanzania(ingawa sio wote) tunajua kwamba JKT haiajiri bali huwajengea ukakamavu na uzalendo vijana kwa nchi yao. Kuna vijana tunakutana nao mtaani wamelitumikia JKT miaka 3 hadi 4 katika shughuli mbalimbali. Hivyo hawa vijana wameonesha uadilifu na uzalendo mkubwa kwa nchi.

Ushauri wangu kwako Mhe. Rais, wakumbukeni hawa vijana kwenye ajira mnazozitoa serikali kwasababu hawa vijana ni hazina kubwa kwa Taifa. IKUMBUKWE miaka yetu ulikuwa huwezi kwenda chuo kikuu au kupata ajira mpaka upitie JKT kwa mwaka mmoja, hivyo nakuomba mhe. Rais uwakumbuke vijana hawa kwani humo humo wapo wenye ngazi Cheti, Diploma na Degree.


Asante.
kwahiyo wapendelewe
 
Kumbuka kuna OP moja nadhani ni Magufuli waliajiriwa na Mhe. Rais kama watendaji kata
 
Back
Top Bottom