Kuna wanaojua kuloga acha tu. Hata mamlaka ya uteuzi itajikuta haioni hizo performance reports.Kalumanzira hatawasaidia lolote. Wakurugenzi Wazembe, wezi, wabadhirifu na wanaotumia madaraka yao vibaya LAZIMA watumbuliwe.
2030 paul christine makonda for presidence...Ninachowapendea msoga gang huwa mnawatangaza wapinzani wakishinda hao sukuma gang na mataga for life ni majitu yenye roho mbaya kinoma
Kwamba mzenji anaendesha serikali ya Tanganyika?Mtu anatoka nchi yake huko na wanarais wao anakuja kuchkua urais na kutufukuza-fukuza kazi huku kwetu bara!!!
Nilini mbara ataenda kufukuza-fukuza watu kazi kulekwao??
Swala la tamisemi sio la muungano embu tujiongoze wenyewe tena tupewe serikali yetu haraka sana allaaa!!!
Mbona enzi ya jiwe ulikua hutukani?, Ujue bijitu vingine banah sijui kwanini havieleweki yaani, mnapata kiongozi muungwana, mnamuona dhaifu eti mnaweza kutukana tu,, yaani wewe raha yako ni kuonekana umetukana Rais sio?Una akili fupi sana!Tanzania tuna Rais wala hatuna Mfalme.Kama wewe unaamini kuwa Tanzania ina mfalme amini hivyo wewe pamoja na mke wako na wala siyo kupangia watu kuamini utopolo wako.
Sukuma gang wataomba poo mwaka huuSafi sana mheshimiwa! Msoga gang tumejipanga vizuri kuwapokea kijiti ndugu zetu wa sukuma gang na mataga for life.
Siku zote kutesa ni kwa zamu.
Akili ndo kitu huna pumbavuHii comment inamtuhumu mh rais kuwa ni fisadi. Nimeiripoti kwa mod. Kama haitaondolewa itakuwa ni ushahidi tosha kuwa JF inaliwekea kivuli hili genge linalomchafua rais.
🗣️Wewe ni snitch..✍️Hii comment inamtuhumu mh rais kuwa ni fisadi. Nimeiripoti kwa mod. Kama haitaondolewa itakuwa ni ushahidi tosha kuwa JF inaliwekea kivuli hili genge linalomchafua rais.
Safi sana, suala la "performance evaluation" katika kipindi watendaji wa serikali wapo kwenye "probation" liwaguse viongozi wote wenye wajibu wa kuwatumikia Watanzania, ili ufanisi katika uwajibikaji wao uweze kupimwa.Rais Samia Hassan Suluhu amesema Wakurugenzi wa halmashauri walikuwa kwenye kipindi cha matazamio ( probation) cha miezi sita ambayo inakamilika 18/02/2022.
Rais Samia amesema baada ya tarehe hiyo Waziri ataandaa performance report ya wakurugenzi wote ili ijulikane wanaobaki na wale watakaotumbuliwa wakaungane na wale wengine wanne waliotumbuliwa juzi.
Chanzo: TBC
Tupigwe mnada? You are joking..., kwanza crane lile la tani 26 liko wapi?Yeye anafanya kazi nzuri. Tutampa mitano halafu mitano tena!
Kwani Rais ni Mungu au ni Mfalme hadi asitukanwe?Kama wewe pamoja na mke wako mnaamini kuwa mnaongozwa na Mfalme inatosha ila sisi tunaamini kuwa tunaongozwa na Rais na wala siyo Mfalme au Mungu.Mbona enzi ya jiwe ulikua hutukani?, Ujue bijitu vingine banah sijui kwanini havieleweki yaani, mnapata kiongozi muungwana, mnamuona dhaifu eti mnaweza kutukana tu,, yaani wewe raha yako ni kuonekana umetukana Rais sio?
Makonda ana vyeti??? Hicho kipindi ndo kwanza atakuwa anatumikia miaka yake jela2030 paul christine makonda for presidence...
Wapinzani mkishindwa kutumia kipindi hiki cha awamu hii itakua imekula kwenu hadi 2040,,
Huu ndo wakati wa wabunge akina henche, lema, kupigania kurudi kwenye bunge,,
Baada ya awamu hii anaefuata atakua mkali[emoji23][emoji23]
Ni kuongeza gharama kwa wananchi, hawa watu watabaki na mishahara yao mikubwaRais Samia Hassan Suluhu amesema Wakurugenzi wa halmashauri walikuwa kwenye kipindi cha matazamio ( probation) cha miezi sita ambayo inakamilika 18/02/2022.
Rais Samia amesema baada ya tarehe hiyo Waziri ataandaa performance report ya wakurugenzi wote ili ijulikane wanaobaki na wale watakaotumbuliwa wakaungane na wale wengine wanne waliotumbuliwa juzi.
Chanzo: TBC
Tena wangewajibika kwa wananchi badala ya mteuzi waoKila wanaolalamikiwa ni zao la uteuzi wa Lumumba mnategemea nini?
Hizo nafasi zingekuwa zinafanywa kwa ushindani na jopo huru kupata mtu hakika tusingefika huku.
Hili kwakweli Msoga Gang nawapongeza, wale Sukuma Gang hopeless kabisaNinachowapendea msoga gang huwa mnawatangaza wapinzani wakishinda hao sukuma gang na mataga for life ni majitu yenye roho mbaya kinoma