bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Yeye kama mkuu wa nchi alipokuwa anakopa bank kwa ajili ya hii miradi alikuwa anaweka dhamana gani?Kitu pekee nachoweza kuamini Ni Magufuli alidanganya hivo hakukuwa na gawio alilopokea, lakini kusema mikopo ilichukuliwa Bank Ni uongo,