Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,425
- 5,227
Alikua anajua bt alikua anatulaghaiHapa nahisi ni chai
Mikopo yote ina records BOT. Sasa gavana wa BOT asimwambie Magufuli kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua anajua bt alikua anatulaghaiHapa nahisi ni chai
Mikopo yote ina records BOT. Sasa gavana wa BOT asimwambie Magufuli kweli?
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma hayafanyi vizuri na kuna baadhi ya Viongozi wao walikuwa wanakopa fedha Benki ilu walipe Gawio serikalini kulinda vibarua vyao
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yote yataangaliwa upya
Source ITV
Hii nayo mivuke/ vapor.. wametafuta visingizio vya kujiteteaHapa nahisi ni chai
Mikopo yote ina records BOT. Sasa gavana wa BOT asimwambie Magufuli kweli?
Bring back our heroRais Samia amesema Mashirika ya Umma hayafanyi vizuri na kuna baadhi ya Viongozi wao walikuwa wanakopa fedha Benki ilu walipe Gawio serikalini kulinda vibarua vyao
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yote yataangaliwa upya
Source ITV
Mfumuko wa Bei ni tatizo la dunia nzimaHii haimsafishi mama na mfumuko wa bei,
Magufuli alikuwa bonge la msaniiRais Samia amesema Mashirika ya Umma hayafanyi vizuri na kuna baadhi ya Viongozi wao walikuwa wanakopa fedha Benki ilu walipe Gawio serikalini kulinda vibarua vyao
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yote yataangaliwa upya
Source ITV
Nafikiri ndio inatakiwa iwe hivyo kisheria, kuwa,cshirija lijiendeshe kwa faida na kutoa gawio kwa serikali. Ila mashirika hayajiwezi na matokeo yake ndio walikuwa wakikopa ili kumfurahisha Magufuli. Nafikiri rais wa sasa hawabani kabisa.Inamaana hawastahili kutoa gawio kwa SERIKALI?
huu utaratibu wa gawio umeanzishwa lini na kwa Nini waliuanzisha wakijua they won't make it kufanya return?
Kwa hivyo Rais kasema uongo?. Kama kaambiwa hivyo na gavana wa benki kuu.
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma hayafanyi vizuri na kuna baadhi ya Viongozi wao walikuwa wanakopa fedha Benki ilu walipe Gawio serikalini kulinda vibarua vyao
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yote yataangaliwa upya
Source ITV
Kumbuka marehemu alimzuia CAG kukagua AIR TZ na tukaambiwa shirika linapata faidaHalafu Magufuli asijue kama wamechukuwa hela ktk central Bank ? Raisi yuko karibu na Gavana wa Benki anakuwa briefed kila kinachoendelea, asiambiwe kama shirika xyz limekopa ?
Wakati wa Magufuli kila kitu kinawezekana.Na wewe unaamini huu uongo ? ,CEO wa shirika la umma akope zaidi ya 1 billion aliweka Nini huko Bank Kama dhamana, na Jiwe asijue ? Na Kama kweli walikopa while shirika linapata loss pesa ya kulipa ilitoka wapi
Ndio cha kushangaza....Wakikopa pesa ya kulipa walikuwa wanatoa wapi?
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app