MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Ajabu sanaWakikopa pesa ya kulipa walikuwa wanatoa wapi?
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajabu sanaWakikopa pesa ya kulipa walikuwa wanatoa wapi?
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Chukua mfano wa TTCL chini ya Waziri Kindamba. Wamewahi kutoo gawio la Tsh 2.1 Billion kwa Serikali mnamo Mei 2019.Halafu Magufuli asijue kama wamechukuwa hela ktk central Bank ? Raisi yuko karibu na Gavana wa Benki anakuwa briefed kila kinachoendelea, asiambiwe kama shirika xyz limekopa ?
Nani asiyejua kuwa Jiwe ndiye aliyekuwa kinara wa michongo yote ya kuigiza?Halafu Magufuli asijue kama wamechukuwa hela ktk central Bank ? Raisi yuko karibu na Gavana wa Benki anakuwa briefed kila kinachoendelea, asiambiwe kama shirika xyz limekopa ?
Tusubiri watangaze siku ya kutoa ufafanuzi..!!!!!Wakikopa pesa ya kulipa walikuwa wanatoa wapi?
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Japo ni mbaya kiuhasibu inawezekana.Hapa nahisi ni chai
Mikopo yote ina records BOT. Sasa gavana wa BOT asimwambie Magufuli kweli?
Makande ya mlenda tunalishwaRais Samia amesema Mashirika ya Umma hayafanyi vizuri na kuna baadhi ya Viongozi wao walikuwa wanakopa fedha Benki ilu walipe Gawio serikalini kulinda vibarua vyao
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yote yataangaliwa upya
Source ITV
Uliajiriwa kulipwa mshahara au poshoKweli Magufuli alikuwa chizi.
Yaani mashirika ya umma yamlipe boss wao, how come?
Ofisini kwetu kuna kipindi posho tulikatwà then after 2 weeks tunaona boss anagawa 2 billions kwa Magufuli.
Mkuu hii nchi ni kutembea kwa taratibu, ukizidisha mwendo utaachwa siyo wewe kuwaacha, hao ni wanasiasa they use every is in front of him kufikia malengo yake.Records ziko wapi? Unaweza tu kukopa hela Central bank bila ya records zozote mahali na jinsi ya kuzirudisha? Na kama ni kweli kwamba walikuwa wanakopa ktk central Bank ili kumfurahisha Magufuli, je raisi Magufuli angeweza kutoligundua/kuambiwa hilo? I mean, huyo mtu sijui tu kwa kweli kwa maana dah!
Ulikuwepo ila sasa Jiwe si unamjua? Aliua uchumi then pesa watoe wapi?Inamaana hawastahili kutoa gawio kwa SERIKALI?
huu utaratibu wa gawio umeanzishwa lini na kwa Nini waliuanzisha wakijua they won't make it kufanya return?
Hata akijua kwani wakichukua kwa mgongo wa biashara na kuzileta kwa njia ya gawia utajua?Halafu Magufuli asijue kama wamechukuwa hela ktk central Bank ? Raisi yuko karibu na Gavana wa Benki anakuwa briefed kila kinachoendelea, asiambiwe kama shirika xyz limekopa ?
Mbona saizi yanaleta faida? Umesikia kuna Mstaafu anashindwa kulipa?Ni wazi yeye ndio ameshindwa kua mkali katika kusimamia hayo mashirika kuna ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma na kupelekea mashirika kuendeshwa kwa hasara ,Magufuli alikua mkali na alikua anajua in and out,yeye awe mkali hizo soga nyingine anazoleta mwisho wa siku wananchi hawatomuelewa
Huwezi kuwa raisi bila kufanya siasa. Mtu anayefanya siasa ni mwanasiasa, JPM alikuwa raisi, lolote linawezekana.Halafu Magufuli asijue kama wamechukuwa hela ktk central Bank ? Raisi yuko karibu na Gavana wa Benki anakuwa briefed kila kinachoendelea, asiambiwe kama shirika xyz limekopa ?
Nakujibu hivi,kwani ukikopa kwamba unaenda ku invest then unaileta kama gawio huku deni la shirika likiongezeka na Jiwe akijua umekopa kwa ajili ya biashara then atafanyaje?Na wewe unaamini huu uongo ? ,CEO wa shirika la umma akope zaidi ya 1 billion aliweka Nini huko Bank Kama dhamana, na Jiwe asijue ? Na Kama kweli walikopa while shirika linapata loss pesa ya kulipa ilitoka wapi
Ndio, inawezekana pia walikopa kwa maagizo yake kwa sababu za kisiasa.Siyo swala la kuabudu, ni logic ya kawaida tu, Central Bank hawafanyi kazi kienyeji kama ni kweli walikopa fedha kama hata hilo linawezekana sijui ni lazima raisi angejua!