Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah Rais wangu, hakuna shirika la serikali litakopa bila izini ya wizara ya fedha na mipango. Yaani sijui kwa nini wanamchomekea vitu vya kumdhalilisha.Records ziko wapi? Unaweza tu kukopa hela Central bank bila ya records zozote mahali na jinsi ya kuzirudisha? Na kama ni kweli kwamba walikuwa wanakopa ktk central Bank ili kumfurahisha Magufuli, je raisi Magufuli angeweza kutoligundua/kuambiwa hilo? I mean, huyo mtu sijui tu kwa kweli kwa maana dah!
Hajazalilishwa kuna jambo linarekebishwa. Unless mnataka lolote lisirekebishwe maana huwezi rekebisha bila kukosoa.Dah Rais wangu, hakuna shirika la serikali litakopa bila izini ya wizara ya fedha na mipango. Yaani sijui kwa nini wanamchomekea vitu vya kumdhalilisha.
Marehemu hawezi kwepa sababu serikali yake ndiyo ilipokea gawio linalosemekana kuwa si halisi lakini hajashambuliwa yeye kama binadamu ni mashirika ya uma yamekosolewa ili marekebisho yafanyike. Tatizo ni wafanya ibada wanaomuabudu wasiopendezwa na ukosoaji wa aina yoyote unaohusisha serikali yake.Sukuma gang.😆😆
Ukweli ni kwamba Jiwe alikuwa ni mzigo na ana roho ya uharibifu tuu.
Wapi kamtaja marehemu?
Si kweli. JPM alipokuwa anarekebisha makosa ya waliopita hakuzungumza? Kwann hamtaki makosa yaliyofanywa na serikali yake yasahihishwe? Yanasahihishwa vp bila kuyakosoa? Unless ilikuwa serikali tukufu sana isiyo na makosa.Kila siku tunamsunta na kumshushua mwendazake ili mradi tuwafurahishe wahisani wa ndani
Hivi shirika kama la MSD linaweza kwenda kukopa bank bila idhini ya wizara husika??? Hivi chuo kama UDSM kinaweza kwenda kukopa bank bila idhini ya wizara husika???? Na kumbuka hela zote zinaenda BOT.Hajazalilishwa kuna jambo linarekebishwa. Unless mnataka lolote lisirekebishwe maana huwezi rekebisha bila kukosoa.
Sawa kwani serikali kujua kuwa hilo shirika limekopa kunazuia nn shirika kutoa gawio lisilo halisi? Swali sahihi ni ni kweli mashirika yalikopa kipindi wanatoa gawio? Na makaratasi ya mkopo yalionyesha mkopo ni kwa ajili ya nn?Hivi shirika kama la MSD linaweza kwenda kukopa bank bila idhini ya wizara husika??? Hivi chuo kama UDSM kinaweza kwenda kukopa bank bila idhini ya wizara husika???? Na kumbuka hela zote zinaenda BOT.
Si kweli. JPM alipokuwa anarekebisha makosa ya waliopita hakuzungumza? Kwann hamtaki makosa yaliyofanywa na serikali yake yasahihishwe? Yanasahihishwa vp bila kuyakosoa? Unless ilikuwa serikali tukufu sana isiyo na makosa.
Sawa kwani serikali kujua kuwa hilo shirika limekopa kunazuia nn shirika kutoa gawio lisilo halisi? Swali sahihi ni ni kweli mashirika yalikopa kipindi wanatoa gawio? Na makaratasi ya mkopo yalionyesha mkopo ni kwa ajili ya nn?
Binafsi hujawahi kukopa pesa ya biashara ila ulipoipata ukagawa kidogo kwenye kurepair nyumba yako? Makaratasi yataonyesha mkopo wa biashara ila sehemu ya hiyo fedha utakuwa umerekebisha nyumba si ndio?
Ishu hapa ni kwamba yale magawio hayakuwa halisi, na yaliwezekana sababu shirika husika lilikopa. Hii haimaanishi kwamba sababu zilizowekwa kwenye makaratasi ya ukopaji ni gawio.
Hata Mwendazake alikuwa anajua kinacho endelea. Yalikuwaga maigizoMakosa yaendane na ushahidi,unakopa bilion 5 bila kugundulika!!? Haya tuseme wizara ilikua inatoa hiyo idhini je waziri wake wa fedha enzi JPM yupo cheo kipi kwa sasa na kwann kapanda juu zaidi badala ya kutumbuliwa kwa kuficha huo uozo?
Hata Mwendazake alikuwa anajua kinacho endelea. Yalikuwaga maigizo
Mkuu kwa uelewa wangu ni kwamba ma meneja walikopa wao binafsi ama sikuelewa mimi!Dah Rais wangu, hakuna shirika la serikali litakopa bila izini ya wizara ya fedha na mipango. Yaani sijui kwa nini wanamchomekea vitu vya kumdhalilisha.
Kabla ya utumbuaji lazima ufanye analysis.Makosa yaendane na ushahidi,unakopa bilion 5 bila kugundulika!!? Haya tuseme wizara ilikua inatoa hiyo idhini je waziri wake wa fedha enzi JPM yupo cheo kipi kwa sasa na kwann kapanda juu zaidi badala ya kutumbuliwa kwa kuficha huo uozo?
Alipokuwa makamo wa raisi alilijua hili, halafu hajamwambia bosi wake!?Records ziko wapi? Unaweza tu kukopa hela Central bank bila ya records zozote mahali na jinsi ya kuzirudisha? Na kama ni kweli kwamba walikuwa wanakopa ktk central Bank ili kumfurahisha Magufuli, je raisi Magufuli angeweza kutoligundua/kuambiwa hilo? I mean, huyo mtu sijui tu kwa kweli kwa maana dah!
Umejificha kwenye kichaka cha kushtukia unasahu kuwa shirika la uma linaweza kufanya kazi kwa maelekezo ya serikali kuu na pia shirika kukopa na kutoa gawio si tatizo.Mfano wako sio halisi. Mfano halisi ni huu una biashara umemuweka mtu akuuzie bidhaa zako kisha kila mwezi anakuletea hesabu za jumla na pesa tele. Huyo mtu aje akukope pesa kisha akulipe kama hesabu kamili za mwezi. Huku unamdai na bado anakulipa kama hesabu za biashara ya mwezi husika je hautamshtukia?