Rais Samia: Wakuu wa Mashirika walikuwa wanakopa fedha Benki ili walipe Gawio Serikalini kulinda vibarua vyao

Rais Samia: Wakuu wa Mashirika walikuwa wanakopa fedha Benki ili walipe Gawio Serikalini kulinda vibarua vyao

Inawezekanaje shirika la umma likope pesa ndefu kiasi kile harafu serikali kuu isijue!!!

Mmhh! jamani more than billion ikopwe na shirika serikali isijue ina maana wakati huo gavana alikuwa hatoe taarifa kwa raisi kuhusu hali ya mikopo ilivyo?

Yawezekana sarakasi zilikuwepo nyingi wakati huo lakini hii mbona kama inagoma kuwa sarakasi!
 
Na wewe unaamini huu uongo ? ,CEO wa shirika la umma akope zaidi ya 1 billion aliweka Nini huko Bank Kama dhamana, na Jiwe asijue ? Na Kama kweli walikopa while shirika linapata loss pesa ya kulipa ilitoka wapi
Kwann unataka kulazimisha kuwa JPM hakujua? inawezekana JPM ndo alihadaa kwa manufaa ya kisiasa.
 
Ni hii ina ukweli kwa sehemu kubwa kwa sababu yule alikuwa mpenda sifa..

Amepora pesa kwenye mashirika eti yanaleta gawio from where?
Yale magawio hata wakati ule yalikuwa na walakini. Hata Samia asingesema leo mtu mwenye uelewa aliona kabisa kuna kitu mashirika yanafanya kufanikisha hili gawio na si faida.
 
Records ziko wapi? Unaweza tu kukopa hela Central bank bila ya records zozote mahali na jinsi ya kuzirudisha? Na kama ni kweli kwamba walikuwa wanakopa ktk central Bank ili kumfurahisha Magufuli, je raisi Magufuli angeweza kutoligundua/kuambiwa hilo? I mean, huyo mtu sijui tu kwa kweli kwa maana dah!
Unauliza sasa..!!. "ATCL" ilikuwa inapost faida wakati mkaguzi anaonyesha hasara...
Mambo yalikuwa mengi mkuu..
 
Inawezekanaje shirika la umma likope pesa ndefu kiasi kile harafu serikali kuu isijue!!!

Mmhh! jamani more than billion ikopwe na shirika serikali isijue ina maana wakati huo gavana alikuwa hatoe taarifa kwa raisi kuhusu hali ya mikopo ilivyo?

Yawezekana sarakasi zilikuwepo nyingi wakati huo lakini hii mbona kama inagoma kuwa sarakasi!
Narudia kukwambia sio kila mtu ni mjinga kama wewe..

1.Linaweza Kukopa na mamlaka ikajua na kigezo kikawa ni kufanya uwekezaji na pesa ikaja kulipwa kama gawio..

2.Kuna bonds za central banks wanafanya biashara na Serikali,shirika linaweza kopo hizo na ikarudisha Serikalini kama gawio..

3.Linaweza kufanya maigizo Ili kumfurahisha Jiwe tena kwa maelekezo yake Ili kuficha Hali mbaya ya uchumi..

Kama mlitunga sheria za kuzuia watu ku challenge Takwimu za serikali Kwa nini hayo yasiwezekane?

Mbona mlikuwa mnakopa matilioni huku mkisema mnajenga kwa pesa zenu za ndani?
 
Inawezekanaje shirika la umma likope pesa ndefu kiasi kile harafu serikali kuu isijue!!!

Mmhh! jamani more than billion ikopwe na shirika serikali isijue ina maana wakati huo gavana alikuwa hatoe taarifa kwa raisi kuhusu hali ya mikopo ilivyo?

Yawezekana sarakasi zilikuwepo nyingi wakati huo lakini hii mbona kama inagoma kuwa sarakasi!
Mbona hili ni raisi sana. Si unakopa kwa uwekezaji halafu unakuja kutoa kama gawio. Makaratasi yanaonyesha umefanya uwekezaji ila wewe unatoa gawio. Ukitaka kujua kua kuna something wrong tafuta mashirika sample yaliyotoa gawio halafu angalia trend ya ratios from 2015-2020 ukilinganisha na 2010-2015 halafu upime ni nn kimesababisha uwezekano wa kutoa gawio Utagundua kitu.

Serikali yenyewe itaangalia political benefit huko mbeleni likibuma inaweza toa ruzuku au ikawa aggresive na kuntumbua mkurugenzi. Hiyo ni Siasa.
 
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma hayafanyi vizuri na kuna baadhi ya Viongozi wao walikuwa wanakopa fedha Benki ilu walipe Gawio serikalini kulinda vibarua vyao

Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yote yataangaliwa upya

Source ITV

======

“Najua miaka iliyopita kuna kipindi maalumu ilikuwa ni lazima mashirika yatoe dividends (gawio) na kwa sababu yalikuwa haya- perform wengi wenu mlikuwa mnaingia mabenki huko mkakopa, mkaingia wapi huko... mkakopa ilimradi unalinda kibarua chako,”

“Unapeleka check tarehe fulani... check hii hapa shirika limechangia lakini kumbe uzalishaji ni zero, kwa hiyo muende mkasimamie mashirika yazalishe,”
View attachment 2311657
CEO wengi Tanzania walifilisi kampuni za serikali kwa kuwa hawakuwa na weledi wa biashara wengi wako walikuwa appointed kwa kujuana. Hivyo JPM aliwapa changamoto sana.
 
ikisemwa kuwa Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu nayo ilitoa gawio wakati kuna wanafunzi kibao walikuwa wamekosa mikopo hii nayo inakuwa Mwendazake kasingiziwa ?


ina maana hujui kuwa ilitangazwa hadharan kuwa Taasisi ambayo haitotowa gawio imemariwa Management ya Taasisi husika ikifika tarehe hiyo wasiende Ofisini?
Asiyekuwepo atasingiziwa kila kinachoonekana ni ahueni kwa waliopo.
 
Inamaana hawastahili kutoa gawio kwa SERIKALI?
huu utaratibu wa gawio umeanzishwa lini na kwa Nini waliuanzisha wakijua they won't make it kufanya return?
Gawio ni kama umepata faida
 
This is very serious allegation kwa kweli.

Anyway, hili nalo mkaliangalie huko.
Ni ukweli.
TTCL waliwahi peleka 100bil kama Gawio...
Afu hao hao TTCL wakaomba serikali iwape Tril 1 ili wajenge minara zaidi ya 1000 na miundombinu mingine ya simu
 
Records ziko wapi? Unaweza tu kukopa hela Central bank bila ya records zozote mahali na jinsi ya kuzirudisha? Na kama ni kweli kwamba walikuwa wanakopa ktk central Bank ili kumfurahisha Magufuli, je raisi Magufuli angeweza kutoligundua/kuambiwa hilo? I mean, huyo mtu sijui tu kwa kweli kwa maana dah!
Yule jamaa alikuwa muoga, muongo, katiri hivyo alikuwa hapewi taarifa sahihi
 
Kwani TTCL ni lini imepata faida na mbona ilikuwa inatoa gawio kwa mabilioni ya shilingi?

Hujaambiwa ni mashirika yote ndiyo yalikuwa yanafanya hivyo.

Mimi nilikuwa nikifanya kazi shirika fulani na kipindi hicho tuliambiwa tupeleke kiasi fulani, baadae tuliambiwa tuongeze hicho kiwango.
Mlitaka mfanye biashara bila faida
 
kwamba kwa sasa rais unatakiwa kila shirika lifanye kazi kwa faida na litowe gawio bila kukopa bank.

'kwa hiyo muende mkasimamie mashirika yazalishe,”
sauti isiyo kuwa na mammlaka.
 
Unakopa 5 bilioni unatoa gawio, mwakani unakopa tena 6 bilioni unalipa gawio ....
Ili kuonesha shirika linafanya vizuri mwaka unaofuata unaofuata unakopa tena 7 unatoa gawio [emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Mkuu wajinga viongozi wa Mashirika au Maguful, Magufuli yeye alikuwa anataka gawio tu maana kawapa mitaji wa kurugenzi wa mishirika
 
Halafu zinalipwaje? Report za CAG hazikuona hilo? Tena Assad!!
Mkuu, mpaka kufikia hii posti yako, hakuna aliyekumbuka kuhusu CAG.

Hakuna sehemu tumesikia CAG kasema mashirika yalikopa ili kutoa gawio kwa serikali.

Mchechu, alilitia shirika hasara kwa kukopa na kujenga majengo yasiyonunulika, nyumba ya bei rahisi unasema unauza sh 170m? Dau na kina Zito, wamegawana NSSF na kutumia ovyo pesa hizo, shirika likawa hoi!

Tanesco, Makamba kaingia tu, wamesaini na kampuni ya kihindi kuweka mifumo ya kununua luku kwa $30m, sijui nani anajua kama imeshafanya kazi au ndo tushapigwa.

Jana wamesema watanunua 1.7MW za Pongwe kwa bilioni 7, ambapo ukilinganisha bwawa la Nyerere, ni sawa na kusema gharama za Makamba ni mara mbili zaidi kwa kila anachoibua sasa!

Mwisho, Tanesco walikuwa wanawalipa Symbion, IPTL, Aggreko, Songas, ALTMAS n.k kuzalisha umeme, hawa wote isipokuwa Songas, waliondolewa. IPP ilikuwa inachukua karibu 80% ya mapato ya shirika hili, sasa kama wameondolea hao, hii pesa ilibaki wapi? Hawawezi kutoa gawio hawa?

ATLC, ndege zimenunuliwa kwa pesa ya serikali, kirusi kilisababisha kusiwe na route za hapa na pale, na hii ni kwa dunia nzima. Leo ndege zinatumiwa vibaya mno, kuanzia mama mipasho mwenyewe mpaka mkata majani, na zimeanza hata kuchakaa. Vision yake ndo tunafaidi sasa, kwanini washindwe ilihali ndege zinaruka kila siku?

Mifuko ya jamii, inachukua fedha za watumishi, wanawekeza, hawawapi watumishi dividends, faida ya uwekezaji huo inaenda wapi?

TAWA, hawatumii gharama kuzalisha wanyama na wakati mwingine hata kuwalinda wao na mazingira yao, ila wanagawa vitalu vya uwindaji na kuuza uza tu mbuga, hii faida ni nani anachukua?

Hakuna huduma usiyolipia pale Immigration, ukisema uzalishaji zero unamaanisha nini?


Mambo ni mengi kweli kweli ila ndo lazima alipie gharama za kuwekwa kitini!
 
Back
Top Bottom