Rais Samia: Walioathirika na mafuriko Hanang ni Waathirika sio Wahanga

Rais Samia: Walioathirika na mafuriko Hanang ni Waathirika sio Wahanga

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Lugha adhimu ya Kiswahili, Rais Samia Suluhu Hassan akielezea tofauti ya Waathirika na Wahanga kwa kilichotokea Wilayani Hanang Mkoani Manyara.

Amesema hayo baada ya watu wengi kutumia neno “Wahanga” wa mafuriko badala ya “Waathirika”.
 
Hili neno limenipa ukakasi sana, waandishi habari wengi Kiswahili kinawapita kushoto. Asante Mhe. Rais kwa ufafanuzi
 
..Kwa tafsiri hiyohiyo ya Raisi Hanang kuna waathirika na wahanga.
 
Back
Top Bottom