Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Samia Suluhu Hassani kwa namna moja au nyingine ana jubilate kifo cha Dokta John Pombe Magufuli au siyo ?
 

Tanzania ina population ya watu zaidi ya m60. Ukisema ufuatilie maoni ya watu mitandaoni wanaomchukia hawafiki hata 1000 wanaomsema vibaya, sawa na idadi ya mtaa/kitongoji.

Samahani kukukwaza kuusu gwajima n.k.
 
Mama nilimpenda sana sana, lakini kanigusa direct na tozo, petroli kupanda miezi michache tu baada ya jiwe kufa, mafuta ya kula nk. Nawaza mpaka 2025 si tutakufa watz!!! Vitu vinapanda hatari.
 
upinzani wangekuwa makini hii ni fursa nzuri sana kwao kwani ccm kundi kubwa hawamtaki yuko hapo kwa matakwa ya kikatiba na jaribio loote la kuzuia wagombea wengine hili yeye agombee litaleta mpasuko mkubwa, hizi nafasi huja kwa nadra sana
 

10 tenaaaa
 
Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Unaielewa katiba yako kweli wewe au na bwabwaja tu mitandaoni,katika inamruhusu chief Hangaya kuingiza kwa miaka mitano baada ya kumalizia huu mhula.All the best chief Hangaya
 
Marais wa huko dunia ya Kwanza wanakufa wakiwa madarakani sembuse huku nchi za maskini?
 
Mama nilimpenda sana sana, lakini kanigusa direct na tozo, petroli kupanda miezi michache tu baada ya jiwe kufa, mafuta ya kula nk. Nawaza mpaka 2025 si tutakufa watz!!! Vitu vinapanda hatari.

Kwenye swala la tozo limetugusa wengi mkuu,, lakini naimani nae uyu mama ipo cku ataliweka sawa,,, na uzuli pesa zinazokusanywa za tozo zinawekwa wazi na zinaenda kwenye miradi. Kuusu kupanda bei zsa mafuta navojua mimi mkuu ni duniani kote na co Tanzania tu. Unazani nani anapenda vitu/bidhaa zipande bei!!! Hali ngumu sana,, na corona ndiyo imesababisha vitu kupanda bei, moja wapo mafuta.
 
Watajitokeza wengi kutangaza nia, sasa sijui wataitwa na kamati kuhojiwa kwa kutangaza kabla ya muda? Hii italeta mkanganyiko
 
Mama kaamua kupima oil.

Si tulikubaliana rais ni mwezi wa kwanza imekuwaje tena?
 
Miezi sita tu ameshaanza kutamani kusalia madarakani, uraisi raha jameni.

Kwani kipindi cha kampeni tayari?
 
Kumbe jpm was kudra?? So it's possible and confirmed?? Saw bhana..
Amejichanganya sana kuongea hadharani kauli hiyo ambayo ndio itachochea zaidi inda dhidi yake......kwa sasa watamchimba sana na kumtaka aeleze kwanini wakati mtangulizi wake yuko mahututi anaumwa yeye alianza ziara mikoani? Kwanini hakurejea haraka Dar kuthibitisha taarifa za kifo alichopewa usiku ndio atangaze?

"Carrot or Stick leadership style won't help anything in the forthcoming political battle-field
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…