Hata Albashiri na Hitra walikuwa wanakubalika na jeshi wew KibweteleWe mpuuzi na msukule wa dikteta mwendazake
Samia anagombea urais 2025 na hamna kenge wowote wakumzuia,
Kwanza anawajali wananchi, na anakubarika na jeshi la Ulinzi kwaiyo hakuna mbuni wakumzuia Samia asigombee, kwaiyo take it from unknown source
Hakuna mbuzi wakumzuia Samia asigombee mwaka 2025,Samia yupo Hadi 2035
Unaitengeneza hoja ili ufurahishe tu nafsi yako......Raia wa mwisho kuwa Rais wa Tanganyika kutoka Zanzibar alikuwa ndugu Ally Hassan Mwinyi. Baada ya hapo CCM wakaweka kizuizi kwa raia yeyote kutoka Zanzibar asigombee urais na badala yake Zanzibar ikatakiwa iwe inatoa mgombea wa Makamu wa Rais tuu kwa kila Chama Cha siasa hapa nchini.
Imefanyika hivyo Mkapa akiwa mgombea, Kikwete akiwa Mgombea na hata Magufuli akiwa Mgombea Zanzibar kazi yao ni kutoa wagombea wenza tuu. Kwa maana nyingine ni kuwa ili Mzanzibari awe Rais wa Tanganyika itabidi asubirie kudra za mwenyezi Mungu Rais wa Tanganyika akifa.
Ni kwa nini CCM hawataki Rais wa Tanganyika atoke Zanzibar wakati KATIBA inasema sifa ya mtu kuwa Rais ni awe raia wa kuzaliwa wa Tanzania? Hapo ndipo wenye Akili tunapo eleza utata wa Muungano huu feki japo CCM haitaki kueleza wazi kuwa raia wa Zanzibar anakosa sifa ya kuwa Rais wa Tanganyika ila wakaficha maradhi hayo kwa muda mrefu. Waswahili wana msemo kuwa mficha maradhi kifo kitamuumbua na kifo kimewambua kweriii kweriii.
Wiki iliyopita niliandika mada ngumu hapa kuhusu WAZANZIBARI. Nikasema kwa maoni yangu naona wanzanzibari sio Watanzania mada ikafutwa wenye Akili wakanielewa kwa vigezo hivi nilivyo eleza.
Nikaeleza kuwa Zanzibar ilikubali kuungana na Tanganyika ili waunde taifa moja la Tanzania. Lakini Zanzibar ikagoma kuua taifa lao huku Tanganyika ikafa na kuunda Tanzania taifa jipya. Hivyo Tanzania imezaliwa baada kifo Cha kikatili Cha Tanganyika na sio Muungano wa nchi mbili.
Lakini pia nikaeleza kuwa Zanzibar ni nchi huru, yenye mipaka yake, Serikali, Bunge, Mahakama na pia KATIBA na wimbo wa taifa. Zanzibar sio sehemu ya Tanzania Kama CCM wanavyotaka kutuhadaa kutuona wananchi ni mazuzu tusio jitambua. Sehemu yeyote iliyopo Tanzania haiwezi ikawa na Rais, Serikali yake,Bunge Mahakama, KATIBA, wimbo wa taifa lake na Bendera ya taifa.
Ni mwenda wazimu tuu anaweza kuamini kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Ikiwa Bukoba, Iringa, Mbeya, Tanga hizi ni sehemu za Tanzania na hazina Rais wao, Serikari, Bunge, Mahakama, Bendera ya taifa wala wimbo wa taifa basi utakuwa ni ubashite wa hali ya juu kusema Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.Hakuna taifa hapa Duniani ni sehemu ya taifa jingine. Sijui mwanipata uzuri ninyi wadanganyika?
Ukweli mchungu ni kuwa WAZANZIBARI sio Watanzania wanalazimishwa tuu kwa malengo mficho. Msema kweli mpenzi wa Mungu na ni lazima tuambiazane ukweriiii.Huu sio wakati wakupakana mafuta kwa mgongo wa chupa. Samia aambiwe ukweli hana sifa za kuwa Rais wa Jamhuri ya Tanganyika. Akagombee kwao Zanzibar Kama anataka urais.
CCM wanayo kazi moja tuu Mbele kuifanya Zanzibar ikawa ni Jimbo au Mkoa wa Tanzania au kuirudisha Tanganyika zikaundwa Serikali tatu. Hatuwezi kuacha kulidai taifa letu la Tanganyika kwa sababu zozote zisizo na mashiko. Tutaendelea kulidai taifa letu la Tanganyika tena kwa wivu mkubwa.
Back Tanganyika.
Hitra ndio nani?!!!Hata Hitra alikuwa na washirika lakini mwisho wa siku wakafurushwa. Hakuna anaye wazuia kuwa naye mama yenu kwenu Omani au popote ila huku Tanganyika hapana hatutawaliwi na taifa jingine kamwe.
Kwanini hakugombea urais 1995, 2000, 2005, 2010 au 2015 huyo mama yako wew Kibwetele? Acha kutumia Makalio kufikir wewUnaitengeneza hoja ili ufurahishe tu nafsi yako......
Ingekuwa Zanzibar si sehemu ya Tanzania basi muda huu hatuna Rais wa JMT mpaka hapo tutakapompata kutoka huku bara....
UPUMBAVU KWELI NI UGONJWA USIO NA TIBA
Siempre JMT
Tanganyika iliuawa na hayati JKN kwa hoja kuntu.....Dah, maneno yako yamenifanya nimkumbuke MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA.
R.I.P Mtanganyika halisi.
Huyu cku hiz ameshazeeka kimwl na kiakil pia
Kwanini ulazimishe kuwa angegombea 2015?!!!Kwanini hakugombea urais 2020 au 2015 unayo mama yako wew Kibwetele? Acha kutumia Makalio kufikir wew
Hayo maagano yenu ya vihiyo hayatuhusu sisi kizazi huru kinacho jitambua.Ndio maana tunajenga hoja hatutumii nguvu huu sio wakati funika kombe mwanaharamu apite. Tunaambizana ukweriiiii japo ukweli unauma. Kama Mtanganyika hawezi kugombea urais nchi ya Zanzibar ndivyo hivyo Mzanzibari hana sifa kugombea urais nchi ya Tanganyika.Kwanini ulazimishe kuwa angegombea 2015?!!!
Kibwetere ni wewe usiyejitambua unayebweka kwa KIFICHO na kuwa na ID feki.......
Maagano ni kuwa anayeitaka Tanganyika awakumbuke wale G55......
#Siempre Serikali Mbili za JMT
Misimamo yako haiwawakilishi watanzania....si kisheria si kiutaratibu Wala mila.....Hayo maagano yenu ya vihiyo hayatuhusu sisi kizazi huru kinacho jitambua.Ndio maana tunajenga hoja hatutumii nguvu huu sio wakati funika kombe mwanaharamu apite. Tunaambizana ukweriiiii japo ukweli unauma. Kama Mtanganyika hawezi kugombea urais nchi ya Zanzibar ndivyo hivyo Mzanzibari hana sifa kugombea urais nchi ya Tanganyika.
Mimi hata asipogombea naenda kumpigia Samiah Suluhu Hassan kura, na atashinda kwa ushindi mnono.Raia wa mwisho kuwa Rais wa Tanganyika kutoka Zanzibar alikuwa ndugu Ally Hassan Mwinyi. Baada ya hapo CCM wakaweka kizuizi kwa raia yeyote kutoka Zanzibar asigombee urais na badala yake Zanzibar ikatakiwa iwe inatoa mgombea wa Makamu wa Rais tuu kwa kila Chama Cha siasa hapa nchini.
Imefanyika hivyo Mkapa akiwa mgombea, Kikwete akiwa Mgombea na hata Magufuli akiwa Mgombea Zanzibar kazi yao ni kutoa wagombea wenza tuu. Kwa maana nyingine ni kuwa ili Mzanzibari awe Rais wa Tanganyika itabidi asubirie kudra za mwenyezi Mungu Rais wa Tanganyika akifa.
Ni kwa nini CCM hawataki Rais wa Tanganyika atoke Zanzibar wakati KATIBA inasema sifa ya mtu kuwa Rais ni awe raia wa kuzaliwa wa Tanzania? Hapo ndipo wenye Akili tunapo eleza utata wa Muungano huu feki japo CCM haitaki kueleza wazi kuwa raia wa Zanzibar anakosa sifa ya kuwa Rais wa Tanganyika ila wakaficha maradhi hayo kwa muda mrefu. Waswahili wana msemo kuwa mficha maradhi kifo kitamuumbua na kifo kimewambua kweriii kweriii.
Wiki iliyopita niliandika mada ngumu hapa kuhusu WAZANZIBARI. Nikasema kwa maoni yangu naona wanzanzibari sio Watanzania mada ikafutwa wenye Akili wakanielewa kwa vigezo hivi nilivyo eleza.
Nikaeleza kuwa Zanzibar ilikubali kuungana na Tanganyika ili waunde taifa moja la Tanzania. Lakini Zanzibar ikagoma kuua taifa lao huku Tanganyika ikafa na kuunda Tanzania taifa jipya. Hivyo Tanzania imezaliwa baada kifo Cha kikatili Cha Tanganyika na sio Muungano wa nchi mbili.
Lakini pia nikaeleza kuwa Zanzibar ni nchi huru, yenye mipaka yake, Serikali, Bunge, Mahakama na pia KATIBA na wimbo wa taifa. Zanzibar sio sehemu ya Tanzania Kama CCM wanavyotaka kutuhadaa kutuona wananchi ni mazuzu tusio jitambua. Sehemu yeyote iliyopo Tanzania haiwezi ikawa na Rais, Serikali yake,Bunge Mahakama, KATIBA, wimbo wa taifa lake na Bendera ya taifa.
Ni mwenda wazimu tuu anaweza kuamini kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Ikiwa Bukoba, Iringa, Mbeya, Tanga hizi ni sehemu za Tanzania na hazina Rais wao, Serikari, Bunge, Mahakama, Bendera ya taifa wala wimbo wa taifa basi utakuwa ni ubashite wa hali ya juu kusema Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.Hakuna taifa hapa Duniani ni sehemu ya taifa jingine. Sijui mwanipata uzuri ninyi wadanganyika?
Ukweli mchungu ni kuwa WAZANZIBARI sio Watanzania wanalazimishwa tuu kwa malengo mficho. Msema kweli mpenzi wa Mungu na ni lazima tuambiazane ukweriiii.Huu sio wakati wakupakana mafuta kwa mgongo wa chupa. Samia aambiwe ukweli hana sifa za kuwa Rais wa Jamhuri ya Tanganyika. Akagombee kwao Zanzibar Kama anataka urais.
CCM wanayo kazi moja tuu Mbele kuifanya Zanzibar ikawa ni Jimbo au Mkoa wa Tanzania au kuirudisha Tanganyika zikaundwa Serikali tatu. Hatuwezi kuacha kulidai taifa letu la Tanganyika kwa sababu zozote zisizo na mashiko. Tutaendelea kulidai taifa letu la Tanganyika tena kwa wivu mkubwa.
Back Tanganyika.
Mzanzibari anatawala Tanganyika. Mtanganyika harihusiwi kutawala Zanzibar katika ngazi ya uraisi!
Hakuna mwana CCM wenye Akili anakubali Samia kuwa Rais wa Tanganyika. Waliwakataa toka Mwinyi alipo maliza muda wake. Wapo wanafiki wengine wanajifanya kumpigania sio kwa Lengo la taifa Bali kulinda vyeo na maslahi yao binafsi. Sisi tusio na maslahi binafsi lazima tuwachane ukweriiiii kuwa Samia hana sifa. Tuna lipenda taifa letu na lazima tulionee wivu pale linapo chezewa na wajinga wachache.Sio ngazi ya Urais!..Chochote kile kinachohusiana na Zanzibar.Hata ajira SMZ watu wabara huwakuti.Samia kamteua Mzanzibari kuwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa!.Haiwezi kutokea asilani Mtu wa Bara akawa Mkuu wa Wilaya ya Ndani ya Unguja au Pemba!.
Tanganyika tunalazimisha sana huu Muungano,na unatuumiza mno!.
Nikiona Jinsi Wazanzibar wanavyotuchukia kutoka moyoni na Leo Nchi yetu inaongozwa na Mzanzibar naona kama Tumepigwa nje ndani,***** walah.
Raia wa mwisho kuwa Rais wa Tanganyika kutoka Zanzibar alikuwa ndugu Ally Hassan Mwinyi. Baada ya hapo CCM wakaweka kizuizi kwa raia yeyote kutoka Zanzibar asigombee urais na badala yake Zanzibar ikatakiwa iwe inatoa mgombea wa Makamu wa Rais tuu kwa kila Chama Cha siasa hapa nchini.
Imefanyika hivyo Mkapa akiwa mgombea, Kikwete akiwa Mgombea na hata Magufuli akiwa Mgombea Zanzibar kazi yao ni kutoa wagombea wenza tuu. Kwa maana nyingine ni kuwa ili Mzanzibari awe Rais wa Tanganyika itabidi asubirie kudra za mwenyezi Mungu Rais wa Tanganyika akifa.
Ni kwa nini CCM hawataki Rais wa Tanganyika atoke Zanzibar wakati KATIBA inasema sifa ya mtu kuwa Rais ni awe raia wa kuzaliwa wa Tanzania? Hapo ndipo wenye Akili tunapo eleza utata wa Muungano huu feki japo CCM haitaki kueleza wazi kuwa raia wa Zanzibar anakosa sifa ya kuwa Rais wa Tanganyika ila wakaficha maradhi hayo kwa muda mrefu. Waswahili wana msemo kuwa mficha maradhi kifo kitamuumbua na kifo kimewambua kweriii kweriii.
Wiki iliyopita niliandika mada ngumu hapa kuhusu WAZANZIBARI. Nikasema kwa maoni yangu naona wanzanzibari sio Watanzania mada ikafutwa wenye Akili wakanielewa kwa vigezo hivi nilivyo eleza.
Nikaeleza kuwa Zanzibar ilikubali kuungana na Tanganyika ili waunde taifa moja la Tanzania. Lakini Zanzibar ikagoma kuua taifa lao huku Tanganyika ikafa na kuunda Tanzania taifa jipya. Hivyo Tanzania imezaliwa baada kifo Cha kikatili Cha Tanganyika na sio Muungano wa nchi mbili.
Lakini pia nikaeleza kuwa Zanzibar ni nchi huru, yenye mipaka yake, Serikali, Bunge, Mahakama na pia KATIBA na wimbo wa taifa. Zanzibar sio sehemu ya Tanzania Kama CCM wanavyotaka kutuhadaa kutuona wananchi ni mazuzu tusio jitambua. Sehemu yeyote iliyopo Tanzania haiwezi ikawa na Rais, Serikali yake,Bunge Mahakama, KATIBA, wimbo wa taifa lake na Bendera ya taifa.
Ni mwenda wazimu tuu anaweza kuamini kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Ikiwa Bukoba, Iringa, Mbeya, Tanga hizi ni sehemu za Tanzania na hazina Rais wao, Serikari, Bunge, Mahakama, Bendera ya taifa wala wimbo wa taifa basi utakuwa ni ubashite wa hali ya juu kusema Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.Hakuna taifa hapa Duniani ni sehemu ya taifa jingine. Sijui mwanipata uzuri ninyi wadanganyika?
Ukweli mchungu ni kuwa WAZANZIBARI sio Watanzania wanalazimishwa tuu kwa malengo mficho. Msema kweli mpenzi wa Mungu na ni lazima tuambiazane ukweriiii.Huu sio wakati wakupakana mafuta kwa mgongo wa chupa. Samia aambiwe ukweli hana sifa za kuwa Rais wa Jamhuri ya Tanganyika. Akagombee kwao Zanzibar Kama anataka urais.
CCM wanayo kazi moja tuu Mbele kuifanya Zanzibar ikawa ni Jimbo au Mkoa wa Tanzania au kuirudisha Tanganyika zikaundwa Serikali tatu. Hatuwezi kuacha kulidai taifa letu la Tanganyika kwa sababu zozote zisizo na mashiko. Tutaendelea kulidai taifa letu la Tanganyika tena kwa wivu mkubwa.
Back Tanganyika.
Hakuna kitu kama hicho, fungua akili na ufahamu wako...Mgeni tena ndugu kwani tunakiongozi kutoa Kenya au Uganda ondoa Uzanzibari na utanganyika sote ni watanzania.
Wao wameondoa zamani kimya kimya. Eneo la Darajani na Michenzani lilikuwa limejaa wamachinga lakini waliondolewa na sasa kuko shuwari kabisaWazee hivi na Zanzibar hii operation ya kuondoa machinga barabarani ipo? Au ni bara tu