Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Wananchi wanataka rais wa kupigania maslahi ya umma sio mtu anatuletea habari ya rais mwanamke. Awe mwanamke au mwanaume umma hawana haja na rais wa kutetea maslahi ya mabwanyenye. Wanataka mtu muadilifu na shupavu. Asiye muoga au kutishika. Sio mtu unagombea urais ili eti kwenda waonesha wanawake kwamba na wao wamekua rais.
 
Nani aachie URais kizembe zembe? Safi Sana mama umewapasha live
 
Ndiyo maana kagoma kutoa katiba, madaraka ni matamu usisubutu kuyaonja unaweza kufia ofisini.
 
UNAFIKI ni kitu kibaya sana si alipiga marufuku watu kutangaza kuhusu kugombea 2025? 😳
 
Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Katiba ipi na kifungu kipi?!!..Yeye alikua Makumu wa Raisi/amekuja kuwa Raisi Kwa Mujibu wa Katiba!!..2025 anagombea rasmi!!.. anaweza kuongoza for 14 Years kama akipenda na chama kikiona inapendeza!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…