Wasalaam
Ndugu wanajamii mmesikia huko (wanawake wanaweza)..
Kwa ufahamu wangu na Mungu akitujalia Kwa haya ninayoona hakika 2025 ni Mama Samia
CCM oyeee,Mama oyeee sasa Kazi iliyobaki ni kuweka uwanja Sawa wa kidemocrasia..
Kwa haya ninayoona Kwa Kazi hizi Kwa muda huu mfupi kwakweli nitakua waajabu kama nisiposema
Samia 2025 twende
Nani kama mama hivi kuna linaloshindikana Kwa Mama, nimefurahi kwenye siku hii muhimu kuonyesha mwelekeo wako Mama Samia!!
Hongera Kwa uteuzi wa Mawaziri hawa wapya, tunasubiria wakuu wa mikoa na wilaya pia wakuu wa Idara Mbali mbali za serikali wabadilishwe,hawaendi na maelekezo na dira yako Mama!!