Mtemi Hangaya mbona hana hata mwaka mmoja ofisini anatangaza nia?Katiba inamruhusu kutembea mihula miwili ya kwake kwahiyo ata 2030 chifu anaweza akatangaza pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtemi Hangaya mbona hana hata mwaka mmoja ofisini anatangaza nia?Katiba inamruhusu kutembea mihula miwili ya kwake kwahiyo ata 2030 chifu anaweza akatangaza pia
Wanawake wenzio wengi wanamkubali, wewe unakwama wapi dada!!!! Unataka uongozwe na rais katili?
Ukweli usemwe,,, Huyu mama imani yake pia imechangia kuwa na huruma, hofu ya Mungu, dhuluma hapendi, rais wa wanyonge/masikini na tajiri wote anawatakia mazuri.
Binadamu hamkosagi maneno,,, akifanya mabaya mutamponda, akifanya mazuli mutatafuta lolote lile baya ili tu aonekane mbaya.
1 Mwinyi[emoji818]
2 Kikwete[emoji818] japo aliwaachilia sana walaji, but maisha yalikuwa poa mazee
3 Mama samia[emoji818]
Nyerere[emoji777]
Mkapa [emoji777]
Magu[emoji777]
Kaongea na nani haya masuala? Kwani mzanzibari bado ataendelea kuongoza bara? Zanzibar watakubali mbara akienda kuongoza kwao?Rais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana
Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.
Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.
Alisema Rais Samia Suluhu
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.
Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.
kushinda kwake kunategemea upinzani wataweka mgombea gani
Rais Samia 2025 atapita bila kupingwa maana hata wana bavicha wanamkubali sana baada ya kuonewa sana kwa miaka 5
Alishinda kwa zaidi ya 80%Jiwe na ukatili wake na ubabe wake Ila jasho lilimtoka 2020.
Huyu bibi hangaya Hadi kufika hiyo 2025 atakuwa kishasusa
Mkuu kuwa makini utapata sonona bure kwa kumchukia Rais wakoAnawadharau sana wanaume huyu Hangaya
Sijaisoma katiba. Inatoa mamlaka ya mzanzibari kusimama bara agombee uraisi? Inaelekea mama anataka awe raisi wa bara. Hebu tuwekee kifungu kinachodadavua hili suala.Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Sema anaendeleza UraisKwahiyo anataka uraisi?
[emoji1787] Bado Makonda2025 rais Ni Gwajima,makamu wake Ni Polepole,Waziri mkuu Musiba.
No,Sijaisoma katiba. Inatoa mamlaka ya mzanzibari kusimama bara agombee uraisi? Inaelekea mama anataka awe raisi wa bara. Hebu tuwekee kifungu kinachodadavua hili suala.
Kama kauli hii kaitoa rais SSH tayari ameshapoteza mwelekeo hakuna atakayemchagua Mbeya, Mwanza, Arusha na Dar Es SalaamRais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana
Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.
Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.
Alisema Rais Samia Suluhu
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.
Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.
Nilichokiandika ndio matarajio ya watanzania kwahiyo sifuti wala sibadili kauli yanguSema una Imani naye, stop sweeping statements
Kwani anachapa kazi? Mi naona anachanja mbuga tu, anatengeneza filamu ya utalii na mipasho mingi tu!!!Mama chapa kazi watanzania tuna imani na wewe
Itakuwa ni hao hapo juu wamejipangia na vyeo kabisa [emoji23]Hivi gazeti la Uhuru walitoa wapi zile NONDO kuwa kasema hana mpango wa kuwania urais 2025?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
kwaiyo mwinyi alikua ni Rais wa morocco au?Sijaisoma katiba. Inatoa mamlaka ya mzanzibari kusimama bara agombee uraisi? Inaelekea mama anataka awe raisi wa bara. Hebu tuwekee kifungu kinachodadavua hili suala.