Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye mwenyewe alikaa miaka 23.Msidanganyike Ikulu ni Paradiso ya duniani. Imagine kuwa number moja wa nchi."Ikulu siyo pakukimbilia, ni mzigo mzito" J. K. Nyerere
Atamaliza miaka 4 akiwa kiongozi bila kuchaguliwa 2025,2030 atakua ana miaka mitano ya kuchaguliwa,2035 atakua ana 10 ya kuchaguliwa kwahiyo ukijumlisha yote ni 14 wakati mwengine soma katiba yetu na uielewe usije huku kama umekatwa kichwa!!ww ndugu hakuna 14 years usiongee usivyovijuaa ..katiba inasema atagombea awamu 3 endapo JPM angekuwa kaongoza nchi more than 3 years ...huyu mama kachukua nchi hata mwaka bado kwahyo atakuwa na vipindi 2 tu vyakuongoza nchi hii jumla miaka 9 na usheee
Katoa tahadhari mapema ili wale wanaojipanga waanze kutafuta shughuli za kufanya.its too early for to start comitting herself to 2025/2030.
anayo mengi ya kuyafanya kwanza..kabla ya kuanza kutupa mlengo wake wa miaka ijayo katika siasa.
Hapana...Umekosea kabisa.
Chaguo ni Ndalichako.
Ze ze ze book!
Katiba ipi?!!.. wakati Raisi lazima achaguliwe tena kwenye uchaguzi mkuu!!..Huyu atachukua 14 Years kutengeneza historiaKwa mujibu wa katiba Samia atagombea kipindi kimoja tu ambacho ni 2025-2030 kwisha
Kasome vizuri katibaKatiba inataka Rais atoke Bara makamu wake atoke visiwani labda wabadili sheria
Katiba ipi inamzuia acha hizo 2025 Rais Samia na hakuna cha kufanya. Mnabidi mkubali tu gangs zenu zhazitashinda kamwe.Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Hahahahahaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umekosea kabisa.
Chaguo ni Ndalichako.
Ze ze ze book!
katiba ya wapi hiyo??? katiba inaruhusu kugombea hivo endapo angeingia magufuli ametimiza miaka mitatu vinnginevyo ni maramoja tuAtamaliza miaka 4 akiwa kiongozi bila kuchaguliwa 2025,2030 atakua ana miaka mitano ya kuchaguliwa,2035 atakua ana 10 ya kuchaguliwa kwahiyo ukijumlisha yote ni 14 wakati mwengine soma katiba yetu na uielewe usije huku kama umekatwa kichwa!!
Kijigazeti !!??Na yeye kumbe anajua kuwa Uhuru ni kigazeti cha uchochezi tu.
Na yeye kumbe anajua kuwa Uhuru ni kigazeti cha uchochezi tu.
Jambo jema tuombe iwe hivyo
Mwee mweeh mweehMwenyezi Mungu amjaarie mama yetu aliongoze taifa hata miaka 30 sawa tuu. Tunakupenda mama samia, mama mwenye huruma, anapenda matajiri, masikini na ni rais wa wanyonge pia,,,
umesoma katiba lakini? anaruhusiwa kugombea mara moja tu kama katiba itafuatwaKatiba ipi?!!.. wakati Raisi lazima achaguliwe tena kwenye uchaguzi mkuu!!..Huyu atachukua 14 Years kutengeneza historia
Nani kakuambia nchi hii kinachoamua nani awe rais ni sanduku la kura? Wapinzani wenyewe mara kadhaa wameshinda lakini wanapigwa pini. Uchaguzi wa kimagufuli ndio utakuwa fasheni kwa miaka kadhaa. Nani hapendi vya dezo?Kushinda kwake kunategemea upinzani wataweka mgombea gani
Duniani mafuta hayajapanda na ndiyo maana madereva wa tunduma wanaenda zambia kuweka mafuta. Kule bei iko chini.Kwenye swala la tozo limetugusa wengi mkuu,, lakini naimani nae uyu mama ipo cku ataliweka sawa,,, na uzuli pesa zinazokusanywa za tozo zinawekwa wazi na zinaenda kwenye miradi. Kuusu kupanda bei zsa mafuta navojua mimi mkuu ni duniani kote na co Tanzania tu. Unazani nani anapenda vitu/bidhaa zipande bei!!! Hali ngumu sana,, na corona ndiyo imesababisha vitu kupanda bei, moja wapo mafuta.
Huyo ameshatulia hana kitu tenaIla wapo wakombozi wetu akina Gwajima