Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

😅
1631724859790.png
 
Wanaomdanganya Mama kuwa anapendwa muogopeni Mungu. Mama ajiandae kisaikolojia jasa kanda ya ziwa
 
upinzani wangekuwa makini hii ni fursa nzuri sana kwao kwani ccm kundi kubwa hawamtaki yuko hapo kwa matakwa ya kikatiba na jaribio loote la kuzuia wagombea wengine hili yeye agombee litaleta mpasuko mkubwa, hizi nafasi huja kwa nadra sana
kundi gani kubwa la ccm ambalo halimtaki, mbn mimi namtaka
 
Inasikitisha sana. Yaani kifo cha Dkt JPM kwa kauli ya Mama na Waziri Mkuu enzi zile zinaashiria kilichotokea kilipangwa ndiyo maana waziri mkuu alisema kuwa Dkt JPM anaendelea vizuri kumbe tayari alikuwa kesha kufa. Ila mafisadi watashindwa tu.

Mungu asaidie mama apite inshaalah. Wacopenda wavimbe adi wapasuke.
 
Wanaomdanganya Mama kuwa anapendwa muogopeni Mungu. Mama ajiandae kisaikolojia jasa kanda ya ziwa
Heri ukae kimya mzehe. Una statistics za kuonyesha mama hapendwi? Au vicomment vya mitandaoni vinawaongopea 😁😁😁😁 amini ucamini mama anapita. Mwenyezi Mungu ajaarie inshaalah
 
Sina hakika kama huu ulikuwa muda muafaka kwake kutangaza nia ya urais 2025 kwa sababu watanzania bado wanaomboleza. Nadhani washauri wake hapo wamempotosha, alipaswa achape kazi tu kwa sasa then two or one year before uchaguzi angekuwa na sababu (jamani naombeni mnipe lizaa nimalizie yale ambayo nimeyaanza). Ila kwa sasa inaonekana kama vile yalipangwa yaliyotokea ili yeye iwe hivyo alivyo na ni furaha kwake! Sijui ila inafikirisha sana huo uharaka.
Unaomboleza wewe
 
Kuna uzi huu wa kuhusu kujiajiri na kutengeneza ajira.


Naomba kura wana JF
 
Genge linalopinga SSH kuwa Rais kwa muhula wa pili, mgetafuta tu kazi za kufanya

Hii nchi Rais tena wa CCM akiishashika muhula wa kwanza ndo imetoka hvyo hadi amalize vipindi vyote viwili labda afe,

CCM linapokujaga swala la uchaguzi huwa hawaaminiki wanaenda na upepo wa aliyeko madarakani,

Kama hamuamini muulizeni Benard Membe alikua na wafuasi wengi wanampa kichwa cha kushangaza hata fomu ya kugombea Ilichapishwa moja na Membe alipotezwa mpaka Leo, wale wale wafuasi wake wakaamua waliunge juu kwa juu wakaenda na JPM

Vile vile mnapaswa muelewe Rais wa CCM hawezi kutolewa madarakani kwa Box la kura labda muanze kupigania katiba mpya na tume huru kabla ya 2025

Laa sivyo, tafuteni mishe za kufanya kuliko kupoteza muda

SSH 2021 - 2030 ✔

Atakayeonekana ananguvu kidogo CCM tutampa ubalozi China akakae huko au ikishindikana kabisa ataundiwa zengwe

images (1).jpeg
 
Mods msiunganishe huu uzi niwape hawa watu vidonge vyao,

Genge linalopinga SSH kuwa Rais kwa muhula wa pili mkiongozwa na Chakubanga slow slow, mgetafuta tu kazi za kufanya...
Tuko nyuma yako Mama watumishi wa umma, tumenyanyasika sana huko nyuma.
 
Ngoja tumuone na Dr Tax!

Huyu ni mtu wa wapi kwa anayemfahamu?
 
Back
Top Bottom