Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Mosi, Mungu akijalia Rais Samia atagombea. CCM ni Chama kikubwa chenye kuheshimu taratibu zake na wala hakuna wa kumpinga 2025.

Pili, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Haitambuliki popote kwa mujibu wa Sheria za Kimataifa kama ni Taifa huru. Kwa hiyo, usijipe presha ndugu hilo unalosema haliwezi kutokea.

Tatu, Muungano wetu ni wa kipekee. Mwalimu na Mzee Karume waliujenga ktk muundo huo. Suala la muundo wa Dola ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekwisha. Hatuwezi kuunda dola mpya iwe ya Serikali moja, tatu, nne au saba.

Marekani ilikwishaundwa na Muungano wa states. Hakuna mwendawazimu anajadili muundo au eti achomoe jimbo. Tanzania pia ukithubutu kuchezea Muungano ambao ni Tunu ya Taifa utakalia umeme bila kuuona.
Wew unaonekana ni binti wa Samia au Mkwe wake mlio peana vyeo vya uwaziri na Kuna Mzanzibari mwingine amepewa ukuu wa Wilaya Iringa.Wenye nchi tunawaeleza ukweriiiiiii hatumungunyi maneno hili ni taifa huru.Muungano ni wa Tanganyika na Zanzibar na sio Zanzibar na Tanzania. Huu sio wakati wa kuzima hoja nzito kwa vioja.Tulisha KATAA kutawliwa na watu kutoka taifa jingine la Zanzibar Mara baada ya Mwinyi. Taifa letu ni thamani kubwa kuliko Muungano usio na kichwa Wala miguu.
 
Wewe ni Mzanzibari?
Mosi, Mungu akijalia Rais Samia atagombea. CCM ni Chama kikubwa chenye kuheshimu taratibu zake na wala hakuna wa kumpinga 2025.

Pili, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Haitambuliki popote kwa mujibu wa Sheria za Kimataifa kama ni Taifa huru. Kwa hiyo, usijipe presha ndugu hilo unalosema haliwezi kutokea.

Tatu, Muungano wetu ni wa kipekee. Mwalimu na Mzee Karume waliujenga ktk muundo huo. Suala la muundo wa Dola ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekwisha. Hatuwezi kuunda dola mpya iwe ya Serikali moja, tatu, nne au saba.

Marekani ilikwishaundwa na Muungano wa states. Hakuna mwendawazimu anajadili muundo au eti achomoe jimbo. Tanzania pia ukithubutu kuchezea Muungano ambao ni Tunu ya Taifa utakalia umeme bila kuuona.
 
Tanzania itawaliwa na Marais kutoka Zanzibar mara mbili mfulululizo.

Mambo ni kama yalipangwa vile... Ilikuwa Ngumu Mwinyi kuwa Rais 2025 labda Magufuli angeongoza Hadi 2030 ila Sasa ni Rais sana.

By 2025 Mwinyi ndio atakuwa mtu mwenye nguvu Zaid kisiasa Tanzania
 
Elimu ya uraia Ni shiida "Kweri Kweri"
Tuwekeeni kifungu cha Katiba kinachoeleza Urais wa JAMHURI ya MUUNGANO wa TANZANIA utawaniwa na Watanganyika tu Wazanzibari wao nafasi yao ni Makamo wa RAIS.
 
Raia wa mwisho kuwa Rais wa Tanganyika kutoka Zanzibar alikuwa ndugu Ally Hassan Mwinyi. Baada ya hapo CCM wakaweka kizuizi kwa raia yeyote kutoka Zanzibar asigombee urais na badala yake Zanzibar ikatakiwa iwe inatoa mgombea wa Makamu wa Rais tuu kwa kila Chama Cha siasa hapa nchini.

Imefanyika hivyo Mkapa akiwa mgombea, Kikwete akiwa Mgombea na hata Magufuli akiwa Mgombea Zanzibar kazi yao ni kutoa wagombea wenza tuu. Kwa maana nyingine ni kuwa ili Mzanzibari awe Rais wa Tanganyika itabidi asubirie kudra za mwenyezi Mungu Rais wa Tanganyika akifa.

Ni kwa nini CCM hawataki Rais wa Tanganyika atoke Zanzibar wakati KATIBA inasema sifa ya mtu kuwa Rais ni awe raia wa kuzaliwa wa Tanzania? Hapo ndipo wenye Akili tunapo eleza utata wa Muungano huu feki japo CCM haitaki kueleza wazi kuwa raia wa Zanzibar anakosa sifa ya kuwa Rais wa Tanganyika ila wakaficha maradhi hayo kwa muda mrefu. Waswahili wana msemo kuwa mficha maradhi kifo kitamuumbua na kifo kimewambua kweriii kweriii.

Wiki iliyopita niliandika mada ngumu hapa kuhusu WAZANZIBARI. Nikasema kwa maoni yangu naona wanzanzibari sio Watanzania mada ikafutwa wenye Akili wakanielewa kwa vigezo hivi nilivyo eleza.

Nikaeleza kuwa Zanzibar ilikubali kuungana na Tanganyika ili waunde taifa moja la Tanzania. Lakini Zanzibar ikagoma kuua taifa lao huku Tanganyika ikafa na kuunda Tanzania taifa jipya. Hivyo Tanzania imezaliwa baada kifo Cha kikatili Cha Tanganyika na sio Muungano wa nchi mbili.

Lakini pia nikaeleza kuwa Zanzibar ni nchi huru, yenye mipaka yake, Serikali, Bunge, Mahakama na pia KATIBA na wimbo wa taifa. Zanzibar sio sehemu ya Tanzania Kama CCM wanavyotaka kutuhadaa kutuona wananchi ni mazuzu tusio jitambua. Sehemu yeyote iliyopo Tanzania haiwezi ikawa na Rais, Serikali yake,Bunge Mahakama, KATIBA, wimbo wa taifa lake na Bendera ya taifa.

Ni mwenda wazimu tuu anaweza kuamini kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Ikiwa Bukoba, Iringa, Mbeya, Tanga hizi ni sehemu za Tanzania na hazina Rais wao, Serikali, Bunge, Mahakama, Bendera ya taifa wala wimbo wa taifa basi utakuwa ni ubashite wa hali ya juu kusema Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.Hakuna taifa hapa Duniani ni sehemu ya taifa jingine. Sijui mwanipata uzuri ninyi wadanganyika?

Ukweli mchungu ni kuwa WAZANZIBARI sio Watanzania wanalazimishwa tuu kwa malengo mficho. Msema kweli mpenzi wa Mungu na ni lazima tuambiazane ukweriiii.Huu sio wakati wakupakana mafuta kwa mgongo wa chupa. Samia aambiwe ukweli hana sifa za kuwa Rais wa Jamhuri ya Tanganyika. Akagombee kwao Zanzibar Kama anataka urais.

CCM wanayo kazi moja tuu Mbele kuifanya Zanzibar ikawa ni Jimbo au Mkoa wa Tanzania au kuirudisha Tanganyika zikaundwa Serikali tatu. Hatuwezi kuacha kulidai taifa letu la Tanganyika kwa sababu zozote zisizo na mashiko. Tutaendelea kulidai taifa letu la Tanganyika tena kwa wivu mkubwa.

Back Tanganyika.

31AFEA4C-5E03-4A07-9149-4FEF0E754353.jpeg
 
Elimu ya uraia Ni shiida "Kweri Kweri"
Tuwekeeni kifungu cha Katiba kinachoeleza Urais wa JAMHURI ya MUUNGANO wa TANZANIA utawaniwa na Watanganyika tu Wazanzibari wao nafasi yao ni Makamo wa RAIS.
Kuna KATIBA za kuandikwa na KATIBA zisizo andikwa ndugu jitahidi kujiongezea elimu. Ndio maana hujaona ilipo andikwa kumzuia Mzanzibari kugombea urais wa Tanganyika lakini hawajagombea toka Mkapa, Kikwete hadi Magufuli hujiulizi kwani hawakuwepo wakina Samia? Sijui wanipata uzuri wewe kijana toka makunduchi?
 
Kuna KATIBA za kuandikwa na KATIBA zisizo andikwa ndugu jitahidi kujiongezea elimu. Ndio maana hujaona ilipo andikwa kumzuia Mzanzibari kugombea urais wa Tanganyika lakini hawajagombea toka Mkapa, Kikwete hadi Magufuli hujiulizi kwani hawakuwepo wakina Samia? Sijui wanipata uzuri wewe kijana toka makunduchi?
Wameshagombea Mara nyingi tu sema kura hazikutosha. Salim Ahmed Salim, Ali Abeid Amani Karume, Amina Salim Ali n.k

Katiba zisizo andikwa hazina mashiko ya kisheria.

Nimeona hapo CCM wamewazuia mpaka vyama vya Upinzani wasiweke Mgombea wa Urais Mzanzibari imekaaje hiyo ndugu.
 
Du:!!
Du!!Sheria mama ,mgombea urais lazima hatoke bara.Makamu lazima atoke Zanzibar. Na kwamba Rais akifariki ,makamu anakuwa Rais kwa muda uliobaki.Hawezi kugombea tena.Kwa kuwa itafanya Rais awe Mzanzibar ,na kule Zanzibar pia awe mzanzibar.Naona ,ya Rais akifariki imetekelezwa.Hii ya makamu aliyechukua urais.Kutogombea either inafichwa ,au wanasiasa hawaelewi kabisa.Maana naona hata wakina Lissu wapo kimya.Asante kwa kutufunua.
Salama yake ni kuunga juhudi za upatikanaji wa KATIBA MPYA, vinginevyo katiba hii hii ya HOVYO ndio itakayotumika KUMTUPA NJE.
 
Haya yote nilikuwa siyajui Ila nakushukuru sana Mtoa mada kwakunielimisha. Yaani wametuhadaa tuue Utanganyika wetu huku wao wakiuhifadhi Uzanzibari wao!!!Katiba Mpya ni Muhimu mno kwani ndiyo suluhisho la haya yote.
 
We mpuuzi na msukule wa dikteta mwendazake

Samia anagombea urais 2025 na hamna kenge wowote wakumzuia,

Kwanza anawajali wananchi, na anakubarika na jeshi la Ulinzi kwaiyo hakuna mbuni wakumzuia Samia asigombee, kwaiyo take it from unknown source


Hakuna mbuzi wakumzuia Samia asigombee mwaka 2025,Samia yupo Hadi 2035
Kwa namna ulivyo comment imedhihirisha wazi ulivyo mweupe kichwani.Huna hoja yoyote,bali unaongea kwa hisia. Huu ni ujinga wa watu wengi sana.
 
Wameshagombea Mara nyingi tu sema kura hazikutosha. Salim Ahmed Salim, Ali Abeid Amani Karume, Amina Salim Ali n.k

Katiba zisizo andikwa hazina mashiko ya kisheria.

Nimeona hapo CCM wamewazuia mpaka vyama vya Upinzani wasiweke Mgombea wa Urais Mzanzibari imekaaje hiyo ndugu.
Ndio KATIBA yenyewe mkuu unauliza majibu. KATIBA isiyo andikwa ikikukataa hata ukigombea huta pita ng'oo maana wapiga kura wanajua KATIBA iliyo mioyoni mwao inasemaje. Huu ndio ukwerii na lazima tuambiazane ukwerii japo ukweli unaumaa.
 
Ndio KATIBA yenyewe mkuu unauliza majibu. KATIBA isiyo andikwa ikikukataa hata ukigombea huta pita ng'oo maana wapiga kura wanajua KATIBA iliyo mioyoni mwao inasemaje. Huu ndio ukwerii na lazima tuambiazane ukwerii japo ukweli unaumaa.
Shukran.
Haya malizia na hayo mengine. Umejibu moja tu au nikupe muda?
 
Raia wa mwisho kuwa Rais wa Tanganyika kutoka Zanzibar alikuwa ndugu Ally Hassan Mwinyi. Baada ya hapo CCM wakaweka kizuizi kwa raia yeyote kutoka Zanzibar asigombee urais na badala yake Zanzibar ikatakiwa iwe inatoa mgombea wa Makamu wa Rais tuu kwa kila Chama Cha siasa hapa nchini.

Imefanyika hivyo Mkapa akiwa mgombea, Kikwete akiwa Mgombea na hata Magufuli akiwa Mgombea Zanzibar kazi yao ni kutoa wagombea wenza tuu. Kwa maana nyingine ni kuwa ili Mzanzibari awe Rais wa Tanganyika itabidi asubirie kudra za mwenyezi Mungu Rais wa Tanganyika akifa.

Ni kwa nini CCM hawataki Rais wa Tanganyika atoke Zanzibar wakati KATIBA inasema sifa ya mtu kuwa Rais ni awe raia wa kuzaliwa wa Tanzania? Hapo ndipo wenye Akili tunapo eleza utata wa Muungano huu feki japo CCM haitaki kueleza wazi kuwa raia wa Zanzibar anakosa sifa ya kuwa Rais wa Tanganyika ila wakaficha maradhi hayo kwa muda mrefu. Waswahili wana msemo kuwa mficha maradhi kifo kitamuumbua na kifo kimewambua kweriii kweriii.

Wiki iliyopita niliandika mada ngumu hapa kuhusu WAZANZIBARI. Nikasema kwa maoni yangu naona wanzanzibari sio Watanzania mada ikafutwa wenye Akili wakanielewa kwa vigezo hivi nilivyo eleza.

Nikaeleza kuwa Zanzibar ilikubali kuungana na Tanganyika ili waunde taifa moja la Tanzania. Lakini Zanzibar ikagoma kuua taifa lao huku Tanganyika ikafa na kuunda Tanzania taifa jipya. Hivyo Tanzania imezaliwa baada kifo Cha kikatili Cha Tanganyika na sio Muungano wa nchi mbili.

Lakini pia nikaeleza kuwa Zanzibar ni nchi huru, yenye mipaka yake, Serikali, Bunge, Mahakama na pia KATIBA na wimbo wa taifa. Zanzibar sio sehemu ya Tanzania Kama CCM wanavyotaka kutuhadaa kutuona wananchi ni mazuzu tusio jitambua. Sehemu yeyote iliyopo Tanzania haiwezi ikawa na Rais, Serikali yake,Bunge Mahakama, KATIBA, wimbo wa taifa lake na Bendera ya taifa.

Ni mwenda wazimu tuu anaweza kuamini kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Ikiwa Bukoba, Iringa, Mbeya, Tanga hizi ni sehemu za Tanzania na hazina Rais wao, Serikali, Bunge, Mahakama, Bendera ya taifa wala wimbo wa taifa basi utakuwa ni ubashite wa hali ya juu kusema Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.Hakuna taifa hapa Duniani ni sehemu ya taifa jingine. Sijui mwanipata uzuri ninyi wadanganyika?

Ukweli mchungu ni kuwa WAZANZIBARI sio Watanzania wanalazimishwa tuu kwa malengo mficho. Msema kweli mpenzi wa Mungu na ni lazima tuambiazane ukweriiii.Huu sio wakati wakupakana mafuta kwa mgongo wa chupa. Samia aambiwe ukweli hana sifa za kuwa Rais wa Jamhuri ya Tanganyika. Akagombee kwao Zanzibar Kama anataka urais.

CCM wanayo kazi moja tuu Mbele kuifanya Zanzibar ikawa ni Jimbo au Mkoa wa Tanzania au kuirudisha Tanganyika zikaundwa Serikali tatu. Hatuwezi kuacha kulidai taifa letu la Tanganyika kwa sababu zozote zisizo na mashiko. Tutaendelea kulidai taifa letu la Tanganyika tena kwa wivu mkubwa.

Back Tanganyika.
Kwanza na mwinyi sio mzanzibari, alipwlejwa tu kutawala huko na nyerere. Ni mtanganyika wa mkuranga
 
Back
Top Bottom