Rais Samia: Wasukuma mnapoongeza wake muongeze na mashamba

Rais Samia: Wasukuma mnapoongeza wake muongeze na mashamba

kalacha mateo

Senior Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
119
Reaction score
240
Rais Samia Suluhu amesema hayo wakati aliposhiriki tamasha la utamaduni la Buyalo mkoani Mwanza. Rais Samia Suluhu aliwasisitizia wakulima kuhifadhi chakula ili kiweze kuwasaidia wakati wa uhaba wa chakula. Aidha aliwatania wasukuma kwa kuwaambia wanapoongeza familia akumbuke kuongeza na mashamba ya chakula.

"Ndugu zangu wasukuma mavuno haya tukishauza na bei sasa ziko nzuri, akina baba tutakimbilia kuongeza nyumba za 2, mwenye 2 anakwenda kwenye ya 3, si vibaya hatuna wivu, mnapokumbuka kuongeza nyumba mkumbuke kuongeza na mashamba" -Rais Samia Suluhu

1686666934884.png
 
Rais Samia Suluhu amesema hayo wakati aliposhiriki tamasha la utamaduni la Buyalo mkoani Mwanza. Rais Samia Suluhu aliwasisitizia wakulima kuhifadhi chakula ili kiweze kuwasaidia wakati wa uhaba wa chakula. Aidha aliwatania wasukuma kwa kuwaambia wanapoongeza familia akumbuke kuongeza na mashamba ya chakula.

"Ndugu zangu wasukuma mavuno haya tukishauza na bei sasa ziko nzuri, akina baba tutakimbilia kuongeza nyumba za 2, mwenye 2 anakwenda kwenye ya 3, si vibaya hatuna wivu, mnapokumbuka kuongeza nyumba mkumbuke kuongeza na mashamba" -Rais Samia Suluhu

View attachment 2656272
Tatizo hifadhi..,
 
Rais Samia Suluhu amesema hayo wakati aliposhiriki tamasha la utamaduni la Buyalo mkoani Mwanza. Rais Samia Suluhu aliwasisitizia wakulima kuhifadhi chakula ili kiweze kuwasaidia wakati wa uhaba wa chakula. Aidha aliwatania wasukuma kwa kuwaambia wanapoongeza familia akumbuke kuongeza na mashamba ya chakula.

"Ndugu zangu wasukuma mavuno haya tukishauza na bei sasa ziko nzuri, akina baba tutakimbilia kuongeza nyumba za 2, mwenye 2 anakwenda kwenye ya 3, si vibaya hatuna wivu, mnapokumbuka kuongeza nyumba mkumbuke kuongeza na mashamba" -Rais Samia Suluhu

View attachment 2656272
Chawa wa mama hapo mbona hawasemi ubaguzi wa kikabila au ubara?
 
Asitupangie maisha yeye kwanza apunguze gharama za kwenda uarabuni zmetugharimu sana
 
Naweka ndani mtoto mbichi wa 3 aliyehitimu la saba mwaka jana. Karibuni ntuzu mwezi Julai mle ubwabwa.🍺🍻🍻. Mahari ishatoka ng'ombe 22 sondeka!😂

Haya turudi kwenye mambo ya msingi.

TUNATAKA BANDARI YETU
 
Rais Samia Suluhu amesema hayo wakati aliposhiriki tamasha la utamaduni la Buyalo mkoani Mwanza. Rais Samia Suluhu aliwasisitizia wakulima kuhifadhi chakula ili kiweze kuwasaidia wakati wa uhaba wa chakula. Aidha aliwatania wasukuma kwa kuwaambia wanapoongeza familia akumbuke kuongeza na mashamba ya chakula.

"Ndugu zangu wasukuma mavuno haya tukishauza na bei sasa ziko nzuri, akina baba tutakimbilia kuongeza nyumba za 2, mwenye 2 anakwenda kwenye ya 3, si vibaya hatuna wivu, mnapokumbuka kuongeza nyumba mkumbuke kuongeza na mashamba" -Rais Samia Suluhu

View attachment 2656272
Anayeandaa hotuba ya maza bora apangiwe kazi nyingine.

Gharama Za Maza kwenda mwanza na msafara wake na kilichoandikwa kwenye hotuba hakina value for money.
 

Attachments

  • FAC1266F-4108-450D-BBFE-68FE3B4EE738.jpeg
    FAC1266F-4108-450D-BBFE-68FE3B4EE738.jpeg
    47.8 KB · Views: 5
Back
Top Bottom