kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 119
- 240
Tatizo hifadhi..,Rais Samia Suluhu amesema hayo wakati aliposhiriki tamasha la utamaduni la Buyalo mkoani Mwanza. Rais Samia Suluhu aliwasisitizia wakulima kuhifadhi chakula ili kiweze kuwasaidia wakati wa uhaba wa chakula. Aidha aliwatania wasukuma kwa kuwaambia wanapoongeza familia akumbuke kuongeza na mashamba ya chakula.
"Ndugu zangu wasukuma mavuno haya tukishauza na bei sasa ziko nzuri, akina baba tutakimbilia kuongeza nyumba za 2, mwenye 2 anakwenda kwenye ya 3, si vibaya hatuna wivu, mnapokumbuka kuongeza nyumba mkumbuke kuongeza na mashamba" -Rais Samia Suluhu
View attachment 2656272
Chawa wa mama hapo mbona hawasemi ubaguzi wa kikabila au ubara?Rais Samia Suluhu amesema hayo wakati aliposhiriki tamasha la utamaduni la Buyalo mkoani Mwanza. Rais Samia Suluhu aliwasisitizia wakulima kuhifadhi chakula ili kiweze kuwasaidia wakati wa uhaba wa chakula. Aidha aliwatania wasukuma kwa kuwaambia wanapoongeza familia akumbuke kuongeza na mashamba ya chakula.
"Ndugu zangu wasukuma mavuno haya tukishauza na bei sasa ziko nzuri, akina baba tutakimbilia kuongeza nyumba za 2, mwenye 2 anakwenda kwenye ya 3, si vibaya hatuna wivu, mnapokumbuka kuongeza nyumba mkumbuke kuongeza na mashamba" -Rais Samia Suluhu
View attachment 2656272
Anayeandaa hotuba ya maza bora apangiwe kazi nyingine.Rais Samia Suluhu amesema hayo wakati aliposhiriki tamasha la utamaduni la Buyalo mkoani Mwanza. Rais Samia Suluhu aliwasisitizia wakulima kuhifadhi chakula ili kiweze kuwasaidia wakati wa uhaba wa chakula. Aidha aliwatania wasukuma kwa kuwaambia wanapoongeza familia akumbuke kuongeza na mashamba ya chakula.
"Ndugu zangu wasukuma mavuno haya tukishauza na bei sasa ziko nzuri, akina baba tutakimbilia kuongeza nyumba za 2, mwenye 2 anakwenda kwenye ya 3, si vibaya hatuna wivu, mnapokumbuka kuongeza nyumba mkumbuke kuongeza na mashamba" -Rais Samia Suluhu
View attachment 2656272
Wanalima Tanganyika .Mbona wazazinzibari wanaoa wake wanne wao wanalima wapi