BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Kwa maelezo ya mleta mada hawajaelimishwa kuhusu stahiki zao za mafao ya kustaafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mimi raia mchovu nalalamika. Na wewe mwanajeshi tena unayo mafunzo kamili ya medani, silaha, intelijensia kabisa unalalamika yaani ni vichekesho 😂😂Khaaa hatari sana una check number na barua ya kuthibitisha kazini alafu unaambiwa wewe ulikua kibarua duuh😭😭
Nchi ngumu hii Hila nyie mlipaswa muwe vilanja acheni malalamiko kama sisi walimu nyie mna mafunzo, na vitendea kazi pia iweje watu wawili watatu wazuie haki zenu nyie hampaswi kuomba toeni tamko tu wapeni siku kadhaa serikali iwalipe madai yenu wakikaidi mapigo na mwendo yausike acheni uoga
😂Madhara ya jeshi kutumika kama toilet paper na chama cha mboga mboga ndio haya sasa.
Ikitokea vita Tz hatuna jeshi hapa tuwe wakweli tu kwa style kama hii.
Hawa jamaa wana huzunisha sana wapo radhi kufanya lolote lile ili CCM iendelee kuwa madarakani wacha wavune wanacho panda kila siku😂
Toilet paper
Ukiwaona wanavyowalinda ccm, wanavyozuia maandamani kwa mabomu na risasi na wanavyosaidia kuiba kura 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Yaani mimi najua wanajeshi na mapolisi ni matajiri sana na wakistaafu wanapewa hela nyingi mno. Kumbe mpaka pensheni zao zimeliwa 😂😂😂😂😂😂 ccm shikamoo 😂 😂
😂😂Hawa jamaa wana huzunisha sana wapo radhi kufanya lolote lile ili CCM iendelee kuwa madarakani wacha wavune wanacho panda kila siku
Anadeki ofisi kwanza ndo aeleze shida yake alafu kujibiwa uchaguzi utakapokaribia🤣Imagine mjeda anaburutwa na kujibiwa kiwaki namna hiyo kwa mwalimu hali ikoje?
Kama wanajeshi wenyewe ndio hawa mazombie unategemea nini? Unakuta mwanajeshi anaona sifa kualikwa na mwanasiasa kwenye hafla hapo unategemea nini?Ila ccm nimewanyooshea mikono, wanaiba hela mpaka za wanajeshi 😂😂😂😂😂.
Na Bado Ni vzr ccm iwanyime kbsaa hata hicho kidgo wanachodai wapuuzi snaa waliwalinda watawla leo wanakuja kutusumbua ss tuwapiganieHii ni aibu huu uzi una huzunisha kuliko kuchekesha. Ni aibu kubwa jeshi kuwa nyonge kwa mamlaka kiasi hiki.
Jeshi la namna gani hili limetengenezwa ? Na wao wanaona sawa tu kuwa jeshi la namna hii kwa watawala.
Wanavuna walicho panda, wanapaswa wafahamu kuwa wao ni Jeshi kwa ajili ya raia/wananchi sio watawala hovyo kabisa[emoji706]
Nimecheka kwa nguvu, eti mwanajeshi anasema kuna mbunge alisema atawatetea, cha ajabu unakuta huyo mbunge aliingia bungeni bila kupingwa, au kwa kura za wizi.Na Bado Ni vzr ccm iwanyime kbsaa hata hicho kidgo wanachodai wapuuzi snaa waliwalinda watawla leo wanakuja kutusumbua ss tuwapiganie
Ni majonzi kwakweli.Daaaah....!!!
Hii nchi sijui wanaofanya kazi serikalini na taasisi za umma huwa wanafanya kazi gani!!
Kwa udhaifu huu hakika CCM watatesa milele bongo.Kama wanajeshi wenyewe ndio hawa mazombie unategemea nini? Unakuta mwanajeshi anaona sifa kualikwa na mwanasiasa kwenye hafla hapo unategemea nini?
Siku nilijua tuna jeshi dhaifu ni siku Magufuli alipokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi. Yaani jeshi limetengwa na siasa kikatiba kisha wanaccm wakapokelewa!
Nilishangaa hata kwenye ile kesi ya kubumba ya Mbowe eti wanajeshi tena makomandoo waliteswa na polisi hawa akina Kingai, na mwanajeshi mwingine akawa anaenda mahakamani kutoa ushahidi wa uongo ili mpinzani afungwe. Kwa udhaifu huu wa wanajeshi, ndio maana CCM wanajisifia watatawala milele.
😂😂😂Kama wanajeshi wenyewe ndio hawa mazombie unategemea nini? Unakuta mwanajeshi anaona sifa kualikwa na mwanasiasa kwenye hafla hapo unategemea nini?
Siku nilijua tuna jeshi dhaifu ni siku Magufuli alipokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi. Yaani jeshi limetengwa na siasa kikatiba kisha wanaccm wakapokelewa!
Nilishangaa hata kwenye ile kesi ya kubumba ya Mbowe eti wanajeshi tena makomandoo waliteswa na polisi hawa akina Kingai, na mwanajeshi mwingine akawa anaenda mahakamani kutoa ushahidi wa uongo ili mpinzani afungwe. Kwa udhaifu huu wa wanajeshi, ndio maana CCM wanajisifia watatawala milele.
MSAKATONGE BEA! 🤩🤩🤩👍🏾🙌🏾💪🏾
Me mwenyewe nashangaa amekuja kumpigia kelele nani humu kama wajibu wake kama kamanda haufahamu.Na Bado Ni vzr ccm iwanyime kbsaa hata hicho kidgo wanachodai wapuuzi snaa waliwalinda watawla leo wanakuja kutusumbua ss tuwapiganie
Wacha watibuliwe kmmmk zao ,jeshi la hvyo San Hili alfu eti inajidai ndio jeshi imara kwa ukandaa huu wkt kila mwaka wanatandikwa na waasi na Bado ccm inawanyoosha mm nasema wanyimwe kbsa hata hicho kidg wanachodaiNimecheka kwa nguvu, eti mwanajeshi anasema kuna mbunge alisema atawatetea, cha ajabu unakuta huyo mbunge aliingia bungeni bila kupingwa, au kwa kura za wizi.
Nimecheka, japokuwa sijui nacheka nini [emoji3][emoji3][emoji3]MSAKATONGE BEA! [emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji1474][emoji1487][emoji1491]