DOKEZO Rais Samia, Watumishi Wastaafu wa Jeshi tunaomba utusaidie kupata stahiki zetu, tunateseka

DOKEZO Rais Samia, Watumishi Wastaafu wa Jeshi tunaomba utusaidie kupata stahiki zetu, tunateseka

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Khaaa hatari sana una check number na barua ya kuthibitisha kazini alafu unaambiwa wewe ulikua kibarua duuh😭😭
Nchi ngumu hii Hila nyie mlipaswa muwe vilanja acheni malalamiko kama sisi walimu nyie mna mafunzo, na vitendea kazi pia iweje watu wawili watatu wazuie haki zenu nyie hampaswi kuomba toeni tamko tu wapeni siku kadhaa serikali iwalipe madai yenu wakikaidi mapigo na mwendo yausike acheni uoga
Sasa mimi raia mchovu nalalamika. Na wewe mwanajeshi tena unayo mafunzo kamili ya medani, silaha, intelijensia kabisa unalalamika yaani ni vichekesho 😂😂
 
Pole San mzee wangu ila ninyi nanyi Ni majanga Sana mnawalinda watawala alfu ndio malipo watawala wanawalipa kuwa dhulumu

Poleni Sana wanajeshi wengi wa Sasa HV Ni walala hoi
 
Madhara ya jeshi kutumika kama toilet paper na chama cha mboga mboga ndio haya sasa.

Ikitokea vita Tz hatuna jeshi hapa tuwe wakweli tu kwa style kama hii.
😂
Toilet paper
Ukiwaona wanavyowalinda ccm, wanavyozuia maandamano kwa mabomu na risasi na wanavyosaidia kuiba kura 😂😂😂😂


😂😂😂😂😂
Yaani mimi najua wanajeshi na mapolisi ni matajiri sana na wakistaafu wanapewa hela nyingi mno. Kumbe mpaka pensheni zao zimeliwa 😂😂😂😂😂😂 ccm shikamoo 😂 😂
 
😂
Toilet paper
Ukiwaona wanavyowalinda ccm, wanavyozuia maandamani kwa mabomu na risasi na wanavyosaidia kuiba kura 😂😂😂😂


😂😂😂😂😂
Yaani mimi najua wanajeshi na mapolisi ni matajiri sana na wakistaafu wanapewa hela nyingi mno. Kumbe mpaka pensheni zao zimeliwa 😂😂😂😂😂😂 ccm shikamoo 😂 😂
Hawa jamaa wana huzunisha sana wapo radhi kufanya lolote lile ili CCM iendelee kuwa madarakani wacha wavune wanacho panda kila siku
 
Hawa jamaa wana huzunisha sana wapo radhi kufanya lolote lile ili CCM iendelee kuwa madarakani wacha wavune wanacho panda kila siku
😂😂
Yaani ukiwakuta kipindi cha kuiba kura wanavyokuwa serious na mabunduki 😂😂😂. Wanajiona kwelikweli.

Dah ila ccm kiboko kabisa 😂😂. Yaani wamelamba pensheni zao zote😂😂 sasa hivi ni kuwazungusha tu 😂😂😂 nimecheka sana leo
 
Kama, ni polisi, wala sina huruma na, nyie,
Pesa, zimeishatumbuliwa! Zilizojenga idol, hazijarudi mpaka Leo,
Hili liwe fundisho kwa vijana, lazima ujipange.
 
Ila ccm nimewanyooshea mikono, wanaiba hela mpaka za wanajeshi 😂😂😂😂😂.
Kama wanajeshi wenyewe ndio hawa mazombie unategemea nini? Unakuta mwanajeshi anaona sifa kualikwa na mwanasiasa kwenye hafla hapo unategemea nini?

Siku nilijua tuna jeshi dhaifu ni siku Magufuli alipokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi. Yaani jeshi limetengwa na siasa kikatiba kisha wanaccm wakapokelewa!

Nilishangaa hata kwenye ile kesi ya kubumba ya Mbowe eti wanajeshi tena makomandoo waliteswa na polisi hawa akina Kingai, na mwanajeshi mwingine akawa anaenda mahakamani kutoa ushahidi wa uongo ili mpinzani afungwe. Kwa udhaifu huu wa wanajeshi, ndio maana CCM wanajisifia watatawala milele.
 
Hii ni aibu huu uzi una huzunisha kuliko kuchekesha. Ni aibu kubwa jeshi kuwa nyonge kwa mamlaka kiasi hiki.

Jeshi la namna gani hili limetengenezwa ? Na wao wanaona sawa tu kuwa jeshi la namna hii kwa watawala.

Wanavuna walicho panda, wanapaswa wafahamu kuwa wao ni Jeshi kwa ajili ya raia/wananchi sio watawala hovyo kabisa[emoji706]
Na Bado Ni vzr ccm iwanyime kbsaa hata hicho kidgo wanachodai wapuuzi snaa waliwalinda watawla leo wanakuja kutusumbua ss tuwapiganie
 
Kama wanajeshi wenyewe ndio hawa mazombie unategemea nini? Unakuta mwanajeshi anaona sifa kualikwa na mwanasiasa kwenye hafla hapo unategemea nini?

Siku nilijua tuna jeshi dhaifu ni siku Magufuli alipokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi. Yaani jeshi limetengwa na siasa kikatiba kisha wanaccm wakapokelewa!

Nilishangaa hata kwenye ile kesi ya kubumba ya Mbowe eti wanajeshi tena makomandoo waliteswa na polisi hawa akina Kingai, na mwanajeshi mwingine akawa anaenda mahakamani kutoa ushahidi wa uongo ili mpinzani afungwe. Kwa udhaifu huu wa wanajeshi, ndio maana CCM wanajisifia watatawala milele.
Kwa udhaifu huu hakika CCM watatesa milele bongo.
 
Kama wanajeshi wenyewe ndio hawa mazombie unategemea nini? Unakuta mwanajeshi anaona sifa kualikwa na mwanasiasa kwenye hafla hapo unategemea nini?

Siku nilijua tuna jeshi dhaifu ni siku Magufuli alipokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi. Yaani jeshi limetengwa na siasa kikatiba kisha wanaccm wakapokelewa!

Nilishangaa hata kwenye ile kesi ya kubumba ya Mbowe eti wanajeshi tena makomandoo waliteswa na polisi hawa akina Kingai, na mwanajeshi mwingine akawa anaenda mahakamani kutoa ushahidi wa uongo ili mpinzani afungwe. Kwa udhaifu huu wa wanajeshi, ndio maana CCM wanajisifia watatawala milele.
😂😂😂
Malipo ni hapahapa 😂😂😂
Hii imeenda!

 
Na Bado Ni vzr ccm iwanyime kbsaa hata hicho kidgo wanachodai wapuuzi snaa waliwalinda watawla leo wanakuja kutusumbua ss tuwapiganie
Me mwenyewe nashangaa amekuja kumpigia kelele nani humu kama wajibu wake kama kamanda haufahamu.

Ni bora angepiga kimya tu maana analitia aibu jeshi na kuzidi kuonekana sio chochote sio lolote mbele ya watawala yaani hovyo.
 
Nimecheka kwa nguvu, eti mwanajeshi anasema kuna mbunge alisema atawatetea, cha ajabu unakuta huyo mbunge aliingia bungeni bila kupingwa, au kwa kura za wizi.
Wacha watibuliwe kmmmk zao ,jeshi la hvyo San Hili alfu eti inajidai ndio jeshi imara kwa ukandaa huu wkt kila mwaka wanatandikwa na waasi na Bado ccm inawanyoosha mm nasema wanyimwe kbsa hata hicho kidg wanachodai
 
Back
Top Bottom