Rais Samia weka Tanzania mbele, mbona mwenzako Ruto ameweza!

Rais Samia weka Tanzania mbele, mbona mwenzako Ruto ameweza!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tatizo la nchi yetu ni viongozi wengi ni wabinafsi nilishangaa kwa utamaduni mfano wa kuwajengea wa Raisi wastaafu mahekalu kwa pesa ya walipa kodi na kulipa wenza wao wakati hii sio kazi ya kulazimishwa.

Rais Samia anatakiwa aweke nchi mbele mwenzake Ruto pamoja na tofauti kubwa ya Odinga wameweka nchi mbele. Wamefanya Chaguzi huru kwa maono ya kimataifa na kwao Kenya ni Kwanza.

Hapa Tanzania Rais anaweka mkwe wake kwenye wizara kwa kazi moja tu kuiba kura kwa CCM. Cha kusikitisha wanaiba mpaka kura za mjumbe wa kikiji!. Sasa ukiangalia vizuri nani hasa ni mnufaika wa wizi?

Mnafanya kazi kwa manufaa ya nani kama wananchi hawawezi kuchagua mtu wao. Kama kweli nyie ni wazalendo kwanini mnapiga vita tume huru na chaguzi huru bila kujali vyama? Nani hasa ni mfaidika kama watu wasipokuwa huru?

Kwa Dunia ya Leo bado matukio ya utekaji yanaendelea hasa kwa wapinzani kijinga jinga na mpaka kuwaua.

Sisi tumekaa kuwacheka wenzetu wana ukabila lakini wameweka nchi mbele na sasa wanashughulikia nchi. Rais Samia badala ya kuwekeza kwenye umoja sasa utatupeleka kwa mwamko wa kisiasa kwasababu vijana wameanza kuchoka kiki na ujinga jinga.

Lakini kibaya zaidi hata yale mambo ambayo hayana vyama kama Rushwa Rais ameacha kupigana na wala rushwa kwasababu ndiyo machawa wake. Mpaka leo mkataba ambao Januari Makamba alisimamia wa Gas hauja siginiwa kwasababu viongozi wako wanatafuta Norway iwape 10% na wamekataa kata na Watanzania hawafaidiki kwasababu ya watu wachache wala rushwa.

Haya yote wakina Lissu watayaleta mbele ya wananchi. Lakini kikubwa weka nchi mbele weka chaguzi huru , tume huru ili wananchi waelekeze nguvu kwenye maendeleo ya nchi
 
Tatizo la nchi yetu ni viongozi wengi ni wabinafsi nilishangaa kwa utamaduni mfano wa kuwajengea wa Raisi wastaafu mahekalu kwa pesa ya walipa kodi na kulipa wenza wao wakati hii sio kazi ya kulazimishwa.

Rais Samia anatakiwa aweke nchi mbele mwenzake Ruto pamoja na tofauti kubwa ya Odinga wameweka nchi mbele. Wamefanya Chaguzi huru kwa maono ya kimataifa na kwao Kenya ni Kwanza.

Hapa Tanzania Rais anaweka mkwe wake kwenye wizara kwa kazi moja tu kuiba kura kwa CCM. Cha kusikitisha wanaiba mpaka kura za mjumbe wa kikiji!. Sasa ukiangalia vizuri nani hasa ni mnufaika wa wizi?

Mnafanya kazi kwa manufaa ya nani kama wananchi hawawezi kuchagua mtu wao. Kama kweli nyie ni wazalendo kwanini mnapiga vita tume huru na chaguzi huru bila kujali vyama? Nani hasa ni mfaidika kama watu wasipokuwa huru?

Kwa Dunia ya Leo bado matukio ya utekaji yanaendelea hasa kwa wapinzani kijinga jinga na mpaka kuwaua.

Sisi tumekaa kuwacheka wenzetu wana ukabila lakini wameweka nchi mbele na sasa wanashughulikia nchi. Rais Samia badala ya kuwekeza kwenye umoja sasa utatupeleka kwa mwamko wa kisiasa kwasababu vijana wameanza kuchoka kiki na ujinga jinga.

Lakini kibaya zaidi hata yale mambo ambayo hayana vyama kama Rushwa Rais ameacha kupigana na wala rushwa kwasababu ndiyo machawa wake. Mpaka leo mkataba ambao Januari Makamba alisimamia wa Gas hauja siginiwa kwasababu viongozi wako wanatafuta Norway iwape 10% na wamekataa kata na Watanzania hawafaidiki kwasababu ya watu wachache wala rushwa.

Haya yote wakina Lissu watayaleta mbele ya wananchi. Lakini kikubwa weka nchi mbele weka chaguzi huru , tume huru ili wananchi waelekeze nguvu kwenye maendeleo ya nchi
Hilo sio swala la Samia Bali Viongozi wengi wa Tanzania ni wabinafsi,swala la kujengwa Marais nyumba mara kuwapa Magari alianza Magufuli Kwa JK na Mwinyi, wengine Wana endeleza.

Trump amefuta misaada ya kulemaza,hela hizo za wenzako sijui kina nani zifutwe haraka Ili zinunue madawa ya wagonjwa nk.
 
Hilo sio swala la Samia Bali Viongozi wengi wa Tanzania ni wabinafsi,swala la kujengwa Marais nyumba mara kuwapa Magari alianza Magufuli Kwa JK na Mwinyi, wengine Wana endeleza.

Trump amefuta misaada ya kulemaza,hela hizo za wenzako sijui kina nani zifutwe haraka Ili zinunue madawa ya wagonjwa nk.
Sasa nyie ccm nao huwa mnajali kuhusu watu? Nyie mnajali maslahi yenu binafsi ndio maana mnajengeana mahekalu, mnalipana pension hadi wake wa viongozi. Mnanunuliana ma v8 kwa uchumi huu mdogo. Yaani kwa kifupi viongozi wa ccm mmejiamulia kuishi maisha kufuru pasipo kujali wananchi waliowafikisha hapo. Ipo siku mtalipa tu.
 
Sasa nyie ccm nao huwa mnajali kuhusu watu? Nyie mnajali maslahi yenu binafsi ndio maana mnajengeana mahekalu, mnalipana pension hadi wake wa viongozi. Mnanunuliana ma v8 kwa uchumi huu mdogo. Yaani kwa kifupi viongozi wa ccm mmejiamulia kuishi maisha kufuru pasipo kujali wananchi waliowafikisha hapo. Ipo siku mtalipa tu.
Kwani Kila Kiongozi ananunuliwa V8? Hizo ni chache Kwa viongozi wa ngazi ya Mkoa kwenda Juu.

Unadhani zisiponuniliwa ndio maisha yatakuwa Mazuri? Maana hata bil.100 hazifiki.
 
Kwani Kila Kiongozi ananunuliwa V8? Hizo ni chache Kwa viongozi wa ngazi ya Mkoa kwenda Juu.

Unadhani zisiponuniliwa ndio maisha yatakuwa Mazuri? Maana hata bil.100 hazifiki.
Kwa nini wanunuliwe ma V8, na kulipana mapension hadi wake wa viongozi.
Kiongozi mstaafu aliyechuma mapesa mengi kwa wizi na ufisadi bado analipwa pension, ananuliwa gari, anabadilishiwa walinzi, analipiwa mishahara wafanyakazi wake binafsi kama sekretari, dereva n.k kwani pesa zake za pensheni zinafanya kazi gani?
Hizo billion 10 kwa mfano ulizosema za v8 zingepelekwa kwenye kutengeneza scheme za umwagiliaji wa kilimo ungegusa maisha ya watanzania wangapi wanaotegemea kilimo cha msimu wa mvua?
 
Kwa nini wanunuliwe ma V8, na kulipana mapension hadi wake wa viongozi.
Kiongozi mstaafu aliyechuma mapesa mengi kwa wizi na ufisadi bado analipwa pension, ananuliwa gari, anabadilishiwa walinzi, analipiwa mishahara wafanyakazi wake binafsi kama sekretari, dereva n.k kwani pesa zake za pensheni zinafanya kazi gani?
Hizo billion 10 kwa mfano ulizosema za v8 zingepelekwa kwenye kutengeneza scheme za umwagiliaji wa kilimo ungegusa maisha ya watanzania wangapi wanaotegemea kilimo cha msimu wa mvua?
Ulitaka viongozi watumie Baiskeli au nini? Kwani ukipeleka kwenye umwagiliaji ndio itamaliza shida?

Hilo la pensheni za wenzako haliko sawa.
 
Tatizo la nchi yetu ni viongozi wengi ni wabinafsi nilishangaa kwa utamaduni mfano wa kuwajengea wa Raisi wastaafu mahekalu kwa pesa ya walipa kodi na kulipa wenza wao wakati hii sio kazi ya kulazimishwa.

Rais Samia anatakiwa aweke nchi mbele mwenzake Ruto pamoja na tofauti kubwa ya Odinga wameweka nchi mbele. Wamefanya Chaguzi huru kwa maono ya kimataifa na kwao Kenya ni Kwanza.

Hapa Tanzania Rais anaweka mkwe wake kwenye wizara kwa kazi moja tu kuiba kura kwa CCM. Cha kusikitisha wanaiba mpaka kura za mjumbe wa kikiji!. Sasa ukiangalia vizuri nani hasa ni mnufaika wa wizi?

Mnafanya kazi kwa manufaa ya nani kama wananchi hawawezi kuchagua mtu wao. Kama kweli nyie ni wazalendo kwanini mnapiga vita tume huru na chaguzi huru bila kujali vyama? Nani hasa ni mfaidika kama watu wasipokuwa huru?

Kwa Dunia ya Leo bado matukio ya utekaji yanaendelea hasa kwa wapinzani kijinga jinga na mpaka kuwaua.

Sisi tumekaa kuwacheka wenzetu wana ukabila lakini wameweka nchi mbele na sasa wanashughulikia nchi. Rais Samia badala ya kuwekeza kwenye umoja sasa utatupeleka kwa mwamko wa kisiasa kwasababu vijana wameanza kuchoka kiki na ujinga jinga.

Lakini kibaya zaidi hata yale mambo ambayo hayana vyama kama Rushwa Rais ameacha kupigana na wala rushwa kwasababu ndiyo machawa wake. Mpaka leo mkataba ambao Januari Makamba alisimamia wa Gas hauja siginiwa kwasababu viongozi wako wanatafuta Norway iwape 10% na wamekataa kata na Watanzania hawafaidiki kwasababu ya watu wachache wala rushwa.

Haya yote wakina Lissu watayaleta mbele ya wananchi. Lakini kikubwa weka nchi mbele weka chaguzi huru , tume huru ili wananchi waelekeze nguvu kwenye maendeleo ya nchi
Mama yenu ameweka uchawa mbele kama mfuko wa shati
 
Waziri anatumia V8 kutoka Kisasa kwenda Mtumba na Bungeni....inachekesha kama mazuri vile.
Chawa wanamshauri mama kuwa mkomeshe Lissu kwa hicho anachokitaka kumbe anamkomesha wananchi waliompigia kura bila yeye kujua.
Akili ni nywele....
 
Akili hizi ndio zile za kuzalisha umeme kisha wananchi wako wenye hio rasilimali kwenye ardhi yao unawauzia kwa bei juu kwa unit 1 kisha wa nje huko unawauzia kwa gharama ndogo kwa unit 1 halafu unajipiga kifua nawapenda wananchi wangu tutatumia rasilimali zetu vizuri, umeme unauzwa kwa gharama ya juu wakati umeme ni rasilimali yetu wenyewe wakati watu wa nje ambao umeme sio rasilimali yao wanauziwa kwa gharama ya chini kabisa lengo ni nini kuwakomoa au kuwatesa wananchi?
 
Sasa nyie ccm nao huwa mnajali kuhusu watu? Nyie mnajali maslahi yenu binafsi ndio maana mnajengeana mahekalu, mnalipana pension hadi wake wa viongozi. Mnanunuliana ma v8 kwa uchumi huu mdogo. Yaani kwa kifupi viongozi wa ccm mmejiamulia kuishi maisha kufuru pasipo kujali wananchi waliowafikisha hapo. Ipo siku mtalipa tu.
Hakika mkuu ipo siku watalipa, hata kama sio wao hata watoto wao watalipia makosa yao....
 
Unamuonea tu Bure. Unamlazimishaje afanye na Hana uwezo? Kwani wewe hujui? 🤣🫣🫣
 
Back
Top Bottom