Rais Samia weka Tanzania mbele, mbona mwenzako Ruto ameweza!

Rais Samia weka Tanzania mbele, mbona mwenzako Ruto ameweza!

Kwani Kila Kiongozi ananunuliwa V8? Hizo ni chache Kwa viongozi wa ngazi ya Mkoa kwenda Juu.

Unadhani zisiponuniliwa ndio maisha yatakuwa Mazuri? Maana hata bil.100 hazifiki.
Hua nakuheshimu sana Mkuu lakini hata kama ni uchawa sasa umefika kwenye ukunguni kabisa... yaani ung'ang'anizi wa hoja...

Hukupaswa kabisa kutetea hoja ya viongozi kununua magari ya kifahari wakati maelfu kwa mamilioni ya watanzania wanakufa kwa kukosa huduma bora za afya. Hiyo bilioni 100 ni pesa ndogo??? Inamaana hazitoshi kufanya jambo?? Leo Trump amekata misaada ya "kiafya" kwa Tanzania... Je ulijipanga kwa hilo??? Hizo bilioni 100 ambaomzo unaona chache zisingefanya jambo??? Kama nchi toka zamani ingeacha utegemezi wa namna hii na kuweka mikakati ya kujitegemea unadhani hizo bilioni 100 zisingefaa kitu???

Mkuu think before post!!
 
Hua nakuheshimu sana Mkuu lakini hata kama ni uchawa sasa umefika kwenye ukunguni kabisa... yaani ung'ang'anizi wa hoja...

Hukupaswa kabisa kutetea hoja ya viongozi kununua magari ya kifahari wakati maelfu kwa mamilioni ya watanzania wanakufa kwa kukosa huduma bora za afya. Hiyo bilioni 100 ni pesa ndogo??? Inamaana hazitoshi kufanya jambo?? Leo Trump amekata misaada ya "kiafya" kwa Tanzania... Je ulijipanga kwa hilo??? Hizo bilioni 100 ambaomzo unaona chache zisingefanya jambo??? Kama nchi toka zamani ingeacha utegemezi wa namna hii na kuweka mikakati ya kujitegemea unadhani hizo bilioni 100 zisingefaa kitu???

Mkuu think before post!!
Huyo muache hivyo hivyo mkuu hana data za kumtosha yeye mwenyewe atakupa data gani za kukusaidia wewe?
 
Hua nakuheshimu sana Mkuu lakini hata kama ni uchawa sasa umefika kwenye ukunguni kabisa... yaani ung'ang'anizi wa hoja...

Hukupaswa kabisa kutetea hoja ya viongozi kununua magari ya kifahari wakati maelfu kwa mamilioni ya watanzania wanakufa kwa kukosa huduma bora za afya. Hiyo bilioni 100 ni pesa ndogo??? Inamaana hazitoshi kufanya jambo?? Leo Trump amekata misaada ya "kiafya" kwa Tanzania... Je ulijipanga kwa hilo??? Hizo bilioni 100 ambaomzo unaona chache zisingefanya jambo??? Kama nchi toka zamani ingeacha utegemezi wa namna hii na kuweka mikakati ya kujitegemea unadhani hizo bilioni 100 zisingefaa kitu???

Mkuu think before post!!
Hoja Haina mashiko,hata magari waliokuwa wanatumia kina Nyerere Yale unajua bei yake na ulaji wa Mafuta ulivyo?

Hiyo hoja yenu ni ya kijinga Kwa sababu hayo.magari hununuliwa Kwa viongozi kuanzia RC/RAS kwenda Juu sio chini ya hapo ambapo ndio Kuna Watendaji wengi.
 
Unaleta stori za kuuza? Hapo hapana data ila Kuna taarifa,ndio kwanza Mradi wa Taza grid interconnectivity uko kwenye ujenzi .

Hakuna tunaemuuzia umeme ila tunanunua,hujui kitu wewe nyumbu.
Wewe wale wanaonunua umeme kwa unit 1 290 unawajua au huwajui?
 
Tatizo la nchi yetu ni viongozi wengi ni wabinafsi nilishangaa kwa utamaduni mfano wa kuwajengea wa Raisi wastaafu mahekalu kwa pesa ya walipa kodi na kulipa wenza wao wakati hii sio kazi ya kulazimishwa.

Rais Samia anatakiwa aweke nchi mbele mwenzake Ruto pamoja na tofauti kubwa ya Odinga wameweka nchi mbele. Wamefanya Chaguzi huru kwa maono ya kimataifa na kwao Kenya ni Kwanza.

Hapa Tanzania Rais anaweka mkwe wake kwenye wizara kwa kazi moja tu kuiba kura kwa CCM. Cha kusikitisha wanaiba mpaka kura za mjumbe wa kikiji!. Sasa ukiangalia vizuri nani hasa ni mnufaika wa wizi?

Mnafanya kazi kwa manufaa ya nani kama wananchi hawawezi kuchagua mtu wao. Kama kweli nyie ni wazalendo kwanini mnapiga vita tume huru na chaguzi huru bila kujali vyama? Nani hasa ni mfaidika kama watu wasipokuwa huru?

Kwa Dunia ya Leo bado matukio ya utekaji yanaendelea hasa kwa wapinzani kijinga jinga na mpaka kuwaua.

Sisi tumekaa kuwacheka wenzetu wana ukabila lakini wameweka nchi mbele na sasa wanashughulikia nchi. Rais Samia badala ya kuwekeza kwenye umoja sasa utatupeleka kwa mwamko wa kisiasa kwasababu vijana wameanza kuchoka kiki na ujinga jinga.

Lakini kibaya zaidi hata yale mambo ambayo hayana vyama kama Rushwa Rais ameacha kupigana na wala rushwa kwasababu ndiyo machawa wake. Mpaka leo mkataba ambao Januari Makamba alisimamia wa Gas hauja siginiwa kwasababu viongozi wako wanatafuta Norway iwape 10% na wamekataa kata na Watanzania hawafaidiki kwasababu ya watu wachache wala rushwa.

Haya yote wakina Lissu watayaleta mbele ya wananchi. Lakini kikubwa weka nchi mbele weka chaguzi huru , tume huru ili wananchi waelekeze nguvu kwenye maendeleo ya nchi
Sawa
 
Hoja Haina mashiko,hata magari waliokuwa wanatumia kina Nyerere Yale unajua bei yake na ulaji wa Mafuta ulivyo?

Hiyo hoja yenu ni ya kijinga Kwa sababu hayo.magari hununuliwa Kwa viongozi kuanzia RC/RAS kwenda Juu sio chini ya hapo ambapo ndio Kuna Watendaji wengi.
Umeibuka na ushindi Mkuu. Hapa ntapoteza muda kabisa... 🤔🤔Stick to it🫡🫡
 
Hilo sio swala la Samia Bali Viongozi wengi wa Tanzania ni wabinafsi,swala la kujengwa Marais nyumba mara kuwapa Magari alianza Magufuli Kwa JK na Mwinyi, wengine Wana endeleza.

Trump amefuta misaada ya kulemaza,hela hizo za wenzako sijui kina nani zifutwe haraka Ili zinunue madawa ya wagonjwa nk.

Sijasema ufisadi umeanza na Samia. Nimesema serikali ni wabinafsi waliopita na waliopo. Hakuna sababu kwanini Raisi Samia anafumbia macho ufisadi na kuwachekea chekea mafisadi kila siku. Yaani ni maajabu kwa watu wanajifanya wazalendo halafu wanaiba kura kwa wananchi ambao wanaomba kuwaongoza. Hakuna uzalendo wa aina hiyo. Lakini hata wanao watetea na kujua wazi ukweli huu ni tatizo kwa nchi yetu na hawasaidii nchi bali ni maadui wa kubwa. Hakuna kitu Nyere alichukia kama rushwa.

Sheria wanajitungia kila siku kujipa mafao wa wenza wao. Mimi binafsi nina habari kubwa za ufisadi wa mkwe wa Raisi ambaye ni waziri TAMISEMI iko siko nitaotoa hapa. Akibiasha tutampa voice note na video
 
Back
Top Bottom