Rais Samia weka Tanzania mbele, mbona mwenzako Ruto ameweza!

Rais Samia weka Tanzania mbele, mbona mwenzako Ruto ameweza!

Hapa Tanzania Rais anaweka mkwe wake kwenye wizara kwa kazi moja tu kuiba kura kwa CCM.
Hivi huyo jamaa alikuwa nani wakati wa Magu ?

Alienda mwenyewe kwao kugombea ubunge ? Au Magu alimptisha kinguvu kwa ombi la Vice President ?
 
Akili hizi ndio zile za kuzalisha umeme kisha wananchi wako wenye hio rasilimali kwenye ardhi yao unawauzia kwa bei juu kwa unit 1 kisha wa nje huko unawauzia kwa gharama ndogo kwa unit 1 halafu unajipiga kifua nawapenda wananchi wangu tutatumia rasilimali zetu vizuri, umeme unauzwa kwa gharama ya juu wakati umeme ni rasilimali yetu wenyewe wakati watu wa nje ambao umeme sio rasilimali yao wanauziwa kwa gharama ya chini kabisa lengo ni nini kuwakomoa au kuwatesa wananchi?
Tanzania ndio Nchi inauza umeme Kwa watu wake Kwa bei ya chini tena ya Ruzuku kuliko Nchi zote.

Maisha ya Cha Bure yanalemaza.
 
Tanzania ndio Nchi inauza umeme Kwa watu wake Kwa bei ya chini tena ya Ruzuku kuliko Nchi zote.

Maisha ya Cha Bure yanalemaza.
We unazungumzia nini nimekwambia gharama za umeme zishuke, sio kupiga soga kwamba unauza gharama nafuu uhakika huna nimesema tofauti ya kuuza nje na ndani kaulize wale wa mipakani ambao wananunua umeme kutoka kwetu mfano mdogo watu wazambia na wale wamalawi wanauziwa umeme kutoka kwetu kwa shilingi ngapi kwa unit? Kisha angalia sisi wenyewe tunauziwa umeme shilingi ngapi kwa unit? Ukimaliza hapo njoo tuzungumze sio kupiga mapambio hapa
 
We unazungumzia nini nimekwambia gharama za umeme zishuke, sio kupiga soga kwamba unauza gharama nafuu uhakika huna nimesema tofauti ya kuuza nje na ndani kaulize wale wa mipakani ambao wananunua umeme kutoka kwetu mfano mdogo watu wazambia na wale wamalawi wanauziwa umeme kutoka kwetu kwa shilingi ngapi kwa unit? Kisha angalia sisi wenyewe tunauziwa umeme shilingi ngapi kwa unit? Ukimaliza hapo njoo tuzungumze sio kupiga mapambio hapa
Hatuuzi umeme Kwa yeyote Bali tunanunua umeme kutoka Baadhi ya mataifa ,hata Sasa Niko mkoa wa mpakani.
 
Tatizo Rais amezungukwa na watu wanaotaka masilahi yao binafsi
 
Hatuuzi umeme Kwa yeyote Bali tunanunua umeme kutoka Baadhi ya mataifa ,hata Sasa Niko mkoa wa mpakani.
Mkoa gani wa mpaka? Wewe jamaa hujui hata masuala ya Nchi yako nenda kamuulize Waziri wako wa Nishati atakuambia ni Nchi gani tunawauzia umeme kwa bei rahisi
 
Mkoa gani wa mpaka? Wewe jamaa hujui hata masuala ya Nchi yako nenda kamuulize Waziri wako wa Nishati atakuambia ni Nchi gani tunawauzia umeme kwa bei rahisi
Wewe hujui kitu nyumbu mkubwa.

Tunanunua umeme Uganda na Zambia
 
Hilo sio swala la Samia Bali Viongozi wengi wa Tanzania ni wabinafsi,swala la kujengwa Marais nyumba mara kuwapa Magari alianza Magufuli Kwa JK na Mwinyi, wengine Wana endeleza.

Trump amefuta misaada ya kulemaza,hela hizo za wenzako sijui kina nani zifutwe haraka Ili zinunue madawa ya wagonjwa nk.
Kumbe wakati mwingine huwa unaweka uchawa kando?!
 
leo mkataba ambao Januari Makamba alisimamia wa Gas hauja siginiwa kwasababu viongozi wako wanatafuta Norway iwape 10% na wamekataa kata na Watanzania hawafaidiki kwasababu ya watu wachache wala rushwa.
Nakubaliana na mengi unayoyasema. Serikali ipo kimya kuhusu Rushwa, ufisadi, tatizo la maji, umeme kukatika, bima.

Hii issue ya gas na Norway ni ukweli. Kuna ushahidi?
 
Kwa nini wanunuliwe ma V8, na kulipana mapension hadi wake wa viongozi.
Kiongozi mstaafu aliyechuma mapesa mengi kwa wizi na ufisadi bado analipwa pension, ananuliwa gari, anabadilishiwa walinzi, analipiwa mishahara wafanyakazi wake binafsi kama sekretari, dereva n.k kwani pesa zake za pensheni zinafanya kazi gani?
Hizo billion 10 kwa mfano ulizosema za v8 zingepelekwa kwenye kutengeneza scheme za umwagiliaji wa kilimo ungegusa maisha ya watanzania wangapi wanaotegemea kilimo cha msimu wa mvua?
[/QUOTE angekuwepo magu ningemshauri atengeneze mindset upya kuwa uongozi ni wito sio njia ya kuusaka utajiri.
 
Tatizo la nchi yetu ni viongozi wengi ni wabinafsi nilishangaa kwa utamaduni mfano wa kuwajengea wa Raisi wastaafu mahekalu kwa pesa ya walipa kodi na kulipa wenza wao wakati hii sio kazi ya kulazimishwa.

Rais Samia anatakiwa aweke nchi mbele mwenzake Ruto pamoja na tofauti kubwa ya Odinga wameweka nchi mbele. Wamefanya Chaguzi huru kwa maono ya kimataifa na kwao Kenya ni Kwanza.

Hapa Tanzania Rais anaweka mkwe wake kwenye wizara kwa kazi moja tu kuiba kura kwa CCM. Cha kusikitisha wanaiba mpaka kura za mjumbe wa kikiji!. Sasa ukiangalia vizuri nani hasa ni mnufaika wa wizi?

Mnafanya kazi kwa manufaa ya nani kama wananchi hawawezi kuchagua mtu wao. Kama kweli nyie ni wazalendo kwanini mnapiga vita tume huru na chaguzi huru bila kujali vyama? Nani hasa ni mfaidika kama watu wasipokuwa huru?

Kwa Dunia ya Leo bado matukio ya utekaji yanaendelea hasa kwa wapinzani kijinga jinga na mpaka kuwaua.

Sisi tumekaa kuwacheka wenzetu wana ukabila lakini wameweka nchi mbele na sasa wanashughulikia nchi. Rais Samia badala ya kuwekeza kwenye umoja sasa utatupeleka kwa mwamko wa kisiasa kwasababu vijana wameanza kuchoka kiki na ujinga jinga.

Lakini kibaya zaidi hata yale mambo ambayo hayana vyama kama Rushwa Rais ameacha kupigana na wala rushwa kwasababu ndiyo machawa wake. Mpaka leo mkataba ambao Januari Makamba alisimamia wa Gas hauja siginiwa kwasababu viongozi wako wanatafuta Norway iwape 10% na wamekataa kata na Watanzania hawafaidiki kwasababu ya watu wachache wala rushwa.

Haya yote wakina Lissu watayaleta mbele ya wananchi. Lakini kikubwa weka nchi mbele weka chaguzi huru , tume huru ili wananchi waelekeze nguvu kwenye maendeleo ya nchi
Mwongo mkubwa,sijui umelishwa kasumba?
Kenya ni ngonjela tu.Watu waongo, walafi na vigeugeu wenye mitazamo ya mimi kwanza ni aibu kwa demokrasia ya kweli.
Kupata katiba mpya je wameiheshimu?
Mbona ni kesi za uporaji wa kura zisizoisha uchaguzi hadi uchaguzi?
 
Back
Top Bottom