Rais Samia yuko hivi na kuelewa hivi kuanzia leo

Unaufahamu Mkuu suala la ubaguzi uliasisiwa na huyo usiyetaka atajwe. Watu wana maumivu makubwa sana hasa Kisiasa na Kiuchumi. Raia walibaguliwa kwakuwa tu ni Wapinzani. Watu waliporwa Fedha zao kwakudhaniwa tu Wana msaada Kwa Wapinzani. Sasa mbegu hiyo imeshaota tena Kwa kasi kubwa ndani ya Chama Tawala na Serikali yake. Hakuna kuheshumiana tena. Kuna mpasuko mkubwa sana unaosababishwa na kundi fulani.

Kinachopaswa kufanyika hivi sasa ni kuhakikisha Katiba hii hii mbovu tulionayo inaheshimiwa. Kiongozi alioko Madarakani aongoze kwa HAKI na kufuata SHERIA za Nchi asionee mtu kwakuwa ana Madaraka. Akifanya hivyo haya mambo ya Uchama yatatoweka na hapo tutajenga Nchi yetu kwa pamoja.
 
Huna lolote

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Sio DPP kufuta kesi tu bali kuhakikisha kina Kingai, Jumanne, Goodluck, Mahita na wengine wa aina hiyo wanashughulikiwa kwa mujibu wa Sheria za Nchi. Na wale wote walioumizwa nao walipwe fidia.
 
Mtaandika nyuzi nyingi nyie wasukuma, mungu wenu wa Chato ndiyo huyo anazidi ku rot in hell, hamna namna
Hivi huwa mmelalia chimpumu kabla ya kuingia JF? Tangu lini Salary Slip wakawa wapenzi wa JPM? Huyu ni chadema na mtu aliyecheza mdundiko JPM alivyokufa na mpaka leo hapendi hata kutusikia wafuasi wa JPM. Kumuita mfuasi wa JPM inaonesha unavyokurupuka na mning’inio juu wa kangara.

Kwako kishina cha mshahara, leo umefunuliwa na bado
 
Rubbish
 
Sisi tuliishamuelewa siku nyingi wakati huo ninyi mnasema anaupiga mwingi.
 
Kwenye miaka 60 ya uhuru ya jpm ni mitano tu. Kama utamlaumu sana basi kunatatizo
 
Siyo kazi yangu kukariri nani shabiki wa nani. Najibu hoja kwa namna inavyokuja
 
Umetoa ya moyoni ndugu yangu lakini bado tuna ushabiki sana katika ujenzi wa hoja juu ya Rais aliepita na huyu tulie nae. Rais aliepita ndio engineer wa mifumo ya hovyo coz serikalii yake ilikuwa na opportunists wengi sana mpaka maprofesa wakongwe kama mzee jalalani. Kumbuka kaka serikalii ni ileile aliebadilika na Rais tu wateule wengi ni walewale hivyo we expect the narrow change. Wakati huu ni bora tumalize tofauti zetu, tuwe pamoja ili tujue ni wapi tulikosea na nini kifanyike ili kuondoa mizizi ya kutukuza individuals badala ya taifa
 
Mama amewalea na kuwadekeza sana hawa sukuma gang na hilo ndio kosa lake,alipaswa kuwapiga chini mapema saana ili wasimsumbue.

Wameshajua udhaifu wake kuwa anawaogopa na wanatumia hiyo kama fimbo ya kumchapa.
Achague moja tu kusuka or kunyoa,yaani akubali kupelekeshwa na hao sukuma gang ili wamuharibie aonekane hafai au awatimue wote na kuwadhibiti kwa nguvu ili kuwanyamazisha aongoze vyema.
 
Mama D nimekuelewa sana tatizo la Hangaya kichwani mtupu sasa ukimshauri kitaalamu anaona unamdharau
Hukuona yaliomkuta Mkenda?
Wazee wa kazi kama Mwigulu wamemjulia wanamshauri kile anachotaka kusikia vingine wanamuacha kwenye document wanajua hata soma hata iweje ije jua inyeshe mvua
 
Tuna bahati mbaya sana kuongozwa na watu wawili wasio na sifa za urais mfululizo
 
Kwa hiyo kila anayemuunga mkono JPM ni msukuma. Unasema si kazi yako kukariri lakini umekariri wasukuma. Pole sana.
Siyo kazi yangu kukariri nani shabiki wa nani. Najibu hoja kwa namna inavyokuja
 
Ni dhaifu balaa yani utafikiria raisi wa wasafi
 
We mzanzibar acha matusi
Utachekwa na wanaonijua duuh yaani umeamua kunihamisha na kunipeleka Zanzibar ?!! 🤣🤣

Kumbe tulipokuwa tunamsapoti JPM hatukuwa wazanzibari isipokuwa kipindi hiki tu ha ha ha
 
Hiki ndio kimemgharimu Kamanda wa Anga ingawa hakuwa na kosa(udhaifu wa Mama unahusika),
Kwani hiyo kesi ya kamanda wa anga si ya 2020?hebu tumieni nguvu kuipangua kwa hoja, badala ya kulialia
 
Hivi mnadhani magufuri wakati nakiwa makali mnadhani alokuwa anapenda sana
Yule alikuwa mdhaifu zaidi ya huyu... (na kwa jinsi ccm walivyo na mifumo ya kulindana hatokaa atokee bora upande wao)!
Viongozi wa kiccm wamekaa kubebana kitimu na kulinda maslahi ya kikanda...
Fake, incompetent and unrealistic power mongers
 
Unamuonea Mama bure tu kwa sababu yeye mwenyewe alishakiri mbele ya uma wa Watanzania kuwa hakujiandaa kuwa Rais.

Kama wewe ni mtu mzuri kama mimi mshauri Mama ajiuzulu hiyo nafasi ya Urais kwa sababu alishakiri yeye mwenyewe kuwa hakujiandaa kuwa Rais.
 
Kwa baadhi ya mambo, Mama huchukua hatua sio kwa kusukumwa na dhamira njema, bali husukmwa na nafsi ya ngoja niwaonyeshe/nimuonyeshe mimi ni nani au si anajifanya/wanajifanya wajanja ngoja sasa niwaonyeshe.
Tabia za kwenye mitala hizi, analeta kwenye mambo ya nchi tena.. tumepigwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…