Rais Samia yuko hivi na kuelewa hivi kuanzia leo

Kwa kifupi, ni mtu wa “Personal vendettas”
 
Ni kweli. Hakuna mtu anapenda kudharauliwa. Mama aendelee na nsimamo huo ili waliomzunguka wajenge heshima na nidhamu. Huo ndio ustaarabu.
 
Hii nchi kipo kikundi kidogo tu cha watu kinachoamua namna ya wengi kuishi
 
Hakuna pahala uliwai andika kwa mkono wako nikashindwa kuelewa.mm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…