Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
1. JULIUS KAMBARAGE NYERERE.
Majaribu ya vita ya Kagera kukoswakoswa mapinduzi na hatimae uchumi kudorora miaka ya 80s.
2. ALI HASSAN MWINYI.
Mabucha ya nguruwe wabunge wa G55 na vuguvugu la mabadiliko ya vyama vingi.
3. BENJAMIN WILLIUM MKAPA.
Mauwaji ya mwembe chai almanusura vita ya Burundi na tanzania kifo cha NYERERE ubinafsishaji nk.
4. JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Eskrow, EPA, Meremeta mabomu kulipuka kwenye makambi ya jeshi chokochoko za malawi.
5. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
Huyu matatizo mengi alijitafutia mwenyewe mwana kulitafuta mwanakulipata na kwa muda aliokaa madarakani hatuwezi kumpima kama alikuwa tested.
6. SAMIA SULUHU HASSAN.
Muungano na kampuni ya DP World.
Kwa kifupi hoja yangu ni kwamba kila kiongozi hupitia majaribu na lazima awe tested mwisho wa siku TANZANIA itabaki salama.
Majaribu ya vita ya Kagera kukoswakoswa mapinduzi na hatimae uchumi kudorora miaka ya 80s.
2. ALI HASSAN MWINYI.
Mabucha ya nguruwe wabunge wa G55 na vuguvugu la mabadiliko ya vyama vingi.
3. BENJAMIN WILLIUM MKAPA.
Mauwaji ya mwembe chai almanusura vita ya Burundi na tanzania kifo cha NYERERE ubinafsishaji nk.
4. JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Eskrow, EPA, Meremeta mabomu kulipuka kwenye makambi ya jeshi chokochoko za malawi.
5. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
Huyu matatizo mengi alijitafutia mwenyewe mwana kulitafuta mwanakulipata na kwa muda aliokaa madarakani hatuwezi kumpima kama alikuwa tested.
6. SAMIA SULUHU HASSAN.
Muungano na kampuni ya DP World.
Kwa kifupi hoja yangu ni kwamba kila kiongozi hupitia majaribu na lazima awe tested mwisho wa siku TANZANIA itabaki salama.