Rais Samia yuko tested kila rais alipitia majaribu na tukavuka salama

Rais Samia yuko tested kila rais alipitia majaribu na tukavuka salama

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
1. JULIUS KAMBARAGE NYERERE.
Majaribu ya vita ya Kagera kukoswakoswa mapinduzi na hatimae uchumi kudorora miaka ya 80s.

2. ALI HASSAN MWINYI.
Mabucha ya nguruwe wabunge wa G55 na vuguvugu la mabadiliko ya vyama vingi.

3. BENJAMIN WILLIUM MKAPA.
Mauwaji ya mwembe chai almanusura vita ya Burundi na tanzania kifo cha NYERERE ubinafsishaji nk.

4. JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Eskrow, EPA, Meremeta mabomu kulipuka kwenye makambi ya jeshi chokochoko za malawi.

5. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
Huyu matatizo mengi alijitafutia mwenyewe mwana kulitafuta mwanakulipata na kwa muda aliokaa madarakani hatuwezi kumpima kama alikuwa tested.

6. SAMIA SULUHU HASSAN.
Muungano na kampuni ya DP World.

Kwa kifupi hoja yangu ni kwamba kila kiongozi hupitia majaribu na lazima awe tested mwisho wa siku TANZANIA itabaki salama.
 
Hakuna majaribu yoyote anayopotia President Samia,mnajitekenya wenyew na mnacheka wenyew,Samia ni president mwenye weledi mkubwa sana,na so far kaz zake ni extra ordinary...piga Kazi Samia hawa tushawazoea kelele zao ni za mitandaoni tuh Njaa kali
 
Hakuna majaribu yoyote anayopotia President Samia,mnajitekenya wenyew na mnacheka wenyew,Samia ni president mwenye weledi mkubwa sana,na so far kaz zake ni extra ordinary...piga Kazi Samia hawa tushawazoea kelele zao ni za mitandaoni tuh Njaa kali
WApambe mnaokula hudharau wenye njaa....wapambe nyie huvimbiwa na kutoona mbali...tumeona wengi akina makonda ...nchi sio yenu.hii...
 
WApambe mnaokula hudharau wenye njaa....wapambe nyie huvimbiwa na kutoona mbali...tumeona wengi akina makonda ...nchi sio yenu.hii...

Wewe nani kakuambia bandari inauzwa??

Watu siyo wajinga kias hiko kama unavyodhani,wengi mmezoea kuibiwa pale bandarin Kila mwaka ,imetosha sasa tulien mama awaletee maendeleo,acheni fujo
 
1. JULIUS KAMBARAGE NYERERE.
majaribu ya vita ya kagera kukoswakoswa mapinduzi na hatimae uchumi kudorora miaka ya 80s.

2. ALI HASSAN MWINYI.
mabucha ya nguruwe wabunge wa G55 na vuguvugu la mabadiliko ya vyama vingi.

3. BENJAMIN WILLIUM MKAPA.
mauwaji ya mwembe chai almanusura vita ya Burundi na tanzania kifo cha NYERERE ubinafsishaji nk.

4. JAKAYA MRISHO KIKWETE.
eskrow epa meremeta mabomu kulipuka kwenye makambi ya jeshi chokochoko za malawi.

5. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
huyu matatizo mengi alijitafutia mwenyewe mwana kulitafuta mwanakulipata na kwa muda aliokaa madarakani hatuwezi kumpima kama alikuwa tested.

6. SAMIA SULUHU HASSAN.
muungano na kampuni ya dp world.

Kwa kifupi hoja yangu ni kwamba kila kiongozi hupitia majaribu na lazima awe tested mwisho wa siku TANZANIA itabaki salama.
Hapo namba 5 umeonesha chuki tu.Huna hoja yoyote! Swine.
 
1. JULIUS KAMBARAGE NYERERE.
Majaribu ya vita ya Kagera kukoswakoswa mapinduzi na hatimae uchumi kudorora miaka ya 80s.

2. ALI HASSAN MWINYI.
Mabucha ya nguruwe wabunge wa G55 na vuguvugu la mabadiliko ya vyama vingi.

3. BENJAMIN WILLIUM MKAPA.
Mauwaji ya mwembe chai almanusura vita ya Burundi na tanzania kifo cha NYERERE ubinafsishaji nk.

4. JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Eskrow, EPA, Meremeta mabomu kulipuka kwenye makambi ya jeshi chokochoko za malawi.

5. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
Huyu matatizo mengi alijitafutia mwenyewe mwana kulitafuta mwanakulipata na kwa muda aliokaa madarakani hatuwezi kumpima kama alikuwa tested.

6. SAMIA SULUHU HASSAN.
Muungano na kampuni ya DP World.

Kwa kifupi hoja yangu ni kwamba kila kiongozi hupitia majaribu na lazima awe tested mwisho wa siku TANZANIA itabaki salama.

SIJAWAHI KUONA PUMBA NA MASHUDU KAMA HAYA ULIYOANDIKA HAPA JF.

UMEJITHIBITISHIA KUWA WEWE NI MMOJA KATI YA WAJINGA WAKUBWA HAPA JUKWAANI.


HOVYOOO
 
Samia uwezo wake mdogo unamfanya aingie kwenye Matatizo makubwa sana.
 
1. JULIUS KAMBARAGE NYERERE.
Majaribu ya vita ya Kagera kukoswakoswa mapinduzi na hatimae uchumi kudorora miaka ya 80s.

2. ALI HASSAN MWINYI.
Mabucha ya nguruwe wabunge wa G55 na vuguvugu la mabadiliko ya vyama vingi.

3. BENJAMIN WILLIUM MKAPA.
Mauwaji ya mwembe chai almanusura vita ya Burundi na tanzania kifo cha NYERERE ubinafsishaji nk.

4. JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Eskrow, EPA, Meremeta mabomu kulipuka kwenye makambi ya jeshi chokochoko za malawi.

5. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
Huyu matatizo mengi alijitafutia mwenyewe mwana kulitafuta mwanakulipata na kwa muda aliokaa madarakani hatuwezi kumpima kama alikuwa tested.

6. SAMIA SULUHU HASSAN.
Muungano na kampuni ya DP World.

Kwa kifupi hoja yangu ni kwamba kila kiongozi hupitia majaribu na lazima awe tested mwisho wa siku TANZANIA itabaki salama.
Ukiandika KINAFIKI NA KISHABIKI HUWEZI TOA TIJA
 
Back
Top Bottom