Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Anajiandaa kwenda msibani IranSijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
Bora abaki kimya hivyo hivyo maana tumechoka na teuzi zake zisizo na tija kwa wananchiSijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
Akikuteua Wewe Utasema umechoka kuapishwa?🐼Bora abaki kimya hivyo hivyo maana tumechoka na teuzi zake zisizo na tija kwa wananchi
Sihitaji nahitaji nafasi itangazwe tushindane kwa sera na mipango, teua hamisha tengua fukuza unajua gharama zake? pia mfumo mbovu kama huu hatuwezi kupata watu wazuri, kila mwenye masters sahivi anapambana kuwa chawa apate uteuzi. Hovyo kabisaAkikuteua Wewe Utasema umechoka kuapishwa?🐼
Itakuwa kashaondoka mpk dak hiiAnajiandaa na safari kwenda msibani huko Iran.
Ushindane na nani na akili yako ndogo hiyo isiyo na uwezo wa kuchambua na kulewa vitu zaidi ya kukurupuka tu na mihemukoSihitaji nahitaji nafasi itangazwe tushindane kwa sera na mipango, teua hamisha tengua fukuza unajua gharama zake? pia mfumo mbovu kama huu hatuwezi kupata watu wazuri, kila mwenye masters sahivi anapambana kuwa chawa apate uteuzi. Hovyo kabisa
Punguza uchawa pimbi wewe.Acheni ujinga wenu na utoto wa kijinga.mnataka aonekane muda wote hadharani kwani yeye amekuwa jua? unaposema habari za kuhudhuria kikao cha kamati kuu, kwani ni lazima aongoze vikao vyote yeye. Nini maana ya uwepo wa makamu zake wenyeviti. Acheni ulimbukeni na ushamba wenu. Kama huna cha kuandika si bora ukae kimya tu.
Wewe huwa hujitambui .unaandikaga chochote kinachokujia bila hata kuwaza.Bora abaki kimya hivyo hivyo maana tumechoka na teuzi zake zisizo na tija kwa wananchi
Ondoa ujinga wako hapa wewePunguza uchawa pimbi wewe.
Nafasi zitangazwe hata nyie UWT muombe tushindane mkishinda sawa sina nenoUshindane na nani na akili yako ndogo hiyo isiyo na uwezo wa kuchambua na kulewa vitu zaidi ya kukurupuka tu na mihemuko
ShwainiOndoa ujinga wako hapa wewe
Nilijua kiranja wa machawa lazima aibuke.Acheni ujinga wenu na utoto wa kijinga.mnataka aonekane muda wote hadharani kwani yeye amekuwa jua? unaposema habari za kuhudhuria kikao cha kamati kuu, kwani ni lazima aongoze vikao vyote yeye. Nini maana ya uwepo wa makamu zake wenyeviti. Acheni ulimbukeni na ushamba wenu. Kama huna cha kuandika si bora ukae kimya tu.
Huna adabu kabisa wewe.inaonyesha umekosa malezi mazuri ya wazazi wako. Acha kuandika vitu utafikiri umelewa Pombe.Huyu mama anazulula sana.. Miguu na kichwa lazima aumwe..