Ukiiangalia Zanzibar kama Zanzibar nipadogo lakini padogo penye mambo makubwa, mhalifu kutoka eneno lolote anaweza kuingia Zanzibar", Rais Samia ameyasema hayo alipokuwa akifungua Kikao Kazi cha Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Makao Makuu Makamanda wa Polisi wa Mikoa/Vikosi katika Shule ya Polisi Tanzania(TPS) Moshi, tarehe 30 Agosti, 2022.
Chanzo: Mwananchi
Chanzo: Mwananchi