Mabeyo yupo na kikosi imara na yuko na mama na halishamuhakikishia hilo, hyo ndugai na kundi lake watapigwa kata funua matata na utakuwa ndio mwisho wao. Ole wao.Mama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
Hakuna mtu ambae anaishi kama digi digi kwa sasa kama Ndugai.Hawezi. Rais hamteui spika.
Mkuu upo kwenye giza nene sana.
Haujui unachokiandika.
Nakushauri uwe na macho mapana sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ww na wasukuma wenzako ndo hamna imani nae,kafukueni ule mzoga wenu muujaze upepo muwe mnausujudia,,, Samia Rais hadi #2045". Utaki hama nchi kenge ww
Jk ni fundi sijapata ona, yuko na mama na hakuna jambo linalotendeka kwenye hii nchi jk asiwe informed.
Kura ya kutokuwa na imani na rais inaweza kusabaisha bunge kuvunjwa, 80% ya wabunge wa CCM waliopewa ubunge mezani hawatarudi bungeni na mama atapeta kwa kuunda team yake. Tunaombea hilo litokee.Mama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa kasi sana na Ndugai ndio engineer wa hilo kwa kupitia Wabunge na ameandaa wachangiaji wa kukushutumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono.
Hadi kufikia huko sidhani kama atakuwa mjinga kiasi hicho asivunje bunge.Mama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa kasi sana na Ndugai ndio engineer wa hilo kwa kupitia Wabunge na ameandaa wachangiaji wa kukushutumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono.
Safi sana fasta anatangaza kuvunja bunge[emoji3][emoji3][emoji3]Hawana ubavu huo atawawahi kabla ya kumuwahi.