Hahahahaaaaaaaah!! Tena wakati naingia madarakani sukari ilikuwa elfu 5, kwahiyo aliteleza hata kuingia madarakani? Pascal Pascal unapotea kidogi kidogo!?kutokuwa mkweli ni neno pana, not being truthful kwa kukosea, wrongly, lakini kuwa muongo ni lier telling lies kudanganya.
Mfano kusema sukari ilikuwa TZS 5,000 au Saadam rais wa Kuwaiti ni kuteleza tuu ulimi by being not correct lakini sio kudanganya.
P.
Kuna uwanja wa ndege wa kimataifa uliogharimu zaidi ya bilioni 45 kule wilayani Chato unauzungumziaje huo uwanja nini athari yake kiuchumi kama taifa?Ndugu Mayalla, umenena ya kweli, Rais Dr Magufuli ingelikuwa( it would have been a blessing) ni baraka kwa Tanzania kama angalikuwa ndiye aliyeshika madaraka awamu ya tatu kwani ni mkweli na amehuzunishwa sana kwa viwanda na mashirika ya umma kuzikwa na awamu ya tatu na nne!msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Viongozi walikuwa wamelewa madaraka wakawa wanakula bila hata kunawa mikono. Mfano wa ulevi wa madaraka ya kupindukia ni ujenzi wa ofisi za spika kujengwa na awamu ya nne kule Tabora!!!what a shame!!!!sasa je Spika Ndugai anaweze kujenga ofisi ya spika kule Kongwa/Mpwapwa??? Rais Magufuli angalimtafuna kwa meno! it can never ever happen under President Dr Magufuli!!! Huu ndiyo ukweli, Dr Magufuli yupo kwenye nyayo za Mwl Nyerere. Viongozi wanaficha pesa nchi za nje na kuziita vijisenti! Viongozi wanauza nchi na kuwaita wanaowatuhumu ‘TUMBILI’ unbelievable. Mwacheni Rais anyooshe taifa, kurudisha nidhamu makazini, kuheshimu madaraka. Kudos President Dr Magufuli - makosa madogomadogo yasikupe preshia, you are not an Angel.
Haki yako ni kujenga hoja dhidi ya hoja iliyopo mbele yako na si vinginevyoNaona unataka kuiminya Haki yangu ya kutoa maoni
Kama angekuwa mkweli angekili kuwa ni yeye aliyeamuru Ben sa8 auawe, tl ashambuliwe nk.Mkuu FM1, kwanza title ya bandiko kutokuwa mkweli ni tofauti na content ya kuwa muongo!.
Bila kuingilia uhuru wako wa maoni, japo nakiri inconsistency ya rais Magufuli katika baadhi ya mambo, lakini kiukweli kabisa ukimuondoa Mwalimu Nyerere, rais Magufuli ndiye rais wa pili wa Tanzania ambaye ni mkweli hadi kupindukia.
Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli Wake, Hata Kama Uko Kinyume cha Katiba, Sera na Ilani?. - JamiiForums
"Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?" - JamiiForums
P.
Hoja yangu nimeijenga vizuri ila najua haujaifurahia.Haki yako ni kujenga hoja dhidi ya hoja iliyopo mbele yako na si vinginevyo
Mkuu, hapo kwenye sukari huenda alisema ukweli, si unajua wao hua hawanunui chochote, hununuliwa kila kitu na serikali/sisi so huenda alikua hajui bei ya sukari kabla na baada, this is why!Uongo wa Watanzania huanzia kwenye familia na baadaye unakuwa wa jamii nzima.
Tuliambiwa hapa kwamba wakati serikali ya 5 ikiingia madarakani sukari ilikuwa kilo 5000 na wakashusha hadi 1800/2000.
Jambo hili ni baya sana.
Halafu , hivi mtu msema kweli anajipima yeye kuwa msema kweli? Anajitangaza yeye kuwa msema kweli? Siyo matendo na kauli zako vitakavyokufanya uonekane msema kweli?
Ahsante sana Paschal kwa maoni. Nilivyosoma andiko lako kidogo ilinishangaza nikajiuliza hivi ni huyu Paschal ninayemfahamu au mtu ame-hack jina lako na password yako au jana jumapili ulitoka happy hour ukachoka kidogo...Hizo ni assumptions zangu tu. Nisamehe kwa mawazo yangu.Data za kukua kwa uchumi zinatolewa na Word Bank, BOT na TBS, ni numbers, and numbers don't lie. Kwenye ukuaji wa uchumi ni kweli uchumi wetu unakuwa kwa kasi ya asilimia 7%, sasa ukuaji huo unamfaidia nani hayo ni mengine.
hii ni issue ya uchunguzi wa kijinai ya kipolisi, kama unauhakika unajua kuwa anajua, na sio assumption tuu, karipoti kunako husika, ukiona hakuna hatua ndipo njoo ututhibitishie tuchagize apelekwe the Hague.
Hili ni issue ya jinai kila mtu anajua waliohusika ni watu wasiojulikana na jeshi letu la police linaendelea na uchunguzi. Sasa wewe mwenzetu kama unauhakika na haya kuwa unawajua hadi walio order, na ukitafutwa utathibisha, then lisaidie jeshi letu la polisi karipoti unachojua, kwenye hili la Lisu nilishauri.
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums
Kuhusu wasiojulikana hawa ni kina nani, tuli wa classify into two groups la wasiojulikana na 'wasiojulikana'
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums
Ila pia kufuatia Jeshi letu la polisi kutotoa mrejesho wowote, tukashauri humu kama serikali imeshindwa kuwabaini, iseme isaidiwe ila pia as a sign of good citizenship, una duty of care na obligation ya kuisaidia nchi yako jambo lolote ambalo unaweza kusaidia, hivyo nilitoa wito huu
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Sikumbuki kama alisema ni fedha za ndani 100 %. Hata kama tunachangia asilimia moja then bado yuko right sio uongo.
P
Kuna ukweliUongo umeshakuwa kitu cha kawaida katika nchi yetu, Serikali yetu haikuwahi kuaminika na itaendelea kutoaminika.
Rais si mkweli, mbabe, ukandamizaji wa haki za raia, matumizi mabaya ya madaraka, matumizi mabaya ya fedha za umma (Bado tunadaiwa mabilioni kama siyo matrillioni ya shillingi kutokana na tabia yake ya kukosa uvumilivu na kuvunja mikataba ovyo ovyo).
Mawaziri hawasemi ukweli kuanzia kwenye ukuaji wa uchumi hadi kwenye elimu ndiyo maana unasikia siku hizi tamko linatolewa halafu linafutwa utadhani linafanywa na watoto wa darasa la kwanza! Tunaambiwa uchumi unakua....kivipi? Bank ya dunia imeshasema haukui kama jinsi ilivyotabiriwa (forecast) serikali inasema unakuwa kwa 7.2% World Bank wanasema unakua chini ya 6.6% na ni sekta moja ya ujenzi ndiyo unakua kwingine kote hakuna ukuaji...hivyo hakuna uwiano wa ukuaji na wakifanya uchunguzi kwenye quarter hii inayokuja uchumi wetu unaweza ukawa umekuwa kwa asilimia chini ya 5.
Kwenye elimu huko nako wanajichanganya....ni propaganda tupu. Huyu waziri haeleweki anafanya nini? Anachofanya kwa ufanisi ni kuvifunga Vyuo vikuu badala ya kuvisaidia ili vikue....yeye anakomesha tu, Wahitimu wa darasa la saba wengi kwa malaki waliofaulu wamekosa nafasi ya kuingia kidato cha kwanza.....wanafunzi hawa watakuwa mitaani wakipigana vikumbo na wanafunzi wa vyuo vikuu binafsi na wa vyuo vya kati, na vya waalimu waliomaliza ambao hawana ajira kwa miaka mitatu sasa, TUMEAMBIWA HAKUNA KUAJIRI SASA HADI KIBALI KITAKAPOTOLEWA NA SASA IMESHAPITA MIAKA MITATU na hakuna mpango wa kuwasaidia, Hawa wahitimu watakaa bila kazi kwa miaka yote hii?
Serikali ikiambiwa hilo ni bomu linalosubiri kupasuka wanaanza kukamata hao wanaowakumbusha wajibu wao! Gavana wa benki kuu yeye kazi yake kufunga Mabenki badala ya kuyasaidia ili yakue yaweze kuwafikia wananchi hadi wa vijijini...... Gavana hana elimu ya fedha, alikuwa mwalimu wangu pale Mlimani.
Waziri wa Fedha anasema hali itakuwa ngumu kwa kuwa wafadhali wamepunguza misaada.....Hivi kweli kupunguza misaada tu kunaweza kufanya hali ikawa mbaya hivi? Hapo bado hawajakata misaada yote! Mbona tuliambiwa tunafanya miradi kwa PESA ZETU WENYEWE! Rais kasema kwa msisitizo kuwa pesa zipo sasa waziri anaongea nini? Mpango anatuambia kuwa masharti tuliyopewa ni kukubaliana na ushoga kitu ambacho si ukweli.......SHAME ON WAZIRI MPANGO!
Mbona kuna mambo kumi na tano (15) hataki kuyasema....anaona hilo moja la ushoga tu? Hata hilo la ushoga kama anavyosema huyo waziri halilazimishi nchi kuwatambua mashoga bali linataka lisivunje haki zao za msingi kama kuwakamata na kuwafunga....Mbona Makonda alitajwa? Hiyo sheria ya kuwakamata washukiwa wa ushoga inavunja haki za msingi za binadamu.
Kila waziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wanaropoka angalau waonekane na Magufuli huku wananchi wakiumia.
Mkuu wa majeshi inaonekana naye ana taaluma ndogo (semi-illiteracy) anaingilia mambo ya polisi na mahakama wakati kazi ya jeshi inafahamika ni kulinda mipaka yetu siyo kusimamia ununuzi wa korosho, anafanywa mjinga na rais wake, jeshi linashushwa hadhi limekuwa la propaganda, Juzi akiongea bila aibu amesema jeshi letu kwa ubora ni la 27 duniani.....NI KWA UBORA UPI?
Jeshi hili lenye obsolete equipments kama ndege za mwaka 1965 za shenyang J-6 na J-7 ambazo hazitumiki tena duniani zipo kwenye museum, au helicopters (Eurocopters, bells)ambazo siyo "gunship" kwa strength tupo namba 98 na 99 kwa ubora, level moja na Sudan kusini, tumeshindwa na majirani zetu isipokuwa Burundi tu.
Mkuu wa majeshi kudanganya hakusaidii sana....uwe mkweli acha habari za kuokoteza au hisia zako.....Tafuta facts la sivyo utajiabisha na kuaibisha nchi yetu.
Mkuu wa polisi na polisi wake hawa ndiyo maarufu kwa kudanganya ila uwongo wao hauna akili hata kidogo....Hilo la MO Dewji limewaondolea heshima, utekaji feki mlioufanya hata kwenye michezo ya katuni ya watoto haupo.....Ahsanteni sana kwa kutupa moyo kuwa watekaji wa MO walimrudisha salama na bunduki zao.....HILO LINAWEZEKANA TANZANIA TU! Mmetuaminisha kuwa watekaji hao ni watu wema sana na wameshaacha uhalifu.....Vipi kuhusu vidole vyao (Fingerprints zao kwenye bunduki na kwenye hilo gari fake?) mmeshazipata? Mmetuacha hoi na hiyo CCTV zenu............Hongereni sana!
Makonda aliwaona wazungu wawili ila walibadilika baadaye wakawa wa- South Africa weusi......Kweli hiyo Bongo movie ni kali.
Tanzania tunarudi nyuma miaka 50. kwa uongozi huu wa Magufuli na wasaidizi wake.
DahBrother nazidi kukushushia heshima huku tunapoelekea kwa kumtetea huyo mtu. Katekeleza lipi kati ya aliyoongea hapo hadi sasa? Tusimwite muongo kwa hii style? Yeye anashughulika na kumkomoa mbowe tu. Ipo siku yake usiyo na jina yajaView attachment 970070
Uongo umeshakuwa kitu cha kawaida katika nchi yetu, Serikali yetu haikuwahi kuaminika na itaendelea kutoaminika.
Rais si mkweli, mbabe, ukandamizaji wa haki za raia, matumizi mabaya ya madaraka, matumizi mabaya ya fedha za umma (Bado tunadaiwa mabilioni kama siyo matrillioni ya shillingi kutokana na tabia yake ya kukosa uvumilivu na kuvunja mikataba ovyo ovyo).
Mawaziri hawasemi ukweli kuanzia kwenye ukuaji wa uchumi hadi kwenye elimu ndiyo maana unasikia siku hizi tamko linatolewa halafu linafutwa utadhani linafanywa na watoto wa darasa la kwanza! Tunaambiwa uchumi unakua....kivipi? Bank ya dunia imeshasema haukui kama jinsi ilivyotabiriwa (Projected) serikali inasema unakuwa kwa 7.2% World Bank wanasema unakua chini ya 6.6% na ni sekta moja ya ujenzi ndiyo unakua kwingine kote hakuna ukuaji...hivyo hakuna uwiano wa ukuaji na wakifanya uchunguzi kwenye quarter hii inayokuja uchumi wetu unaweza ukawa umekuwa kwa asilimia chini ya 5.
Kwenye elimu huko nako wanajichanganya....ni propaganda tupu. Huyu waziri haeleweki anafanya nini? Anachofanya kwa ufanisi ni kuvifunga Vyuo vikuu badala ya kuvisaidia ili vikue....yeye anakomesha tu, Wahitimu wa darasa la saba wengi kwa malaki waliofaulu wamekosa nafasi ya kuingia kidato cha kwanza.....wanafunzi hawa watakuwa mitaani wakipigana vikumbo na wanafunzi wa vyuo vikuu binafsi na wa vyuo vya kati, na vya waalimu waliomaliza ambao hawana ajira kwa miaka mitatu sasa, TUMEAMBIWA HAKUNA KUAJIRI SASA HADI KIBALI KITAKAPOTOLEWA NA SASA IMESHAPITA MIAKA MITATU na hakuna mpango wa kuwasaidia, Hawa wahitimu watakaa bila kazi kwa miaka yote hii?
Serikali ikiambiwa hilo ni bomu linalosubiri kupasuka wanaanza kukamata hao wanaowakumbusha wajibu wao! Gavana wa benki kuu yeye kazi yake kufunga Mabenki badala ya kuyasaidia ili yakue yaweze kuwafikia wananchi hadi wa vijijini...... Gavana hana elimu ya fedha, alikuwa mwalimu wangu pale Mlimani.
Waziri wa Fedha anasema hali itakuwa ngumu kwa kuwa wafadhali wamepunguza misaada.....Hivi kweli kupunguza misaada tu kunaweza kufanya hali ikawa mbaya hivi? Hapo bado hawajakata misaada yote! Mbona tuliambiwa tunafanya miradi kwa PESA ZETU WENYEWE! Rais kasema kwa msisitizo kuwa pesa zipo sasa waziri anaongea nini? Mpango anatuambia kuwa masharti tuliyopewa ni kukubaliana na ushoga kitu ambacho si ukweli.......SHAME ON WAZIRI MPANGO!
Mbona kuna mambo kumi na tano (15) hataki kuyasema....anaona hilo moja la ushoga tu? Hata hilo la ushoga kama anavyosema huyo waziri halilazimishi nchi kuwatambua mashoga bali linataka lisivunje haki zao za msingi kama kuwakamata na kuwafunga....Mbona Makonda alitajwa? Hiyo sheria ya kuwakamata washukiwa wa ushoga inavunja haki za msingi za binadamu.
Kila waziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wanaropoka angalau waonekane na Magufuli huku wananchi wakiumia.
Mkuu wa majeshi inaonekana naye ana taaluma ndogo (semi-illiteracy) anaingilia mambo ya polisi na mahakama wakati kazi ya jeshi inafahamika ni kulinda mipaka yetu siyo kusimamia ununuzi wa korosho, anafanywa mjinga na rais wake, jeshi linashushwa hadhi limekuwa la propaganda, Juzi akiongea bila aibu amesema jeshi letu kwa ubora ni la 27 duniani.....NI KWA UBORA UPI?
Jeshi hili lenye obsolete equipments kama ndege za mwaka 1965 za shenyang J-6 na J-7 ambazo hazitumiki tena duniani zipo kwenye museum, au helicopters (Eurocopters, bells)ambazo siyo "gunship" kwa strength tupo namba 98 na 99 kwa ubora, level moja na Sudan kusini, tumeshindwa na majirani zetu isipokuwa Burundi tu.
Mkuu wa majeshi kudanganya hakusaidii sana....uwe mkweli acha habari za kuokoteza au hisia zako.....Tafuta facts la sivyo utajiabisha na kuaibisha nchi yetu.
Mkuu wa polisi na polisi wake hawa ndiyo maarufu kwa kudanganya ila uwongo wao hauna akili hata kidogo....Hilo la MO Dewji limewaondolea heshima, utekaji feki mlioufanya hata kwenye michezo ya katuni ya watoto haupo.....Ahsanteni sana kwa kutupa moyo kuwa watekaji wa MO walimrudisha salama na bunduki zao.....HILO LINAWEZEKANA TANZANIA TU! Mmetuaminisha kuwa watekaji hao ni watu wema sana na wameshaacha uhalifu.....Vipi kuhusu vidole vyao (Fingerprints zao kwenye bunduki na kwenye hilo gari fake?) mmeshazipata? Mmetuacha hoi na hiyo CCTV zenu............Hongereni sana!
Makonda aliwaona wazungu wawili ila walibadilika baadaye wakawa wa- South Africa weusi......Kweli hiyo Bongo movie ni kali.
Tanzania tunarudi nyuma miaka 50. kwa uongozi huu wa Magufuli na wasaidizi wake.
Wanasiasa wakishakuwa hivi dawa ni kufanya kama Nigeria au Ghana ya miaka 1960 - 1990s. Ni kubadilishana Majenerali pale Ikulu.Uongo umeshakuwa kitu cha kawaida katika nchi yetu, Serikali yetu haikuwahi kuaminika na itaendelea kutoaminika.
Rais si mkweli, mbabe, ukandamizaji wa haki za raia, matumizi mabaya ya madaraka, matumizi mabaya ya fedha za umma (Bado tunadaiwa mabilioni kama siyo matrillioni ya shillingi kutokana na tabia yake ya kukosa uvumilivu na kuvunja mikataba ovyo ovyo).
Mawaziri hawasemi ukweli kuanzia kwenye ukuaji wa uchumi hadi kwenye elimu ndiyo maana unasikia siku hizi tamko linatolewa halafu linafutwa utadhani linafanywa na watoto wa darasa la kwanza! Tunaambiwa uchumi unakua....kivipi? Bank ya dunia imeshasema haukui kama jinsi ilivyotabiriwa (Projected) serikali inasema unakuwa kwa 7.2% World Bank wanasema unakua chini ya 6.6% na ni sekta moja ya ujenzi ndiyo unakua kwingine kote hakuna ukuaji...hivyo hakuna uwiano wa ukuaji na wakifanya uchunguzi kwenye quarter hii inayokuja uchumi wetu unaweza ukawa umekuwa kwa asilimia chini ya 5.
Kwenye elimu huko nako wanajichanganya....ni propaganda tupu. Huyu waziri haeleweki anafanya nini? Anachofanya kwa ufanisi ni kuvifunga Vyuo vikuu badala ya kuvisaidia ili vikue....yeye anakomesha tu, Wahitimu wa darasa la saba wengi kwa malaki waliofaulu wamekosa nafasi ya kuingia kidato cha kwanza.....wanafunzi hawa watakuwa mitaani wakipigana vikumbo na wanafunzi wa vyuo vikuu binafsi na wa vyuo vya kati, na vya waalimu waliomaliza ambao hawana ajira kwa miaka mitatu sasa, TUMEAMBIWA HAKUNA KUAJIRI SASA HADI KIBALI KITAKAPOTOLEWA NA SASA IMESHAPITA MIAKA MITATU na hakuna mpango wa kuwasaidia, Hawa wahitimu watakaa bila kazi kwa miaka yote hii?
Serikali ikiambiwa hilo ni bomu linalosubiri kupasuka wanaanza kukamata hao wanaowakumbusha wajibu wao! Gavana wa benki kuu yeye kazi yake kufunga Mabenki badala ya kuyasaidia ili yakue yaweze kuwafikia wananchi hadi wa vijijini...... Gavana hana elimu ya fedha, alikuwa mwalimu wangu pale Mlimani.
Waziri wa Fedha anasema hali itakuwa ngumu kwa kuwa wafadhali wamepunguza misaada.....Hivi kweli kupunguza misaada tu kunaweza kufanya hali ikawa mbaya hivi? Hapo bado hawajakata misaada yote! Mbona tuliambiwa tunafanya miradi kwa PESA ZETU WENYEWE! Rais kasema kwa msisitizo kuwa pesa zipo sasa waziri anaongea nini? Mpango anatuambia kuwa masharti tuliyopewa ni kukubaliana na ushoga kitu ambacho si ukweli.......SHAME ON WAZIRI MPANGO!
Mbona kuna mambo kumi na tano (15) hataki kuyasema....anaona hilo moja la ushoga tu? Hata hilo la ushoga kama anavyosema huyo waziri halilazimishi nchi kuwatambua mashoga bali linataka lisivunje haki zao za msingi kama kuwakamata na kuwafunga....Mbona Makonda alitajwa? Hiyo sheria ya kuwakamata washukiwa wa ushoga inavunja haki za msingi za binadamu.
Kila waziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wanaropoka angalau waonekane na Magufuli huku wananchi wakiumia.
Mkuu wa majeshi inaonekana naye ana taaluma ndogo (semi-illiteracy) anaingilia mambo ya polisi na mahakama wakati kazi ya jeshi inafahamika ni kulinda mipaka yetu siyo kusimamia ununuzi wa korosho, anafanywa mjinga na rais wake, jeshi linashushwa hadhi limekuwa la propaganda, Juzi akiongea bila aibu amesema jeshi letu kwa ubora ni la 27 duniani.....NI KWA UBORA UPI?
Jeshi hili lenye obsolete equipments kama ndege za mwaka 1965 za shenyang J-6 na J-7 ambazo hazitumiki tena duniani zipo kwenye museum, au helicopters (Eurocopters, bells)ambazo siyo "gunship" kwa strength tupo namba 98 na 99 kwa ubora, level moja na Sudan kusini, tumeshindwa na majirani zetu isipokuwa Burundi tu.
Mkuu wa majeshi kudanganya hakusaidii sana....uwe mkweli acha habari za kuokoteza au hisia zako.....Tafuta facts la sivyo utajiabisha na kuaibisha nchi yetu.
Mkuu wa polisi na polisi wake hawa ndiyo maarufu kwa kudanganya ila uwongo wao hauna akili hata kidogo....Hilo la MO Dewji limewaondolea heshima, utekaji feki mlioufanya hata kwenye michezo ya katuni ya watoto haupo.....Ahsanteni sana kwa kutupa moyo kuwa watekaji wa MO walimrudisha salama na bunduki zao.....HILO LINAWEZEKANA TANZANIA TU! Mmetuaminisha kuwa watekaji hao ni watu wema sana na wameshaacha uhalifu.....Vipi kuhusu vidole vyao (Fingerprints zao kwenye bunduki na kwenye hilo gari fake?) mmeshazipata? Mmetuacha hoi na hiyo CCTV zenu............Hongereni sana!
Makonda aliwaona wazungu wawili ila walibadilika baadaye wakawa wa- South Africa weusi......Kweli hiyo Bongo movie ni kali.
Tanzania tunarudi nyuma miaka 50. kwa uongozi huu wa Magufuli na wasaidizi wake.
Kama Niger, Burkinabe na MaliWanasiasa wakishakuwa hivi dawa ni kufanya kama Nigeria au Ghana ya miaka 1960 - 1990s. Ni kubadilishana Majenerali pale Ikulu.