Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Kwa afya ya nchi yetu na chama chetu hususan katika kipindi hiki cha uchaguzi, alichofanya huyu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ni kama anataka kukuharibia. Ikikupendeza mpumzishe kwanza.
Kwa sasa, mpira unaleta mchango mkubwa sana kwenye amani, furaha na ustawi wa maisha yetu na kwa bahati wewe umekuwa mstari wa mbele kuhakikisha hilo lina
tokea ila inaonekana kuna wachache wanata kukuchania mkeka wako.
Please ikikupendeza, weekend ndio hii.
Daniel Zwangendaba, Adelaide
Kwa sasa, mpira unaleta mchango mkubwa sana kwenye amani, furaha na ustawi wa maisha yetu na kwa bahati wewe umekuwa mstari wa mbele kuhakikisha hilo lina
tokea ila inaonekana kuna wachache wanata kukuchania mkeka wako.
Please ikikupendeza, weekend ndio hii.
Daniel Zwangendaba, Adelaide